Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,194
Hii kitu inasaidia sana unakuwa umemaliza kupika na kuosha vyombo kwa pamojaYeah hata mie nafanya hivyo, yaani ni bora nipike masaa manne ila mwisho wa siku najua nikitoka hapo sina vyombo vichafu.
Maana mie vyombo naoshaga muda mrefu