Natembea na mke wa mtu, mume wake kanionya mara 3

Natembea na mke wa mtu, mume wake kanionya mara 3

kuna askari aliathirika, kwa usiri bila kumtaarifu mkewe,, akawa anaenda kozi miez 3 hata 6

vijana wakawa wanajilia yule mrembo na alikuwa mzuriii sasa swali likaja kitaani

kila aliedate na yule mwanamke aliugua ngoma na kufa,

yule mjeshi akirudi majirani kwa umbea wanamwambia kila kitu na yeye anajibu hilo jambo ninalijua na wanaoichezea ndoa yangu nawajua na sina shaka nalo unataka nichukue hatua gani kwani?

akiingia ndani kwake full peace na mkewe.



sasa nyie panya endeleenu
 
kuna askari aliathirika, kwa usiri bila kumtaarifu mkewe,, akawa anaenda kozi miez 3 hata 6

vijana wakawa wanajilia yule mrembo na alikuwa mzuriii sasa swali likaja kitaani

kila aliedate na yule mwanamke aliugua ngoma na kufa,

yule mjeshi akirudi majirani kwa umbea wanamwambia kila kitu na yeye anajibu hilo jambo ninalijua na wanaoichezea ndoa yangu nawajua na sina shaka nalo unataka nichukue hatua gani kwani?

akiingia ndani kwake full peace na mkewe.



sasa nyie panya endeleenu
Poteleapote
 
JF iangalie mbinu za kutoruhusu watu kujiunga bila kuhakikiwa umri, inaweza saidia punguza utititri wa ujinga tukabakiwa na mada zenye mshindo.

Au hata maswali ya kupima uwezo wa kufikiri basi.
Kisa wewe jogoo hawiki ndomana unaproduce shit, ingeweza kusimama Walau kwa dk moja tu uone utamu wa K ulivyo [emoji39].
Screenshot_20220618-102152_2.jpg
 
Kukupiga sio lazima atumie mikono yake anaweza akakupiga kwa kutumia hata watu, kua makini mzee, Kimbia kabla hujakuja na uzi mpya hapa "Yaliyo nikuta baada ya kutembea na mke wa mtu"
 
Hii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.

ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.

Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.
Jamaa anapanga kutembea nawewe pia, mipango ishapangwa na mratibu mkubwa wa huu mpango nihuyo jamaa aliyemwambia kuhusu wewe kutembea na mkewake,

Kwahiyo siku ukipwayungiwa uje useme hapa.
 
Back
Top Bottom