NATO wanatishia, Urusi hatishii atavamia kweli na inaweza kutokea Vita kweli

NATO wanatishia, Urusi hatishii atavamia kweli na inaweza kutokea Vita kweli

Tayari kimeshanuka huko Ukraine, rada zote upande wa mashariki zimebutuliwa na mwanaume katoa Onyo kwa nchi yoyote itakayojipendekeza analala nayo mbele na amesema hatojali kitu chochote na hana cha kupoteza..

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Haha...viongozi wa Ukraine wapumbavu sana.Hii vita isingekuwepo kama hawa jamaa wangetumia akili
 
Ukranians na Russian ni kitu kimoja, wanatoka kwenye same roots, Kiev huu mji mkuu wa Ukraine zamani ulikuwa ndio makao makuu ya Russia kabla ya Moscow, CIA wamekuwa wakisambaza propaganda na chuki kwa Ukranians waichukie Russia, CIA wametumia billions of dollar kuhakikisha hawa ndugu wa damu hawapatani kabisa.

USA amekuwa aki enjoy sana kuona nchi zikitengana kwa muda sasa kwa ajili ya maslahi yake binafsi, Putin anajua nini anafanya, ulaya pale Russia anaogopwa kwa umuhimu wa gas yake.

Ukraine inaweza kumegwa tena kisela na ulaya wakaweka mkia kati kati ya miguu, pale ulaya nani ana uchumi mkubwa? ni Germany sasa Germany ni koloni la Russia kwa miaka 49 na pia mabomba ya gas(nord stream) ya Russia yanaingia Germany ndio yanasambaza gas kwingine nchi za ulaya na sasa wanajenga bomba la pili licha ya USA kupiga kelele.

Germany ana maslahi mapana na Russia, kama mkali wao aliyeshikilia euro anamuogopa Russia, waliobaki wana nini cha kufanya?
France yenyewe ilipigwa na Germany mpaka wakafuatwa Paris WW2, UK ilichapwa vibaya sana mpaka Uncle Sam akamkomboa lakini Russia aliichakaza Germany toka mashariki akawa wa kwanza kuingia Berlin.

Ukraine itamegwa tu kama Palestine inavyomegwa kionevu na Israel halafu USA haongei, lakini Ukraine ikimegwa anaongea, sasa dawa ni kumegeana kibabe tu.
USA AKO WAPI
 
Jamaa umeandka kshabk sana as if we ndo putin yan unaamin urusi hatishii ila nato ndo wanatishia sjui we ni kiongoz wa urus au wa nato.

Kuhusu makombora unadhan urus ye haogopi makombora ya nato au hayana madhara naona unaizungumzia nato as if unaizungumzia ukraine.

Unaleta reference ya georgia kwan uko nato walsema watapeleka jesh kama wanavyosema sasa.

Nashangaa unaona ni sahihi urusi kutaka kuigawa ukraine kwa maslahi yake wkt lile n taifa huru linajchagulia rafk wamtakaye umeonyesha ushabk kupta maelezo kuongea krusi kwa hayo majmbo si sbb ya urus kutaka chukua ardhi ya taifa lingne hao waongea krus si wahamie urus huko kwan lazma wawe kwny ardhi ya ukraine.

Unasema ukraine anadanganywa na marekan lakn hujasema hao waongea krus nao wanadanganywa na urusi.

Unasema ukraine ana maslahi makubwa na ukraine huku uksema nato hana maslah na ukraine cha ajabu unashndwa kuwa muwaz tu maslah ya urus kwa ukraine ni usalama lakn pia unashndwa kuwa mkwel maslah ya nato pia kwa ukraine n usalama na si kwel urus na nato wanaipenda ukraine hapana hapo n maslah yao tu ya kiusalama.

Karibu unikosoe na uache ushabk mkuu ukraine n taifa huru lischaguliwe rafk na urus kwaiyo leo kenya waichukue shrati kule kwa wajaluo wadai wanawalinda wajalauo sbb kenya wanaongea kjalauo waweke na jesh mpakan eti watshie kuvamia we utafkria nn hapo mkuu?

Asante
umeamini maneno ya mtoa mada, urusi kafanya kweli tayar, tupunguze ujuaji bora kukaa kimya sometimes watu wengine wanaongea kwa facts hawa kurupuki kama wewe.
 
USA anapigana vita vya akili. Soma Historia ya vita vya 1 na 2 vya dunia. Kipindi wao wapo vitani Marekani kajifungia ndani. Wanaume wapo vitani, matokeo yake ndiyo haya USA anawawekea vikwazo

Vita vya ubabe, kujiona ww una nguvu sana kuliko wengine. Wamebaki wajinga ndiyo wanapigana. Yeye akiona sehemu kuna mali ndiyo anapigana maana atapata faida.

Wala siyo kuchambana, USA akili kubwa. Sasa hivi Libya ameshanyonya mafuta tayari.

Apigane na China, Urusi au Korea kaskazini atachukua nn? Ni bonge la hasara.

Angalia wanaojifanya wanajua vita, miji yao imebaki magofu. Warabu hawana akili kbsa. Ni wajinga kiwango cha PHD
waarabu uwatukana bure....imagine ni wewe halafu mbabe fulani anakuletea chokochoko ambayo mwisho wa siku upigane naye au usipigane naye lazima uumie tu, hapo ni bora kuchagua kupigana at least uache hata heshima.
 
Anachofanya Urusi hata Hitler alianza hivyo hivyo,mwishoe akajitanua na kuota mapembe. Kama hujui kuwa Ulaya wanalichukulia hili jambo seriously subiri uone moto wake. Nchi kama Poland, Romania,Norway na Sweden wanalichukulia kwa uzito mkubwa sana.
Nchi kama Poland,Romania,Norway na Sweden wanalichukulia kwa uzito mkubwa sana.
Haya Tayari Russia ameshaingia Ukraine,mwezi wa tatu Sasa.
Siwaoni hao akina Poland.
Achilia mbali baba lao.USA.
 
Jamaa umeandka kshabk sana as if we ndo putin yan unaamin urusi hatishii ila nato ndo wanatishia sjui we ni kiongoz wa urus au wa nato.

Kuhusu makombora unadhan urus ye haogopi makombora ya nato au hayana madhara naona unaizungumzia nato as if unaizungumzia ukraine.

Unaleta reference ya georgia kwan uko nato walsema watapeleka jesh kama wanavyosema sasa.

Nashangaa unaona ni sahihi urusi kutaka kuigawa ukraine kwa maslahi yake wkt lile n taifa huru linajchagulia rafk wamtakaye umeonyesha ushabk kupta maelezo kuongea krusi kwa hayo majmbo si sbb ya urus kutaka chukua ardhi ya taifa lingne hao waongea krus si wahamie urus huko kwan lazma wawe kwny ardhi ya ukraine.

Unasema ukraine anadanganywa na marekan lakn hujasema hao waongea krus nao wanadanganywa na urusi.

Unasema ukraine ana maslahi makubwa na ukraine huku uksema nato hana maslah na ukraine cha ajabu unashndwa kuwa muwaz tu maslah ya urus kwa ukraine ni usalama lakn pia unashndwa kuwa mkwel maslah ya nato pia kwa ukraine n usalama na si kwel urus na nato wanaipenda ukraine hapana hapo n maslah yao tu ya kiusalama.

Karibu unikosoe na uache ushabk mkuu ukraine n taifa huru lischaguliwe rafk na urus kwaiyo leo kenya waichukue shrati kule kwa wajaluo wadai wanawalinda wajalauo sbb kenya wanaongea kjalauo waweke na jesh mpakan eti watshie kuvamia we utafkria nn hapo mkuu?

Asante
Habari za siku nyingi Mkuu,
Pamoja na ushabiki wangu lakini hatimae Urusi anaendelea kumchapa Ukraine.
 
Kutokea kwa vita ni ngumu ila Mrusi anachofanya ni kutengeneza mazingira ya kuwaleta mezani kwa ajili ya mazungumzo na Muafaka, ila wakishupaza shingo kuna baadhi ya majimbo nchini Ukraine yanakwenda na maji kama vile Cremia. Ngoja nijaribu kuchambua kwa namna hii kidogo.

Ngoja nirudi kwenye Mgogoro wa makombora wa Cuba, 1962. Viongozi wawili huru kabisa, Nikita Khrushchev na Fidel Castro waliamua kwamba lingekuwa wazo zuri kwa Urusi kupeleka Makombora kwenye aridhi ya Cuba.
Je, walikuwa na haki ya kufanya uamuzi huo?
Kwa kuwa ni nchi mbili huru walikua na uhuru wa kufanya maamuzi hayo.
Hivyo wakafanya makubaliano hayo ya kupeleka makombora au kufnaay utaratibu wa kuyaunganisha pale Cuba na USA wakagundua hili, na Kennedy akawaambia Warusi, wageuza meli zao au watazizamisha, na ikiwa itasababisha Vita ya tatu ya dunia na iwe ivyo tu. Warusi wanageuza meli zao lakini kulikuwa na maelewano. Haikuwekwa hadharani nchini USA wakati huo, Kennedy alikubali kutoa makombora ya Maekani nchini Uturuki kwa kubadilishana, kwa sababu Warusi walisema, tazama, una makombora nchini Uturuki karibu kabisa na mpaka wetu. We unasema makombora yetu ni tishio kwako kuwepo nchini Cuba, lakini pia makombora yako ni tishio kwetu kuwepo nchini Uturuki. Toa makombora yako nchini Uturuki na sisi hatutapeleka makombor ayetu nchini Cuba.
Hayo yalikuwa maelewano kati ya hawa watu wawili.
Kennedy akaomba kwamba hili lisitangazwe hadharani kwa sababu lingeonekana kama upotevu wa imani na blah, blah, blah na halikuwekwa wazi na mpaka baadaye sana.
Hayo yalikuwa maelewano kati ya hawa watu wawili.

Na hii ikasaidia kuzuia Vita ya tatu ya dunia.
Kwa hivyo sasa hivi viongozi wa Urusi wanaona NATO kama tishio kwao.
Hivi ndivyo inavyoonekana machoni kwa viongozi wote wa Urusi, na hii sio siasa. Wanajiuliza, kwa nini unaendelea kuileta NATO karibu na mpaka yetu? wanajiuliza.
Uko Latvia, umepakana na sisi, uko Estonia umepakana na sisi. Sasa Ukraine inaelekea magharibi, ni swala gumu, Maekani ilicheza mchezo fulani wakati wa uchaguzi wa Ukraine mwaka, hili sio la maana sana. Kikubwa wanachowaza Urusi ni kwamba Ukraine inaelekea magharibi. Wanaendelea kuwaza ikiwa hatimaye itaingia katika eneo la magharibi, basi kwamba Ukraine itajiunga na Umoja wa Ulaya na itakuwa mwanachama wa NATO. Sasa, Ukraine ina mpaka na Urusi. Si hivyo tu, lakini Cremia ambayo ilikuwa na asili ya Kirusi na wanaongea Kirusi, si hivyo tu kuwa na asilia ya Kirusi na kuongea Kirusi kuna kubwa zaidi katika Cremia. Kuna kambi ya Sebastopol ambayo hutumiwa na jeshi la wanamaji wa Urusi katika Black Sea. Kwa hivyo ikiwa Cremia itabaki Ukraine, na ikiwa Ukraine itakuwa sehemu ya NATO, basi kambi hii haitakuwepo, zaidi kutakuwepo na kambi ya wanamaji ya NATO ikiongozwa na Marekani katika eneo hili, na NATO itakuwa kwenye mpaka wa kusini-magharibi mwa Urusi, na Warusi wanaona hii kama hatari kwao, na wanasema hawataruhusu ilo kwamwe.
Je, hili linaingiliana na sheria za kimataifa?
Hapana, haliingiliani. unapozungumza kuhusu sheria za kimataifa kama ilivyo katika Mgogoro wa makombora wa Cuba. Unasema, Hapana hatujalijinsi unavyojsikia. Hatutaruhusu hili kwamwe hatakama unaumia, utajua mwenyewe ila sisi hatuajali kwa ajili ya masilahi yetu. Ni maoni yangu kwamba tangu awali kulikuwa na aina fulani ya makubaliano ya mazungumzo ya kimataifa kwamba Ukraine haitakuwa mwanachama wa NATO na hakutakuwa na tatizo la aina yeyote nchini Ukraine. Lakini makubaliano hayo yanaonekana kuvunjwa, Ukitaka kujua hili tafuta hotuba ya Putin Inayoitwa Munich Speech.
Marekani ina mpaka mkubwa sana na Mexico.
Sasa fikiria kuwa kutokee mapinduzi huko Mexico. Hii si ngumu kufikiria, na fikiria kuwa serikali inayoingia madarakani sio shabiki ama rafiki mkubwa wa Marekani, lakini kwa kuwa inaogopa kutokana na ukubwa wa Marekani, inawaomba Warusi kupeleka jeshi kuwekwa na kuwekwa mpakani mwa Marekani na Mexico.
Unadhani Marekani italikubali hili?

Je kwanini Warusi walikubali hili la Ukraine kuwa wanachama wa NATO?

Je, lazima kuwe na maelewano?
Kwa maoni yangu, Ndiyo lazima kuwe na maelewano na maelewano ni dhamani kwa Ukraine kutokuwa mwanachama wa NATO, na maelewano ni kwamba Warusi kutoka nje ya Ukraine na kuiacha Ukraine ijiendeshe. Tunatoka lakini kuna dhamana.
There must be a compromise, and Russian’s have created it so it is up to western to negotiate right now.

View attachment 2094821

View attachment 2094822
Vita tayari inaendelea huko Ukraine kama nilivyosema.
 
Urusi amepewa majibu mawili tu achague moja kati ya amani au Vita
Sasa kama NATO wanatishia mpigie simu Putin mwambie asogeze mbele jeshi lake waingie ndani kidogo ya eneo la Ukraine.,

Silaha ishayoingizwa Ukrain juzi wamefanikiwa kuingiza kwa mara ya pili tani 80 lakini pia wakatuma thamani ya dola $200 milioni imetua Kiev lakini kila leo mizigo mipya inatumwa halafu useme wanatania? Let them try

Mi nadhan Urusi wanataka mazungumzo tu si chengine maana yule waziri wao wa mambo ya nje Kremlin amesema wao hawana mpango kuingia Ukraine zaidi wanalinda mpaka wao kwa sababu NATO nao wanazidi kumiminika mpakani mwa Ukraine.,
Uko wapi ndugu yangu.
Mbona huonekani siku hizi.
Urusi kashaingia na hao NATO wanachangishana vijisilaha na vikwazo dhidi ya Urusi.
"NATO mpenzi wangu mpenzi wangu mbona hutokei"
 
Back
Top Bottom