lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Kumbe NATO wamo vitani na Urusi eeeh?Juzi mkuu wa NATO alisema hii vita ndio litaamua usalama wa nchi za magaharibi kwa miongo mingi ijayo, na kwamba they will not let Rusia win in Ukraine
Nawe unategemea wasiokua Russia watabakia sawaKaka unategemea urusi atabaki sawa na hiyo Vita?non sence hivi mnajua maana ya uchumi au mnakariri?
Hizi zako ngonjera na kutapata tapa kusiko maanaMkuu Ukraine ameanza kupokea silaha toka vita ianze na kazi inaonekana ndio maana wazungu wanaendelea kumwaga masila, na tokea vita inaanza Zelensky ni kawaida kuendelea kuhitaji silaha zaidi na zaidi kulingana na ukubwa wa adui, hamaanishi kwamba hizo ndege chache alizopewa hazitaleta tija.
Putini break ya kwanza alipovamia ukraine target ilikuwa ni Kiev lakini alirudishwa nyuma mpaka sasa anapiga kelele kwa nje nje tu
Wameficha ficha ila imebidi watangaze wazi tu.Kumbe NATO wamo vitani na Urusi eeeh?
Umemweleza ukweli kabisaNawe unategemea wasiokua Russia watabakia sawa
Acha kusema watu wanakariri bila kuleta fact
Hii mbungi kama India na Uchina wataendelea kuwa upande wa Russia hayo mnayoyawazia kuikumba Rusdia kwakweli muyasahau
Heheheee uzuri Russia alishatangaza hili mapemaWakati wa vita za Ghuba au Yugoslavia Kuna ndege za akina NATO zilikua zinatokea kwenye viwanja vya ndege vya nchi zao na baadhi zikitokea kwenye nchi marafiki,mfano Kuna baadhi ya ndege za USA zilikua zikitokea UK kwenda kupiga Iraq ama Serbia.
Sasa kama NATO kweli ni wababe wanaogopa Nini kuziweka katika nchi Wanachama wa NATO badala yake wanataka kuziweka Ukraine wakati wanajua fika hawawezi kuzificha dhidi ya macho makali ya Urusi?
Ilhali wanajua fika Putin taziona na atazichoma zote?
Nawashauri waziwekeke kwenye nchi za NATO, ziwe zinatokea Poland Au Romania,🤣🤣🤣🤣
Hawataki ukweli ila tutawaambia tu yaaaniUmemweleza ukweli kabisa
Kama zipi? Maana data za export zipo wazi boss.Dhahabu ni mfano tu nimekupa lakini bidhaa tunazotegemeana ni nyingi sana mkuu.
Kuna ukweli katika hili.Sio sisi ukisema sisi unatukosea sisi wengine sema viongozi
Unakuta viongozi wana save za chakula hata za miaka 100 wakati raia wao wasipotoka tu wanakufa njaa kwa kukosa chakula
Chai, kahawa , pamba , korosho , mbaazi , ufuta , karanga , coal , avocado, mbao , wanyama pori kwa uchache.Kama zipi? Maana data za export zipo wazi boss.
Ukifuatilia data za export utashangaa. Ngoja nikipata ntakuwekea hapa.Chai, kahawa , pamba , korosho , mbaazi , ufuta , karanga , coal , avocado, mbao , wanyama pori kwa uchache.
Watanzania hatuna utaratibu wa kuweka data usiamini sana hizo taarifa mali inayouzws nje ya nchi hii ni nyingi sana.Ukifuatilia data za export utashangaa. Ngoja nikipata ntakuwekea hapa.
Kama data haziaminiki ni ngumu kuwa na hakika kuwa wanatutegemea kwa kiwango gani huenda ukawa sawa na huenda usiwe sawa maana nijuavyo sisi hadi ngano tunaimport.Watanzania hatuna utaratibu wa kuweka data usiamini sana hizo taarifa mali inayouzws nje ya nchi hii ni nyingi sana.
Sasa hayo majimbo manne aliyotangaza kujiunga na RUSSIA mbona juzi ameiomba ukraine hadi wayaachie asimamishe vita?Hizi zako ngonjera na kutapata tapa kusiko maana
PUT IN day one anatangaza kuingia UKRAINE aliyatangaza majimbo manne kujiunga na RUSSIA vipi ulilisikia jimbo la KIEV😀
Mnadhani simu janja mnazopekeenu enyi pro manato acheni kupiga fix watu
hufahamiki mara anazalisha vifaru vipya mara SU-57, yaan kama si mke ndumeSasa wewe unadhani Russia hana ndege za kisasa fighter jet? Unaijua SU - 57?View attachment 3039593
Huijui Russia wewehufahamiki mara anazalisha vifaru vipya mara SU-57, yaan kama si mke ndume
putin kaisha kaenda kuingia mkataba na north korea asaidiwe silaha taaban nafsi yk
Hao wanaoijua hiyo russia wameshaihama nchi yao kutafuta maisha nchi nyengineHuijui Russia wewe
Ukraine ina Mig-29, Su-25, Mig-27 na Su-24 kwenye inventory inazitumia sembuse ikatae F-16.Hivi sasa kuna missiles za kisasa na radar za kisasa, halafu nilishaeleza hapa capability ya Russia kwenye EW.
Hio F-16 italinda nini wakati huu? ndio maana nimesema labda kwa kushambulia Syria, Iraq na Gaza zitafaa lakini sio kwa taifa kama Russia.
Hio F-16 ina maajabu gani itakayopelekea kudhibiti mifumo ya kiulinzi ya Russia ?
Zilikuwepo missiles zinazofuata joto zenye IR sensors, ndege vita zikaja na flares kuzichanganya missiles hizo na zilifanikiwa.
Wajanja wakaja na missiles zinazotumia radar, zina trace ndege inapoelekea kwa kutumia radar, hapo flares hazitofanya chochote, kuna Semi Active radar missiles ambazo zilitegemea kupiga target kwa kupata taarifa kutoka kwenye launcher. Hivyo missile inakutafuta hadi upatikane.
Zikaja AR missiles ambazo ni Active Radar missiles ambazo zinapata taarifa kutoka kwenye launcher na pia zina radar yake zenyewe, missile ina radar yake inajitegemea kuitafuta target.
Ndege vita zikaja na na vitu inaitwa chaffs ili kupambana na hizo missiles ambazo ni AR.
Lakini haikusaidia, radar zimeboreshwa zaidi na zaidi , zamani utaona hata kwenye movie ndege inaruka chini kukwepa radar, hio haipo tena kwa radar za kisasa ambazo ni hatari tupu, uruke chini , uruke juu bado utaonekana.
Ndio maana nakuambia vita na Russia sio vita na Afghanistan au Syria unapeleka ndege ukitegemea uta escape missiles kwa kuachia flares na chaffs.
Ndipo wataalamu wa mambo wanasema hadi sasa njia pekee ya kuzuia radar za adui kukuona ni kupitia electronic warfare, ndio maana unaona US anahangaika na hizo anasema ni multi role fighter kama F 35 ambazo wanasema zina stealth features, kuna F 22, E/A-18G Growler , B-2 n.k...
Ndio maana nilisema humu kwenye comment kule juu, hao Ukraine wasaidiwe hizo F-35 ambazo ni capable of EW...
Naweza kukuwekea hapa pdf ikielezea uwezo wa Russia kwenye electronic warfare unavyotisha, jamaa wapo mbali sana, ndio maana nasema hizo F-16 subiri tutapata habari hapa hapa.