Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #41
Sure [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kukupiga sio lazima atumie mikono yake anaweza akakupiga kwa kutumia hata watu, kua makini mzee, Kimbia kabla hujakuja na uzi mpya hapa "Yaliyo nikuta baada ya kutembea na mke wa mtu"
Wajaribu kitakachowakuta hawataamini, wataozea jeraJamaa anapanga kutembea nawewe pia, mipango ishapangwa na mratibu mkubwa wa huu mpango nihuyo jamaa aliyemwambia kuhusu wewe kutembea na mkewake,
Kwahiyo siku ukipwayungiwa uje useme hapa.
Mm mwenyewe toto la town nimezaliwa tandale nimesoma manzese sekondari advance nikasoma Benjamin chuo nimesoma UDSM saizi nakaa BuguruniWake za watu au wanawake wakubwa wanasumbua sana, hasa ukiweza kumpelekea Moto kila atakapohitaji.
Atakuganda sana, ila ninakushauri ufumbue akili yako mzee kabla haujachelewa.
mpwayungu village
Mkuu mbona umekimbilia kifoWatu mna roho ngumu sana yaani, mimi hata demu nikishajua yupo tu kwenye mahusiano na mtu hapo hapo napotezea, wanawake wapo kibao sana sijakosa mpaka ning'ang'ane na mali ya mtu, mwisho ufe tu kwa uzembe usio na maana
Kmmk wew au Ni yule wangu nn mnk hata hyu wangu ananiletea chakula na Kuja geto kufua na kunipikiaa juz kampigwa Sana na mume usku na sijajuwa Hadi leo kwann kapigwa Kia's hcho dah alipigwa nusu kufa Ni vilio vilisikika na watu kufunya mlango kwenda kuamua yaaniWanakuwa watamu sana halafu kila siku ananiletea chakula gheto yani hadi raha utamu [emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahHaaaa! We mjanja sana mkuu, kula tu huyo mke wake, kwani ni mwembamba hana nguvu, hawezi kukupiga.
Ila andaa hicho unachokalia, atakuja kukuporomosha mavi kwa kif.iro cha fumanizi, tena njemba zenye dudukojo kama mguu wa mtoto ndo zitakushindilia huyo kwenye mtaro wako. Yeye unayemwita mwembamba hana nguvu atakuwa pembeni anatoa maelekezo namna ya kukupelekea moto.
Endelea tu, wewe mjanja. Utakipata unachotaka.
Achana nao hawa wasikutishe, wee piga huyo demu kula utakavyo.Hii nchi bhana, ukipata bahati ya kupendwa, nyota imekuwakia watu wanaanza shobo, majungu na wivu tu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaaaah.Kila nikifikiria ninavyotinduaga ukuta ili kuweka bomba za umeme[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]naImagine kutinduliwa marinda utaFeel aje[emoji38][emoji38][emoji38]
Umemdaka jamaa pabaya Sana anajifanya ataki mamb ya k kumbe jogoo hawikiKisa wewe jogoo hawiki ndomana unaproduce shit, ingeweza kusimama Walau kwa dk moja tu uone utamu wa K ulivyo [emoji39]. View attachment 2264547
Wee mpwayungu acha uongo wwe juz ulisema upo marangu na ungetuwakilisha kwenye msiba wa member mwezetu Leo Tena uko buyuruniMm mwenyewe toto la town nimezaliwa tandale nimesoma manzese sekondari advance nikasoma Benjamin chuo nimesoma UDSM saizi nakaa Buguruni
Endelea mpaka siku akodi minjemba ije ikujamii halafu utaamua uache au uendelee na upumbavu wakoHii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.
ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.
Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.
Kwahiyo juzi ndoleo. Au kusafiri kutoka marangu mpaka Dar unatumia miaka mingapi mkuuWee mpwayungu acha uongo wwe juz ulisema upo marangu na ungetuwakilisha kwenye msiba wa member mwezetu Leo Tena uko buyuruni
Hawa watu tu nawajua vzr akiwa hawiki anasema Mada za kipuuziUmemdaka jamaa pabaya Sana anajifanya ataki mamb ya k kumbe jogoo hawiki