Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu huyuhuyu mpwayungu village akanitusi kuwa naanzisha nyuzi utopolo! [emoji23][emoji23]grow up,sio lazima kila siku kuanzishe upuuzi JF
Una hamu ya kufukuliwa vutuHii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu
Tumekupokea jamiiforum juzi saizi unacoment shit, hapa sio Facebook ila utazoea tugrow up,sio lazima kila siku kuanzishe upuuzi JF
Unanichukulia simpo etiTuache na atakavyorudi south akukute bado unakula, je ukishatafunwa marinda na Mume wake akimwacha unaweza kumhudumia yeye na watoto wake au unataka mbunye tu ?
Poteleapotekuna askari aliathirika, kwa usiri bila kumtaarifu mkewe,, akawa anaenda kozi miez 3 hata 6
vijana wakawa wanajilia yule mrembo na alikuwa mzuriii sasa swali likaja kitaani
kila aliedate na yule mwanamke aliugua ngoma na kufa,
yule mjeshi akirudi majirani kwa umbea wanamwambia kila kitu na yeye anajibu hilo jambo ninalijua na wanaoichezea ndoa yangu nawajua na sina shaka nalo unataka nichukue hatua gani kwani?
akiingia ndani kwake full peace na mkewe.
sasa nyie panya endeleenu
Kisa wewe jogoo hawiki ndomana unaproduce shit, ingeweza kusimama Walau kwa dk moja tu uone utamu wa K ulivyo [emoji39].JF iangalie mbinu za kutoruhusu watu kujiunga bila kuhakikiwa umri, inaweza saidia punguza utititri wa ujinga tukabakiwa na mada zenye mshindo.
Au hata maswali ya kupima uwezo wa kufikiri basi.
Asante kwa ushauriMkuu, achana nae bwana.
Unaweza nisaidia nami nipate utamu wa K?Kisa wewe jogoo hawiki ndomana unaproduce shit
Vitani tena? Uchumi huu wa kutegemea wahisani?Ndalilo ya kweli hayaaa???
Kama ndivyo nashauri muende vitani maana
Asante kwa ushauri kiongozi ila huyu mwanamke ametokea kunikubari sanaAchana nae, fanya mambo mengine...
Jamaa anapanga kutembea nawewe pia, mipango ishapangwa na mratibu mkubwa wa huu mpango nihuyo jamaa aliyemwambia kuhusu wewe kutembea na mkewake,Hii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.
ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.
Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.