Unadhani Putin ni Ben sanane?Ukiwa unakimbizwa na kichaa au unakimbiza kichaa watu watakuona wewe ni kichaa. Putin anachokifanya anajuwa adhabu yake ni kifo na anajuwa lazima wamuuwe come son come rain. In such situetion anataka afe na watu wengi ila wenye akili wanasema sisi atufi na wewe ila tutazima eng. Kiufuli Putin kifo chake kitaushituwa ulimwengu. Na huwo ndio utakiwa mwisho wa Russian. End
Putin sio babu taleUkiwa unakimbizwa na kichaa au unakimbiza kichaa watu watakuona wewe ni kichaa. Putin anachokifanya anajuwa adhabu yake ni kifo na anajuwa lazima wamuuwe come son come rain. In such situetion anataka afe na watu wengi ila wenye akili wanasema sisi atufi na wewe ila tutazima eng. Kiufuli Putin kifo chake kitaushituwa ulimwengu. Na huwo ndio utakiwa mwisho wa Russian. End
Kuanzisha viuzi vya kujifariji na kukimbia uzi mama ndo kitu pekee mlichobakiza sasa hivi, hizo kelele za NATO hazijaanza kusikika leo, zilianzia Norway, zikaja poland lakini pote output ni zero.Yaani "NATO Response Force", uwezo wa kuhusisha wanajeshi 300,000 kwenye mapambano ndani ya muda mfupi.
Hii ni baada ya kugundua kuwa Urusi ana uwezo mdogo sana kivita, mpaka sasa kainchi kadogo kamemsumbua.
===
NATO Secretary-General Jens Stoltenberg on Monday said the military alliance is poised to commit to "the biggest overhaul of collective defense and deterrence since the Cold War."
His comments come as NATO leaders prepare to convene in Madrid, Spain this week to decide on the so-called Strategic Concept, the 30-member alliance's most important document.
The text, which is updated roughly every decade, will reaffirm NATO's values, provide a collective assessment of the security challenges and act as a guide to the group's future political and military development.
Stoltenberg repeated the alliance's intention to recognize Russia as the "most significant and direct threat" to security in the wake of President Vladimir Putin's onslaught in Ukraine.
"Our NATO Summit in Madrid this week will be transformative with many important decisions, including on a new Strategic Concept for a new security reality," Stoltenberg said at a press conference.
"We will transform the NATO Response Force and increase the number of our high readiness forces to well over 300,000," he added.
This pledge reflects an increase of some 650% given that NATO's enhanced Response Force currently comprises around 40,000 troops.
"These troops will exercise together with home defense forces, and they will become familiar with local terrain facilities … so that that they can respond smoothly and swiftly to any emergency," Stoltenberg said.
He added that the substantial military buildup would require further investment from NATO members.
Haka ka ujumbe umekaandika kwa mhemko, hisia kali na uchungu sana. Lakini Urusi anaonekana kuzidi kuwachapa NATOHii ni baada ya kugundua kuwa Urusi ana uwezo mdogo sana kivita, mpaka sasa kainchi kadogo kamemsumbua
Yaani hawa jamaa wanamnyemelea kipofu huku wanachachawa, si Urusi dhaifu yanini kukaa vikao(NATO),kaa tulia peke yako,Mrusi akianzisha unampasua ila inaonekana wameona moto anaopelekewa shoga yao hataree wamekumbuka kuungana🤣🤣🤣Yaani "NATO Response Force", uwezo wa kuhusisha wanajeshi 300,000 kwenye mapambano ndani ya muda mfupi.
Hii ni baada ya kugundua kuwa Urusi ana uwezo mdogo sana kivita, mpaka sasa kainchi kadogo kamemsumbua.
===
NATO Secretary-General Jens Stoltenberg on Monday said the military alliance is poised to commit to "the biggest overhaul of collective defense and deterrence since the Cold War."
His comments come as NATO leaders prepare to convene in Madrid, Spain this week to decide on the so-called Strategic Concept, the 30-member alliance's most important document.
The text, which is updated roughly every decade, will reaffirm NATO's values, provide a collective assessment of the security challenges and act as a guide to the group's future political and military development.
Stoltenberg repeated the alliance's intention to recognize Russia as the "most significant and direct threat" to security in the wake of President Vladimir Putin's onslaught in Ukraine.
"Our NATO Summit in Madrid this week will be transformative with many important decisions, including on a new Strategic Concept for a new security reality," Stoltenberg said at a press conference.
"We will transform the NATO Response Force and increase the number of our high readiness forces to well over 300,000," he added.
This pledge reflects an increase of some 650% given that NATO's enhanced Response Force currently comprises around 40,000 troops.
"These troops will exercise together with home defense forces, and they will become familiar with local terrain facilities … so that that they can respond smoothly and swiftly to any emergency," Stoltenberg said.
He added that the substantial military buildup would require further investment from NATO members.
Haka ka ujumbe umekaandika kwa mhemko, hisia kali na uchungu sana. Lakini Urusi anaonekana kuzidi kuwachapa NATO
'''Asa itakuwaje!?... Si utakufa mkuu?!
Sababu gani watu tunapiga mpaka hospital, shule na mmetulia kimya, unafikiri mambo hayo angefanya Syria NATO wangekuwa wanabweka nje kama mbwaWapeni sababu, kwa mfano guseni kataifa kamoja wanachama wao, kama vile Latva hapo mpakani na Urusi.
Sisi tunapiga Ukraine shoga yenu, kama mnaona tuna fanya vitu vya kigaidi njooni acheni keleleJaribuni kupiga au kugusa paka au mbwa au mfugo wa mwanachama wa NATO
Ni Russia Mzee sio Libya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwa unakimbizwa na kichaa au unakimbiza kichaa watu watakuona wewe ni kichaa. Putin anachokifanya anajuwa adhabu yake ni kifo na anajuwa lazima wamuuwe come son come rain. In such situetion anataka afe na watu wengi ila wenye akili wanasema sisi atufi na wewe ila tutazima eng. Kiufuli Putin kifo chake kitaushituwa ulimwengu. Na huwo ndio utakiwa mwisho wa Russian. End
Sababu ya wao kwenda Libya ilikuwa ni nijit? Mwanachama wao alipigwa na Libya?Wapeni sababu, kwa mfano guseni kataifa kamoja wanachama wao, kama vile Latva hapo mpakani na Urusi.
Kwani Katika Nchi zilishambuliwa na NATO mwanachama wake alipigwa Kwanza?embu nipe mfano Mmoja.Jaribuni kupiga au kugusa paka au mbwa au mfugo wa mwanachama wa NATO
Tupo dhaifu wakati kila siku vikao? mpaka raia wenu tunaua na kuteka halafu hamna la kufanya zaidi ya kulia lia mitandaoniHuyo tulimtumia kupima uwezo wenu na tumeshapata tulichokusudia, tumejua kumbe mpo dhaifu wa kutupwa.
Kwani Katika Nchi zilishambuliwa na NATO mwanachama wake alipigwa Kwanza?embu nipe mfano Mmoja.