MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,455
- 1,473
Dah! Pole Sana, Na Huo Mkilimo Kwanza Hapo Juu, Bado Unaachika tu?[emoji38][emoji38][emoji38]Wenzenu wanaponza Sasa
Me Nikipenda Napenda haswa(sijisifu[emoji23])
Kun Mmoja hivi alinibadirikia eti Amekua mtu wa Misimamo Anasoma soma mavitabu haya ya Inspiration vimemharibu kama hakun la maana nisipige simu na blaah blaah kama hzo
.
Kabla ya huyo Kuna demu aliniwekwa mchepuko[emoji35][emoji35] jamaa yake alikut text zang akaleta Noma tukakutana yakaisha
Nikagundua niliwekwa mchepuko dadeq
.
Hakuna nyimbo naipenda Kama Naenjoy ya Aslay [emoji38][emoji38][emoji38]
Mie hadi utumbo nala, ila miguu huwa miguuumu na haina hata nyama[emoji134]Teh watu na uzungu wenu, uswahilini kisicholiwa kwa kuku ni nyongo na manyoya tu. Watu wanakula hazi hizo kucha
Wakayi mwingine si lazima(maana huwezi)kujibu quotes zote.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndiyo mimi ninachofanya siku hizi, ila huwa nahofia kuna watu wanaweza kuwa wameniquote na ukizingatia notifications sipati.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekumbuka kuna siku ulipotea then ulivyorudi ukasema "naanzia nilipoishia" nilicheka, wakati kuna watu tulikuwa tumekuquote kule juu.
Hako katoto ni katukutu sijapata onaHivi ban zako huwa unapigwa nje ya kule eenh?? Unakuwaga na makosa gani mama?
Haswa ukiwa celebrities huwa una maudhiii.Sema nini akina mie tukitoka nje ya likes huwa tunaongozana na kivuli cha ban loading [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ngoja nirudi nisije kujisahau na usiku wa kusuuza humu
Kuna lile gamba LA juu (scale) ukilitoa kwa kulichuna linatosha.Hata Kama kazichuna kucha za kuku nijuavyo mimi hazipikwi zinakatwa kabla ya kupika.
πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kucha za kuku unakula?Kuna lile gamba LA juu (scale) ukilitoa kwa kulichuna linatosha.
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
Okay [emoji144]Mkongo+mmasai[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Mie sina mtaji ndugu yangu.
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Mimi browser huwa naingia kucheki notification tu au kama nataka kufunga/ kufungua PMMimi kusema ukweli browser miaka buku ndiyo nimeshashindwa kutumia sijui kwanini, nikiingia kule sikai hata dakika mbili pananiboa nalog out.
JF browser naiona ngumu kama formula ya kutengeneza bomu la nuclear, japo watu kama kina Depal wanakuambia eti app ndiyo ngumu kuliko browser.
π€£Mkuu kucha za kuku unakula?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mmhh hapana kwa kweli sijawahi sikia umemsifia DiamondHuko huko,mie huwa namsifia basi tu wao hawaelewagi mapambio yangu
Teh teh, ngoja tumuweke kapuni eti.Hamna[emoji125][emoji125][emoji125]quarantine itakua ngumu tuliaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Looh nimekumbuka kuna shule tulikuwa tunapikiwa kande la mahindi mabichi na mimchuzi ya nyanya hadi kande zinaogelea.Kande la mahindi mabichi.
πππMimi kusema ukweli browser miaka buku ndiyo nimeshashindwa kutumia sijui kwanini, nikiingia kule sikai hata dakika mbili pananiboa nalog out.
JF browser naiona ngumu kama formula ya kutengeneza bomu la nuclear, japo watu kama kina Depal wanakuambia eti app ndiyo ngumu kuliko browser.
Uwiii ili libaya....bora nile ugali tembele. Ila kande mahindi makavu mwakeKande la mahindi mabichi.