NATO yaanza mikakati ya kuweka tayari wanajeshi 300,000 wenye uwezo wa kuitikia wito upesi

NATO yaanza mikakati ya kuweka tayari wanajeshi 300,000 wenye uwezo wa kuitikia wito upesi

Ukiwa unakimbizwa na kichaa au unakimbiza kichaa watu watakuona wewe ni kichaa. Putin anachokifanya anajuwa adhabu yake ni kifo na anajuwa lazima wamuuwe come son come rain. In such situetion anataka afe na watu wengi ila wenye akili wanasema sisi atufi na wewe ila tutazima eng. Kiufuli Putin kifo chake kitaushituwa ulimwengu. Na huwo ndio utakiwa mwisho wa Russian. End
Unadhani Putin ni Ben sanane?
 
Ukiwa unakimbizwa na kichaa au unakimbiza kichaa watu watakuona wewe ni kichaa. Putin anachokifanya anajuwa adhabu yake ni kifo na anajuwa lazima wamuuwe come son come rain. In such situetion anataka afe na watu wengi ila wenye akili wanasema sisi atufi na wewe ila tutazima eng. Kiufuli Putin kifo chake kitaushituwa ulimwengu. Na huwo ndio utakiwa mwisho wa Russian. End
Putin sio babu tale
 
Yaani "NATO Response Force", uwezo wa kuhusisha wanajeshi 300,000 kwenye mapambano ndani ya muda mfupi.

Hii ni baada ya kugundua kuwa Urusi ana uwezo mdogo sana kivita, mpaka sasa kainchi kadogo kamemsumbua.

===

NATO Secretary-General Jens Stoltenberg on Monday said the military alliance is poised to commit to "the biggest overhaul of collective defense and deterrence since the Cold War."

His comments come as NATO leaders prepare to convene in Madrid, Spain this week to decide on the so-called Strategic Concept, the 30-member alliance's most important document.

The text, which is updated roughly every decade, will reaffirm NATO's values, provide a collective assessment of the security challenges and act as a guide to the group's future political and military development.

Stoltenberg repeated the alliance's intention to recognize Russia as the "most significant and direct threat" to security in the wake of President Vladimir Putin's onslaught in Ukraine.

"Our NATO Summit in Madrid this week will be transformative with many important decisions, including on a new Strategic Concept for a new security reality," Stoltenberg said at a press conference.

"We will transform the NATO Response Force and increase the number of our high readiness forces to well over 300,000," he added.

This pledge reflects an increase of some 650% given that NATO's enhanced Response Force currently comprises around 40,000 troops.

"These troops will exercise together with home defense forces, and they will become familiar with local terrain facilities … so that that they can respond smoothly and swiftly to any emergency," Stoltenberg said.

He added that the substantial military buildup would require further investment from NATO members.

Kuanzisha viuzi vya kujifariji na kukimbia uzi mama ndo kitu pekee mlichobakiza sasa hivi, hizo kelele za NATO hazijaanza kusikika leo, zilianzia Norway, zikaja poland lakini pote output ni zero.

Kama kuna kikosi cha jeshi hapa duniani kinajiamini basi kikaingilie operation ya urusi pale Ukraine.
 
Yaani "NATO Response Force", uwezo wa kuhusisha wanajeshi 300,000 kwenye mapambano ndani ya muda mfupi.

Hii ni baada ya kugundua kuwa Urusi ana uwezo mdogo sana kivita, mpaka sasa kainchi kadogo kamemsumbua.

===

NATO Secretary-General Jens Stoltenberg on Monday said the military alliance is poised to commit to "the biggest overhaul of collective defense and deterrence since the Cold War."

His comments come as NATO leaders prepare to convene in Madrid, Spain this week to decide on the so-called Strategic Concept, the 30-member alliance's most important document.

The text, which is updated roughly every decade, will reaffirm NATO's values, provide a collective assessment of the security challenges and act as a guide to the group's future political and military development.

Stoltenberg repeated the alliance's intention to recognize Russia as the "most significant and direct threat" to security in the wake of President Vladimir Putin's onslaught in Ukraine.

"Our NATO Summit in Madrid this week will be transformative with many important decisions, including on a new Strategic Concept for a new security reality," Stoltenberg said at a press conference.

"We will transform the NATO Response Force and increase the number of our high readiness forces to well over 300,000," he added.

This pledge reflects an increase of some 650% given that NATO's enhanced Response Force currently comprises around 40,000 troops.

"These troops will exercise together with home defense forces, and they will become familiar with local terrain facilities … so that that they can respond smoothly and swiftly to any emergency," Stoltenberg said.

He added that the substantial military buildup would require further investment from NATO members.

Yaani hawa jamaa wanamnyemelea kipofu huku wanachachawa, si Urusi dhaifu yanini kukaa vikao(NATO),kaa tulia peke yako,Mrusi akianzisha unampasua ila inaonekana wameona moto anaopelekewa shoga yao hataree wamekumbuka kuungana🤣🤣🤣
 
Haka ka ujumbe umekaandika kwa mhemko, hisia kali na uchungu sana. Lakini Urusi anaonekana kuzidi kuwachapa NATO

'''Asa itakuwaje!?... Si utakufa mkuu?!

Nimeshangaa sana huyu Urusi aliyetegemewa na waarabu na dini yao ndiye huyu anatia aibu.
 
Wapeni sababu, kwa mfano guseni kataifa kamoja wanachama wao, kama vile Latva hapo mpakani na Urusi.
Sababu gani watu tunapiga mpaka hospital, shule na mmetulia kimya, unafikiri mambo hayo angefanya Syria NATO wangekuwa wanabweka nje kama mbwa
 
Sababu gani watu tunapiga mpaka hospital, shule na mmetulia kimya, unafikiri mambo hayo angefanya Syria NATO wangekuwa wanabweka nje kama mbwa
Jaribuni kupiga au kugusa paka au mbwa au mfugo wa mwanachama wa NATO
 
Sisi tunapiga Ukraine shoga yenu, kama mnaona tuna fanya vitu vya kigaidi njooni acheni kelele

Huyo tulimtumia kupima uwezo wenu na tumeshapata tulichokusudia, tumejua kumbe mpo dhaifu wa kutupwa.
 
Ukiwa unakimbizwa na kichaa au unakimbiza kichaa watu watakuona wewe ni kichaa. Putin anachokifanya anajuwa adhabu yake ni kifo na anajuwa lazima wamuuwe come son come rain. In such situetion anataka afe na watu wengi ila wenye akili wanasema sisi atufi na wewe ila tutazima eng. Kiufuli Putin kifo chake kitaushituwa ulimwengu. Na huwo ndio utakiwa mwisho wa Russian. End
Ni Russia Mzee sio Libya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo tulimtumia kupima uwezo wenu na tumeshapata tulichokusudia, tumejua kumbe mpo dhaifu wa kutupwa.
Tupo dhaifu wakati kila siku vikao? mpaka raia wenu tunaua na kuteka halafu hamna la kufanya zaidi ya kulia lia mitandaoni
 
Kwani Katika Nchi zilishambuliwa na NATO mwanachama wake alipigwa Kwanza?embu nipe mfano Mmoja.

Libya alipimwa kwa mbali akaonekana madhaifu yake kisha kapigwa, japo ilibidi kuchochea Walibya alianzishe kwa ndani, na sasa Mrusi naye ameonekana hana lolote zaidi ya vinyuklia, hivyo atatafutiwa namna ya lianzishwe kwa ndani ili kuhakikisha hagusi buttons za nyuklia kisha apigwe, maana kuna mamilioni wa Urusi ambao hawana hatia, na akikosea akiguse nyuklia, itabidi afutike kwenye ramani ya dunia, na hapo italazimu kuua mamilioni ya Warusi ambao hawana lolote baya.
 
Tupo dhaifu wakati kila siku vikao? mpaka raia wenu tunaua na kuteka halafu hamna la kufanya zaidi ya kulia lia mitandaoni

Kainchi kadogo kamewashinda kufumua.
 
Back
Top Bottom