Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha unataka mrejesho wanini we mwanakondoo wangu, ili nawe uje hapa kuweka bango unatafuta?? wakati kanisani kwetu wapo vijana mahiri, watanashati na wenye weledi kama nilivyo mchungaji waommh ukipata utuletee mrejesho
Mimi pia nahitaji mwanamke na nmeajiliwa serikaliniNatafuta mwanaume mwenye mapenzi ya kweli
sifa zangu
Sifa za ninae mtaka awe maji ya kunde,mristo,mjasiriamai,umri 29 kuendelea
- umbo ---wa kati
- rangi-mweusi
- dini-mkristo
- umri-26
- kazi-nimeajiriwa sekta binafsi
karibuni
[emoji4] mtuite siku ya harusiNipigie 0743158800..Nina miaka 29..mwalimu wa sekondar
Moyo kazi yake kusukuma damu, endelea kusaka unayemtaka, akikupa raha mpaka mwisho wa maisha yako kwa kile unachoamini, nitakupa zawadi. Nakuahidi kwa dhati kabisa, maana naona unasafiria katika ndotoNatafuta mwanaume mwenye mapenzi ya kweli
sifa zangu
Sifa za ninae mtaka awe maji ya kunde,mristo,mjasiriamai,umri 29 kuendelea
- umbo ---wa kati
- rangi-mweusi
- dini-mkristo
- umri-26
- kazi-nimeajiriwa sekta binafsi
karibuni
Wewe mwenyewe ukoje? ukiona mwanamke anatafuta mwanaume hapa kwetu Africa tia shaka kidogo.
Nna 6foot,mweupe,31yrs kwenye dini nimefeliNatafuta mwanaume mwenye mapenzi ya kweli
sifa zangu
Sifa za ninae mtaka awe maji ya kunde,mristo,mjasiriamai,umri 29 kuendelea
- umbo ---wa kati
- rangi-mweusi
- dini-mkristo
- umri-26
- kazi-nimeajiriwa sekta binafsi
karibuni
Mkuu ile ishu yatu ya hartiti iliishia wapi .... kuna vibamia vilivyorefuka?Nna 6foot,mweupe,31yrs kwenye dini nimefeli