Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ni upuuzi alioufanya,Tusitetee. Haya mambo ya ndoa ni magumu sana. Hata hatima yake inahitaji maamuzi magumu kweli kweli. Mbona yeye aliamua kumuumiza mmewe huku akijua anamuumiza. Ingawa hajaweka kisa chote, ebu fikiria km alinyimwa tendo la ndoa, maan hii ndo slaa kwa wanawake wengi kwa sasa na ndo maan ndoa zao zinakufa kila siku. Binafisi nipo upande wa mleta madam.
Asifanye kabisa, akishindwa kujizuia basi asijueKwahiyo asijue?
Hujamjaza, umejipendekeza kusema umemjaza kwa kifupi ni kua umejaa kwenye 18 zakeElewa kwamba nimemjaza mtu tayari
yani vijana sijui wapoje nowdays[emoji53] yani 400k ndio unafurahi kabisa kuongeza watoto? tena nnje ya ndoa? si kujiongezea ufukara na kutesa watoto guys?[emoji26]Laki 4 au mill 4 kama ni laki 4 duuh umasikini unagonga hodi
SafiUnapata mtoto wa nje, jiandae mkeo atakuletea mtoto wa nje, ndani ya ndoa.
Kwangu mimi naishi mwenyewe ila laki 4 ni pesa ya wiki mbili tu sina familia, mtoto, mkeyani vijana sijui wapoje nowdays[emoji53] yani 400k ndio unafurahi kabisa kuongeza watoto? tena nnje ya ndoa? si kujiongezea ufukara na kutesa watoto guys?[emoji26]
yani per month unaingiza 400k tu then unakuja kujitapa unazas nnje una wazimu we mtoto? anyway kupanga ni kuchagua
Endelea na fikra hizo hizo mkuu, Utagongewa na sio mlango, jiandae!A
Hana huo uwezo kwani najua kwake sina mpango wa kuongeza mtoto mwingine