NATO yaanza mikakati ya kuweka tayari wanajeshi 300,000 wenye uwezo wa kuitikia wito upesi

NATO yaanza mikakati ya kuweka tayari wanajeshi 300,000 wenye uwezo wa kuitikia wito upesi

Yaani "NATO Response Force", uwezo wa kuhusisha wanajeshi 300,000 kwenye mapambano ndani ya muda mfupi.

Hii ni baada ya kugundua kuwa Urusi ana uwezo mdogo sana kivita, mpaka sasa kainchi kadogo kamemsumbua.

===

NATO Secretary-General Jens Stoltenberg on Monday said the military alliance is poised to commit to "the biggest overhaul of collective defense and deterrence since the Cold War."

His comments come as NATO leaders prepare to convene in Madrid, Spain this week to decide on the so-called Strategic Concept, the 30-member alliance's most important document.

The text, which is updated roughly every decade, will reaffirm NATO's values, provide a collective assessment of the security challenges and act as a guide to the group's future political and military development.

Stoltenberg repeated the alliance's intention to recognize Russia as the "most significant and direct threat" to security in the wake of President Vladimir Putin's onslaught in Ukraine.

"Our NATO Summit in Madrid this week will be transformative with many important decisions, including on a new Strategic Concept for a new security reality," Stoltenberg said at a press conference.

"We will transform the NATO Response Force and increase the number of our high readiness forces to well over 300,000," he added.

This pledge reflects an increase of some 650% given that NATO's enhanced Response Force currently comprises around 40,000 troops.

"These troops will exercise together with home defense forces, and they will become familiar with local terrain facilities … so that that they can respond smoothly and swiftly to any emergency," Stoltenberg said.

He added that the substantial military buildup would require further investment from NATO members.


😂😂😂😂😂😂😂😂 majitu maoga sana hayo, utayajua tu, eti wanajiweka tayari, si wanamtetea Ukraine hao, na Ukraine anapondwa vibaya, iweje wasiende kupigana huko Ukraine, eti wanajiweka tayari, na nyie mnasikiliza? Waoga hao, waoga sana haaa haaaa, ujue cowards utawajua kwa kuongea ongea tu, but real fighters hakuna kuongea sana, ni action tu, piga hadi magofu unayaona, aaarrgghh i wish ningekuwa Putin, saa hz Biden angekuwa kwenye handaki huko US, ha haa, nyoko sana hawa wazungu.
 
Kainchi kadogo kamewashinda kufumua.
Nchi ndogo ni Iraq hakuna msaada waliopewa walipovamiwa,Ukraine kapewa teknolojia za ulaya yote na bado , hao Nato wanalia lia kama kuku waliokatwa kichwa
 
Libya alipimwa kwa mbali akaonekana madhaifu yake kisha kapigwa, japo ilibidi kuchochea Walibya alianzishe kwa ndani, na sasa Mrusi naye ameonekana hana lolote zaidi ya vinyuklia, hivyo atatafutiwa namna ya lianzishwe kwa ndani ili kuhakikisha hagusi buttons za nyuklia kisha apigwe, maana kuna mamilioni wa Urusi ambao hawana hatia, na akikosea akiguse nyuklia, itabidi afutike kwenye ramani ya dunia, na hapo italazimu kuua mamilioni ya Warusi ambao hawana lolote baya.
Wewe utakuwa imechizika kwa bangi. Kwa taarifa yako hakuna taifa linalojua nguvu ya kijeshi ya Russia kwa ufasaha zaidi kama marekani na ndio maana kila mrusi atakapotia mguu, mmarekani anakuwa na choice mbili tu, atoke nduki ama atulie kama ananyolewa
 
😂😂😂😂😂😂😂😂 majitu maoga sana hayo, utayajua tu, eti wanajiweka tayari, si wanamtetea Ukraine hao, na Ukraine anapondwa vibaya, iweje wasiende kupigana huko Ukraine, eti wanajiweka tayari, na nyie mnasikiliza? Waoga hao, waoga sana haaa haaaa, ujue cowards utawajua kwa kuongea ongea tu, but real fighters hakuna kuongea sana, ni action tu, piga hadi magofu unayaona, aaarrgghh i wish ningekuwa Putin, saa hz Biden angekuwa kwenye handaki huko US, ha haa, nyoko sana hawa wazungu.

Mkataba hauruhusu kupigana Ukraine, mpaka siku Urusi atakosea njia aguse kataifa kamoja ka NATO.
 
Wewe utakuwa imechizika kwa bangi. Kwa taarifa yako hakuna taifa linalojua nguvu ya kijeshi ya Russia kwa ufasaha zaidi kama marekani na ndio maana kila mrusi atakapotia mguu, mmarekani anakuwa na choice mbili tu, atoke nduki ama atulie kama ananyolewa

Wote tumeshuhudia Urusi alivyolizwa na kataifa kadogo hapo pembeni mwake, hivyo hatuhitaji kipimo kingine cha kujua alivyo wa hovyo.
 
Nchi ndogo ni Iraq hakuna msaada waliopewa walipovamiwa,Ukraine kapewa teknolojia za ulaya yote na bado , hao Nato wanalia lia kama kuku waliokatwa kichwa

Iraq alivamiwa na supapawa wa kweli, huyu Ukraine amevamiwa na supapawa mchongo aliyepokea za uso pale Kyev na kukimbia.
 
Mkataba hauruhusu kupigana Ukraine, mpaka siku Urusi atakosea njia aguse kataifa kamoja ka NATO.
Ila mkataba uliruhusu kupigana Iraq,Syria,Yemen na Yugoslav?
 
Ila mkataba uliruhusu kupigana Iraq,Syria,Yemen na Yugoslav?

Hao walianzishwa maugomvi wa kindani ndani kwanza, huyu urusi hela zake zimeminya hivyo Warusi cha moto wameanza kukipata ndani kwa ndani, wakilianisha humo humo itakua rahisi kukata kichwa maana tayari amefahamika hala lolote.
 
Iraq alivamiwa na supapawa wa kweli, huyu Ukraine amevamiwa na supapawa mchongo aliyepokea za uso pale Kyev na kukimbia.
Iraq mwarabu alivamiwa na US na washirika wake wa ulaya , huyu Ukraine ni mzungu sasa anapigwa mpaka wazungu wenzake wa Nato wanalia lia, walifikiri ni waarabu na waafrica pekee ndio wakimbizi, sasa mbabe Putin amepeleka wakimbizi ulaya na Nato hana la kufanya zaidi ya kulia lia
 
Iraq mwarabu alivamiwa na US na washirika wake wa ulaya , huyu Ukraine ni mzungu sasa anapigwa mpaka wazungu wenzake wa Nato wanalia lia, walifikiri ni waarabu na waafrica pekee ndio wakimbizi, sasa mbabe Putin amepeleka wakimbizi ulaya na Nato hana la kufanya zaidi ya kulia lia

Mwarabu mmliki wa dini yenu alipigwa mapigo ya mbali akapigika kama senene ndani ya muda mfupi, huyu ni kajirani hapo Urusi na kameshindikana ameambulia vimiji vya huko mpakani, kainchi kadogo

where-are-ukraine-&-russia.jpg
 
Back
Top Bottom