Mataifa makubwa 28 wameungana na kujaribu kuisogelea Urusi kwa ukaribu kisa uhatari wake kijana mropokaji wa mtogole unasema Russia ana maajabu gani?Bwashee k vant ya leo Kali kwa hiyo Russia umeona ni super power? Wana maajabu gani tangu waivamie Ukraine?
Hata aibu hamna majenral 20 wanakufa,wanajeshi 30,000 wamekufa alafu mnajifariji ,hii kitu haiingii akilini aisee