NATO ndio dola ya mwisho, hakuna nyingine itakayoinuka

NATO ndio dola ya mwisho, hakuna nyingine itakayoinuka

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Ukisoma kitabu cha Danieli utaona ufunuo wa lile sanamu ambalo nilikua ndio mfano wa Muundo wa Dola ambazo zitaitawala dunia,ulianza utawala wa nebukadreza ambao ulikua na nguvu na imara kama dhahabu, Ukavunjika.

Wakaja warumi walikua imara kama chuma nao wakaanguka. Sasa hivi umekuja NATO nato itaitawala dunia ila si kwa muda mrefu maana wana udhaifu mkubwa sana na udhaifu huo bibilia inasema ni muungano wa chuma na udongo yaani mataifa yenye nguvu na yasiyo na nguvu, kosa kubwa la NATO ni kukubali wanachama dhaifu, ila yote ni mkakati wa maandalizi ya ule mwisho.

Maana NATO bado haijatawala dunia kwa 100% ila lazma watafanikiwa, Mrusi machina wote hamna kitu watapotea tuu

Pindi NATO ikija kuanguka hakuna tena dola itakayoweza kusimamama maana uchumi wa dunia utakua kwenye hali mbaya na hapo ndipo mpinga kristo ataibuka, kuja kama mtu mwenye akili nyingi na atatatua matatizo mengi ya kiuchumi, atajaribu kiunga tena NATO ila hatofanikiwa ila atafanikiwa kushawishi nchi nyingi dunian ziwe na mfumo mmoja wa kiuchumi, kidin, kielimu, ili kunusuru dunia kwa hili atafanikiwa.

Dunia itakua kitu kimoja hakutakua tena na taifa jeuri ,hapo ndipo wakristo watakapobanwa ,na ndipo litakuja wazo la kuiangamiza Israel

Ili jamaa wataliamini dunia itajiandaa kuangamiza Israel na hapo ndipo mwisho wa dunia,maana jeshi lote la dunia litaangamizwa.

Siyo kwamba naishabikia NATO ila ukweli mchungu ndio huyo ,mrusi kamwe hataweza kuzuia UAE na chombo chake NATO kutawala dunia.

Urusi wako vizuri ila si wateule
 
Marekani na nato NATO mwisho wao umefika.....hamna cha nato kutawala tena.....kitu pekee kinachowabeba sasa ni propaganda walizotengeneza kwa muda mrefu, nguvu ya hizo propaganda zikiisha na wao ndo kwaheri ..........their matrix is falling rapidly.......
 
Tangu Nebukadreza ni dola moja tu halafu NATO ndio imepita!
 
Ukisoma kitabu cha Danieli utaona ufunuo wa lile sanamu ambalo nilikua ndio mfano wa Muundo wa Dola ambazo zitaitawala dunia,ulianza utawala wa nebukadreza ambao ulikua na nguvu na imara kama dhahabu, Ukavunjika.

Wakaja warumi walikua imara kama chuma nao wakaanguka. Sasa hivi umekuja NATO nato itaitawala dunia ila si kwa muda mrefu maana wana udhaifu mkubwa sana na udhaifu huo bibilia inasema ni muungano wa chuma na udongo yaani mataifa yenye nguvu na yasiyo na nguvu, kosa kubwa la NATO ni kukubali wanachama dhaifu, ila yote ni mkakati wa maandalizi ya ule mwisho.

Maana NATO bado haijatawala dunia kwa 100% ila lazma watafanikiwa, Mrusi machina wote hamna kitu watapotea tuu

Pindi NATO ikija kuanguka hakuna tena dola itakayoweza kusimamama maana uchumi wa dunia utakua kwenye hali mbaya na hapo ndipo mpinga kristo ataibuka, kuja kama mtu mwenye akili nyingi na atatatua matatizo mengi ya kiuchumi, atajaribu kiunga tena NATO ila hatofanikiwa ila atafanikiwa kushawishi nchi nyingi dunian ziwe na mfumo mmoja wa kiuchumi, kidin, kielimu, ili kunusuru dunia kwa hili atafanikiwa.

Dunia itakua kitu kimoja hakutakua tena na taifa jeuri ,hapo ndipo wakristo watakapobanwa ,na ndipo litakuja wazo la kuiangamiza Israel

Ili jamaa wataliamini dunia itajiandaa kuangamiza Israel na hapo ndipo mwisho wa dunia,maana jeshi lote la dunia litaangamizwa.

Siyo kwamba naishabikia NATO ila ukweli mchungu ndio huyo ,mrusi kamwe hataweza kuzuia UAE na chombo chake NATO kutawala dunia.

Urusi wako vizuri ila si wateule
Kwa mujibu wa historia, kuna mtu akiyewahi kufikiri dola ya Rumi ingeanguka?
 
Marekani na nato NATO mwisho wao umefika.....hamna cha nato kutawala tena.....kitu pekee kinachowabeba sasa ni propaganda walizotengeneza kwa muda mrefu, nguvu ya hizo propaganda zikiisha na wao ndo kwaheri ..........their matrix is falling rapidly.......
uko zako mbande unawaza nato mwisho wa umefika.....unaijua sana NATO kuliko nato wenyewe [emoji1787]
 
Back
Top Bottom