Nategemea kwenda Shinyanga kwa pikipiki aina ya Boxer, CC 125

Nategemea kwenda Shinyanga kwa pikipiki aina ya Boxer, CC 125

Ndugu wanajamvi nategemea kwenda Shinyanga nikitokea Dar es salaam kwa Piki piki boxer cc125 mwenye uzoefu itakuwa vyema ukanisaidia.

Nataka kujua mafuta naweza kutumia kiasi gani. Je, nijiandae kwa changamoto gani barabarani pikipiki hii ninayotaka kuitumia ni mpya. na nina tegea kwenda na kurudi....

View attachment 2760635.
Apo kama chumbani unatoboa mbn amka saa tisa Anza safari
 
Roughly utatumia full tank 4(pikipiki huchoma mafuta sana 80kmph- 120kmph hasa hizo za cc110,125,150).....
Dar-shy ni 900+km si 750km
Kwahiyo full tank
Lita 12@3200-> 38,400*4 = 153,600/=

Madekenya kusafirisha pikipiki 100,000
Usafiri ally star dar-shy 60,000
Total 160,000/=

So angalia if its worth it, fanya maamuzi
Itakayoumia ni familia yako 😂😂(nakutania)
Wazeebwa makalukulation mwacheni huenda anaenda kuiuza uko,😄
 
Ndugu wanajamvi nategemea kwenda Shinyanga nikitokea Dar es salaam kwa Piki piki boxer cc125 mwenye uzoefu itakuwa vyema ukanisaidia.

Nataka kujua mafuta naweza kutumia kiasi gani. Je, nijiandae kwa changamoto gani barabarani pikipiki hii ninayotaka kuitumia ni mpya. na nina tegea kwenda na kurudi....

View attachment 2760635.
Mkuu sikukatishi taa ila walau ungekuwa na pikipiki yenye mwendo walau kama BMW 1200 series and the likes.

Hizi pikipiki ndogo ukishaanza kuitafuta 100 vibrations ni nyingi.

Kitu cha pili sijui una uzoefu gani wa kuendesha safari ndefu, ila kama hauna basi tafadhali pakia tu pikipiki kwenye basi au lorry.
 
Mpwa wangu mmoja miaka ya nyuma wakati fekon zimetoka, alichukua pikipiki aende hapo gairo tu tokea dar.

Alianza safari Asubuhi, ilipofika saa 10 hivi baada ya dumila tukapokea taarifa jamaa kapata ajali yupo hoi, taya yote ya mbele ilisukwa upya na meno yalikokwenda hatujui.

Bega moja mpk leo ni bovu maana lilivunjika.

Chanzo cha ajali inasemekana ni uchovu toka kwenye ile vibration ya pikpik. Mwili ukawa numb, akapata usingizi, akachochora

Tumuombee dua mdau, lkn sio Rahisi hata kidogo kwa pikipik hizi za cc 125
 
Mpwa wangu mmoja miaka ya nyuma wakati fekon zimetoka, alichukua pikipiki aende hapo gairo tu tokea dar.

Alianza safari Asubuhi, ilipofika saa 10 hivi baada ya dumila tukapokea taarifa jamaa kapata ajali yupo hoi, taya yote ya mbele ilisukwa upya na meno yalikokwenda hatujui.

Bega moja mpk leo ni bovu maana lilivunjika.

Chanzo cha ajali inasemekana ni uchovu toka kwenye ile vibration ya pikpik. Mwili ukawa numb, akapata usingizi, akachochora

Tumuombee dua mdau, lkn sio Rahisi hata kidogo kwa pikipik hizi za cc 125
Shukrani Kwa ushauri
 
Mpwa wangu mmoja miaka ya nyuma wakati fekon zimetoka, alichukua pikipiki aende hapo gairo tu tokea dar.

Alianza safari Asubuhi, ilipofika saa 10 hivi baada ya dumila tukapokea taarifa jamaa kapata ajali yupo hoi, taya yote ya mbele ilisukwa upya na meno yalikokwenda hatujui.

Bega moja mpk leo ni bovu maana lilivunjika.

Chanzo cha ajali inasemekana ni uchovu toka kwenye ile vibration ya pikpik. Mwili ukawa numb, akapata usingizi, akachochora

Tumuombee dua mdau, lkn sio Rahisi hata kidogo kwa pikipik hizi za cc 125
Ila nakataa ndugu, niliinjoy sana kusafiria hii pikipiki barabarani imetulia sana kwakweli...!

Na kikubwa Haina mtetemo hata kidogo labda ukifika speed za juu huko pengine speed 100 kwenda juu . Ila Haina mtetemo kama sanLg au tBetter. Boxa ni mnyama asi kwambie mtu.​
 
Ila nakataa ndugu, niliinjoy sana kusafiria hii pikipiki barabarani imetulia sana kwakweli...!

Na kikubwa Haina mtetemo hata kidogo labda ukifika speed za juu huko pengine speed 100 kwenda juu . Ila Haina mtetemo kama sanLg au tBetter. Boxa ni mnyama asi kwambie mtu.​
Mkuu kwani tayari umeshafika Shy town
 
Roughly utatumia full tank 4(pikipiki huchoma mafuta sana 80kmph- 120kmph hasa hizo za cc110,125,150).....
Dar-shy ni 900+km si 750km
Kwahiyo full tank
Lita 12@3200-> 38,400*4 = 153,600/=

Madekenya kusafirisha pikipiki 100,000
Usafiri ally star dar-shy 60,000
Total 160,000/=

So angalia if its worth it, fanya maamuzi
Itakayoumia ni familia yako [emoji23][emoji23](nakutania)
Tena ukiongea nao vzuri hicho chombo waweza safirisha kwa 60/70k
 
Ndugu wanajamvi nategemea kwenda Shinyanga nikitokea Dar es salaam kwa Piki piki boxer cc125 mwenye uzoefu itakuwa vyema ukanisaidia.

Nataka kujua mafuta naweza kutumia kiasi gani. Je, nijiandae kwa changamoto gani barabarani pikipiki hii ninayotaka kuitumia ni mpya. na nina tegea kwenda na kurudi....

View attachment 2760635.mrejesho,
Nilibadili safari nikaenda Tanga, muda huu saa 11:30 nipo Mkata. Nilitoka dar es salaam saa 7:30 asubuhi nilikuwa naendesha speed 70 Hadi 80 kwakweli tunaogopa TU.

Ila Kwa boxa IPO vizuri sana barabarani imetulia japo ukizidi speed 90 inayumba nadhani ni kutokana na kuwa sikuwa nimebeba mzigo.

Usafiri wa piki piki ni hatari sana kwani Kuna baadhi ya madereva awazingatii sana Sheria za barabarani.

Nilinusurika kugongwa nikasukumiwa Kando ya barabara baada ya dereva kuovatake bila kujali kuwa nilikuwa mwendo Kasi nakuja Kwa mbele yake...nisingetoka nje ya barabara ninge gongana uso Kwa uso na gari iliyokuwa inaovertake.😭😭😭

Ila Kwa ufupi ukiacha uchovu kidogo barabara haipo busy. Hivyo haikuwa hatarishi sana. Mliokuwa mnaogopa kusafiria pikipiki ndugu zangu msiogope PIKI piki ni usafiri mzuri TU na WA haraka sana.
View attachment 2761644
Polee sana
 
Mkuu huo ni mwendo wa Kobe, maana yake ni wastani wa Km 50 kwa saa. Nadhani waliokushauri usi
safiri nayo kwenda Shinyanga takribani Km 1000 walikuwa sahihi sana.
Yap.. nawashukuru sana Wana Jf kwakweli hili ni jungu kuu.
 
Usifanye ujinga huo.
Sio salama kwako.
Kama huna majukumu unaweza kufanya hivyo.

Hiyo barabara ni hatari sana.

Umewaza endapo ikitokea brekdown porini mfano Sekenke utafanyaje?.

Pkpk cc125 sio ya masafa marefu.

Jali uhai wako kijana
Mara paap, waya wa clutch umekatika pale darajani Sekenke[emoji23]
 
Mkuu sikukatishi taa ila walau ungekuwa na pikipiki yenye mwendo walau kama BMW 1200 series and the likes.

Hizi pikipiki ndogo ukishaanza kuitafuta 100 vibrations ni nyingi.

Kitu cha pili sijui una uzoefu gani wa kuendesha safari ndefu, ila kama hauna basi tafadhali pakia tu pikipiki kwenye basi au lorry.
🤣🤣🤣🤣Wote waliofanya hizi safari kuna mmoja kaenda kigoma mwingine Songea wote hao wameenda na wamerudi mmoja akiwa na TVS 150 mwingine Boxer BM 125 wamerudi wakilalamika uchovu wa makalio😄Mafuta gharama kubwa
 
Back
Top Bottom