Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hizi ndege hazitakua na jipya lolote nakuhakikishiaWalifanya makusudi kuinyima Ukraine hizi ndege mapema ili kuifanya vita iwe ya muda mrefu. Hizi ndege zingeenda mapema zingesaidia sana kuipa Ukraine position nzuri.
Hata kina storm nk tuliambiwa same thing ila?😀