Bata Boy Official
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 259
- 309
- Thread starter
-
- #41
Dah umejibu vizuri mkuu... yaani huu ndo ule ukweli unaoumaaa!!Yaani Meneja Masoko wa Kampuni za Vinywaji kumkutanisha kwa hio 50K ni ndogo !!!!, Pesa yetu ya madafu haina thamani ila sio kihivyo.....
Na hawa watu tusiwapandishe chati wana- machawa kibao na watu wa karibu wala sio kazi kuwapata (ingawa kuwapata haimaanishi chochote) issue ni kukubaliwa na unachowaambia especially wabongo... (kama issue ni kubwa subiri kupigwa kama ni ndogo subiri kupokea dharau)
Samahani sana mkuu nilikoseaHuenda Ruge Junior
Asante sana mkuu mfano wako umenifungua kitu... nahisi ni muda wa ku strategize upya.Kuna siku nilipita mitaa anakoishi Diamond,nikakuta vijana kadhaa pale nje ya geti. Nikamuuliza mtu niliyekuwa naye "hawa wanafanya nini pale getini?" Akanijibu wale 'madogo' wanamsubiri big(Diamond) anapotoka ndani kwenda kwenye mitikasi yake waongee nae,kila mmoja na shida yake,ila most of them,Kama siyo wote wanataka kuonyesha kipaji Cha kuimba mbele yake ili wapate collaboration au wasainiwe WCB.
Nilishangaa ila ndiyo ukweli,ukipita mitaa/nyumbani anakoishi diamond kwa wanaopajua nadhani watakubaliana na Mimi kuhusu ninachosema.
Point yangu ni nini? Watu waliofanikiwa Kuna namna ya kuwapata,maana Kama shida wanaliliwa kila sik,kuanzia huko online mpaka majumbani kwao,so Wala siyo wa kwanza wewe kulalamika usaidiwe.Kupitia hii stori unaweza kubadili namna ya kuomba connection na hao watu. Siyo rahisi kuwapata Kama unavyodhani,hata ukipewa namba zao Kama unavyodanganywa uongeze dau na baadhi ya members huko juu,utaishia kulia maana utapigwa.
Unaonekana ni msomi so jaribu kuwaza upya mkuu. Huu ndiyo msaada wangu kwako.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Cheki ulivyo mpuuzi.Dah 200k mkuu ntakudanganya... labda tufanye hiyo 150k utanidai🙌🏼
🙏Asante sana mkuu mfano wako umenifungua kitu... nahisi ni muda wa ku strategize upya.
Trust me mkuu ningekuwa na hiyo 5M usingekaa usione huu uzi kamwe50k haitoshi mkuu fanya angalau 5M tufanye kazi yako haraka tu
🤣🤣🤣🤣Come on Nakadori....5M really???
Sasa si nisingesumbua mtu.
Hahaha hapana mkuu I was playing along...nilishamuelewa huyo jamaa🙌🏼Cheki ulivyo mpuuzi.
Maneno matupu hayatoshi kama unao uwezo tengeneza prototype au working model...., au anza mwenyewe watakuja baadae wabongo hawataki kuumiza kichwa wala long term plans wanataka pesa ya haraka na kitu / pesa ya kupiga haraka....Dah umejibu vizuri mkuu... yaani huu ndo ule ukweli unaoumaaa!!
Sasa lakini mwisho wake nini...tuache kuwapa proposal wabongo wenzetu tuzipeleke ughaibuni????
Mpaka lini sasa??
Mkuu nimekufatilia toka mwanzo , inaoneka umekeleka na namna ya uwasilishaji wa hoja ya jamaa, Ila msamehe, na Kama unao uwezo wa kutimiza hitaji lake msaidie tafadhari!!! [emoji120][emoji120][emoji120]Subiri kutapeliwa huko pm basi.
Unaonekana Ni mtoto au mama boy!!
50k ili mtu akupe mawasiliano ya Kusaga,au majizzo,au meneja wa Nini sijui,like serious?Unastahili kutosaidiwa ili ujifunze adabu na hekima kwanza.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hicho cha ku present hakifai ku present kwa maandishi ukawaachia hapo Mapokezi?.Nimeenda sana ila naishiwa kuchezewa akili na watu wa reception...nenda rudi nenda rudiii
Kukutanishwa namaanisha mtu ambaye anaweza kunipeleka direct nikakutana nao nikapresent nnacho present then nampa 50k yake
Hii ni very risk sana narudia saaaana....usije kuacha proposal yako mapokezi...Hicho cha ku present hakifai ku present kwa maandishi ukawaachia hapo Mapokezi?.
Aje Inbox nimpe namba ya zembwelaKuhusu Diamond nahisi Wala usipate tabu wewe mtafute Zembwela tu atakushika mkono mkono hadi sebureni kwa Mond
Sasa utafanya nini usipofanikiwa kabisa kuwapata Wahusika?.Hii ni very risk sana narudia saaaana....usije kuacha proposal yako mapokezi...
Kutofanikiwa sio kweli sema tu itachelewaSasa utafanya nini usipofanikiwa kabisa kuwapata Wahusika?.