Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Safi sana....Nachukua No yako
 
Huku ukiendelea na shughuli zako huko uliko,shughuli zisizokulazimu wewe kuwepo eneo la kujipatia huduma Dodoma,zitakua zinaendelea kutatuliwa kama vile wewe upo eneo la kujipatia huduma.Fanya mawasiliano kwa 0765920855 uwasiliane na DODOMA MESSENGERS.
 
Njoo whatsapp,nakupa sample ya barua,unaandika,unaituma,unachukuliwa cheti na leseni then unatumiwa,kwa wewe wa Medical Council,unayehitaji leseni na hata unaye-renew.
 
Mdau ambaye una jambo la kufuatilia,liwe la kiofisi au siyo la kiofisi,na halikulazimu wewe kuwepo Dodoma au upo Dodoma ila umebanwa na kazi nyingi,wasiliana na 'DODOMA MESSENGERS' kwa 0765920855,usaidiwe kulifuatilia na kulitatua ukiwa hukohuko uliko,kwa gharama nafuu.
 
Medical practitioner ambaye unahitaji kurenew au kupata leseni toka MCT,fanya kunicheki uwekwe kwenye orodha,uchukuliwe na utumiwe kama upo mbali na Dodoma.0765920855 ndo namba ya mawasiliano.
 
Huna haja ya kuja Dodoma kwa wewe ambaye hulazimiki kuwepo eneo la utolewaji huduma.Fanya mawasiliano kwa 0765920855
 
Wa Korogwe,Urambo na kwingineko,tuwasiliane tupange pamoja namna ya kushughulikia jambo lako,huku Dodoma.
 
Epuka usumbufu wa kusafiri kutoka huko uliko ilhali uwezekano wa kuagiza na jambo lako likafanyiwa kazi upo.Fanya mawasiliano tupeane majukumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…