Natarajia ugeni mzito sikukuu hii kutoka jf (manzi)

Dah! Pole Sana, Na Huo Mkilimo Kwanza Hapo Juu, Bado Unaachika tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakayi mwingine si lazima(maana huwezi)kujibu quotes zote.
Unaanzia ulipopakuta.
Kama kuna convo inakuvutia hapo ndo panakuwa na shida
 
Mimi browser huwa naingia kucheki notification tu au kama nataka kufunga/ kufungua PM
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sio wanakuambia...dogo app ngumu kama logarithms. Kwanza ukilog in tu pale hapaeleweki.....kuna siku nilitafuta forums list sioni, uwanja wa new post uko "shabalabagala".
Davet D njooo ujazie nyama πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…