Natoa 50k (elfu hamsini)

Natoa 50k (elfu hamsini)

Yaani Meneja Masoko wa Kampuni za Vinywaji kumkutanisha kwa hio 50K ni ndogo !!!!, Pesa yetu ya madafu haina thamani ila sio kihivyo.....

Na hawa watu tusiwapandishe chati wana- machawa kibao na watu wa karibu wala sio kazi kuwapata (ingawa kuwapata haimaanishi chochote) issue ni kukubaliwa na unachowaambia especially wabongo... (kama issue ni kubwa subiri kupigwa kama ni ndogo subiri kupokea dharau)
Dah umejibu vizuri mkuu... yaani huu ndo ule ukweli unaoumaaa!!
Sasa lakini mwisho wake nini...tuache kuwapa proposal wabongo wenzetu tuzipeleke ughaibuni????
Mpaka lini sasa??
 
Kuna siku nilipita mitaa anakoishi Diamond,nikakuta vijana kadhaa pale nje ya geti. Nikamuuliza mtu niliyekuwa naye "hawa wanafanya nini pale getini?" Akanijibu wale 'madogo' wanamsubiri big(Diamond) anapotoka ndani kwenda kwenye mitikasi yake waongee nae,kila mmoja na shida yake,ila most of them,Kama siyo wote wanataka kuonyesha kipaji Cha kuimba mbele yake ili wapate collaboration au wasainiwe WCB.

Nilishangaa ila ndiyo ukweli,ukipita mitaa/nyumbani anakoishi diamond kwa wanaopajua nadhani watakubaliana na Mimi kuhusu ninachosema.

Point yangu ni nini? Watu waliofanikiwa Kuna namna ya kuwapata,maana Kama shida wanaliliwa kila sik,kuanzia huko online mpaka majumbani kwao,so Wala siyo wa kwanza wewe kulalamika usaidiwe.Kupitia hii stori unaweza kubadili namna ya kuomba connection na hao watu. Siyo rahisi kuwapata Kama unavyodhani,hata ukipewa namba zao Kama unavyodanganywa uongeze dau na baadhi ya members huko juu,utaishia kulia maana utapigwa.

Unaonekana ni msomi so jaribu kuwaza upya mkuu. Huu ndiyo msaada wangu kwako.



Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Asante sana mkuu mfano wako umenifungua kitu... nahisi ni muda wa ku strategize upya.
 
Dah umejibu vizuri mkuu... yaani huu ndo ule ukweli unaoumaaa!!
Sasa lakini mwisho wake nini...tuache kuwapa proposal wabongo wenzetu tuzipeleke ughaibuni????
Mpaka lini sasa??
Maneno matupu hayatoshi kama unao uwezo tengeneza prototype au working model...., au anza mwenyewe watakuja baadae wabongo hawataki kuumiza kichwa wala long term plans wanataka pesa ya haraka na kitu / pesa ya kupiga haraka....

Hata huko ughaibuni wanaweza wasi-invest kwenye idea yako bali market potential au tayari una wateja wangapi (Idea pekee its nothing) kwahio tafuta watu wako wa karibu fanya / anza na idea yako kidogo ionyeshe muelekeo (kama ina ugumu fulani / barrier to entry; the better sio kitu cha kila mtu kuweza kuiga kwa urahisi....)

In short ku-make ni mambo mengi; the right idea at the right time na right people..., Huenda Mpesa bila Vodacom isingefanya kazi..., Facebook ilikuja baada ya MySpace lakini ndio hivyo..., YouTube bila Google wala tusingeisikia..., huenda wewe ungekuja na idea ya Uber wala isingefika popote ila ukiwa na software tayari na una madereva Tax hata kumi ushawasajiri huenda kila tajiri atakaa na wewe mezani na kumuonyesha APP mwenyewe ataanza kukubembeleza..., In short its a Jungle Out there...... and sometimes lady lucky plays a part..... Ila my suggestions kama unaweza wafuate ukiwa na finished product..., hii dunia ishakuwa tambala bovu (Muulize Sugu na Malaria No More)..., Ingawa huenda bila hao aliowafuata isingekuwa as big as it was....
 
Subiri kutapeliwa huko pm basi.

Unaonekana Ni mtoto au mama boy!!

50k ili mtu akupe mawasiliano ya Kusaga,au majizzo,au meneja wa Nini sijui,like serious?Unastahili kutosaidiwa ili ujifunze adabu na hekima kwanza.



Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkuu nimekufatilia toka mwanzo , inaoneka umekeleka na namna ya uwasilishaji wa hoja ya jamaa, Ila msamehe, na Kama unao uwezo wa kutimiza hitaji lake msaidie tafadhari!!! [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Nimeenda sana ila naishiwa kuchezewa akili na watu wa reception...nenda rudi nenda rudiii

Kukutanishwa namaanisha mtu ambaye anaweza kunipeleka direct nikakutana nao nikapresent nnacho present then nampa 50k yake
Hicho cha ku present hakifai ku present kwa maandishi ukawaachia hapo Mapokezi?.
 
Hao meneja'z mauzo wa cola,pepsi na tbl ungekuwa arusha ningekukutanisha nao chap kwa haraka ata leo jioni kilingeni kwetu kijenge
 
Back
Top Bottom