Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Wewe wa Bukoba,Mwanza,Dar-es-salaam,Morogoro,Tabora n.k fanya mawasiliano uorodheshwe uwekwe kwenye orodha ya wale wanaohudumiwa.Mawasiliano ni 0765920855
 
Je uko mbali au uko Dodoma hapahapa na una shida ya kuchukuliwa leseni MCT, transcript NACTVET au una jambo lolote lisilokulazimu wewe kuwepo eneo la kutolea huduma na huna wa kumuagiza?
Wasiliana na Dodoma messengers kwa 0765920855,usaidiwe kuletewa hadi ulipo au kutumiwa kama upo nje ya mkoa wa Dodoma.
 
Je uko mbali na una shida ya kuchukuliwa leseni pale MCT, transcript NACTVET au una jambo lolote lisilokulazimu wewe kuwepo eneo la kutolea huduma na huna wa kumuagiza?
Wasiliana na Dodoma messengers kwa 0765920855,usaidiwe.
 
Mdau ambaye una jambo la kufuatilia,liwe la kiofisi au siyo la kiofisi,na halikulazimu wewe kuwepo Dodoma au upo Dodoma ila umebanwa na kazi nyingi,wasiliana na 'DODOMA MESSENGERS' kwa 0765920855,usaidiwe kulifuatilia na kulitatua ukiwa hukohuko uliko,kwa gharama nafuu.
 
Mkuu hongera sana kwa hii idea. Unaweza kufanya punguzo kidogo kwa baadhi ya wateja kwa sharti la wao kuleta ushuhuda humu kwa kazi ulizowafanyia ili kukuongezea credit. Kuna members wanaaminika sana humu jukwaani wakisema jambo jema kuhusu wewe watakuongezea wateja.
 
Mkuu hongera sana kwa hii idea. Unaweza kufanya punguzo kidogo kwa baadhi ya wateja kwa sharti la wao kuleta ushuhuda humu kwa kazi ulizowafanyia ili kukuongezea credit. Kuna members wanaaminika sana humu jukwaani wakisema jambo jema kuhusu wewe watakuongezea wateja.
Asante.Wamo wengi tu,wamehudumiwa na wanahudumiwa,hazuiliwi mtu kuja kutoa ushuhuda humu na baadhi wamehudumiwa,siyo vuzuri kuwataja kwasababu ya secrecy adherence.
 
Okoa gharama zinazoweza kuepukika kwa kufanya mawasiliano,kwa shughuli isiyokulazimu wewe kuwepo Dodoma.'Viatu' vyako vinavaliwa vilivyo,unahudumiwa kama vile upo sehemu husika.
 
Wa Mwanza,Bukoba,Katavi n.k huna haja ya kufanya safari kwa shughuli isiyokulazimu wewe au mwenzako kuwepo eneo la kutolea huduma.Fanya mawasiliano,uepukane na gharama zinazoepukika hasa ikitokea unaambiwa 'mtandao unasumbua,njoo kesho au subiri' na mwishowe kuanza kujuta.
+255765920855
 
Back
Top Bottom