Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Wewe mwenye mahitaji ya huduma ya site view na nyinginezo,waweza kufanya mawasiliano,uhudiwe pia Kwa gharama nafuu.Huna haja ya wewe kitembelea eneo husika ikiwa hakuna ulazima Kwa wakati huo.Tuwasiliane.
 
Hakikisha tu kua jambo lako halikulazimu wewe kuwepo eneo la kupatiwa huduma' husika.Fanya mawasiliano usaidiwe.
 
Hata wewe unayehitaji kufanyiwa SITE view,waweza kufanya mawasiliano na DODOMA MESSENGERS,anaglia tu kama Kuna tenda imetangazwa Kwa DODOMA, usaidiwe kupata taarifa sahihi kwa integrity kubwa,kama baadhi ya makampuni na watu binafsi wanavyohudumiwa.
 
Mdau mwenye shida Dodoma na uko mbali au upo Dodoma ila umetingwa na shughuli nyinginezo,usisite kuwasiliana na 'DODOMA MESSENGERS' kwa 0765920855 ili uweze kusaidiwa jambo lako lisilokulazimu wewe kuwepo eneo la kupatiwa huduma.
 
Miongoni mwa huduma ambazo zimekua zikitolewa ni kama;-
-Kufanya SITE VISITING na kumpa mrejesho mhusika.
-Kutafuta na kufanya booking ya vyumba kwa wageni kabla hawajafika Dodoma.
-Kufikisha jambo la mteja hasa kama anapiga simu haipokelewi mahala husika.
Hizo ni baadhi tu.
 
Epuka safari zisizokua za lazima kuja Dodoma,wasiliana na Dodoma messengers,uhudumiwe kwa weledi endapo shughuli yako haikulazimu wewe kuwepo eneo la kutolea huduma.
Mawasiliano yafanyike kupitia +255765920855,uokoe gharama mbalimbali zinazoweza kuepukika.
 
Mtaji wako ni UAMINIFU tu basi...Kula Tano Master👊
 
Sasa Mungu akiweka riziki ufungue stationery yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…