Dodoma messengers
JF-Expert Member
- Aug 28, 2019
- 565
- 902
- Thread starter
-
- #341
Sawa ndugu yangu,tuwasiliane kwa 0765920855 tupange logistics.Asante.Mkuu kiukwel umeanzisha huduma nzuri na itasaidia watu wengi sana
Naomba kama htojali nipe connection mim nipo Mwanza naweza kua naksaidia kaz zako Kwa wakaz wa mwanza hasa Mwanza mjini, ilemela mpaka magu bila shida maana n mwenyeji na hua napiga ruti sana za kwenda hizo sehem
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Kila la heri,wadau watakuona na kukupa msaada stahki.Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
Tuko pamoja,ndugu yangu.Daah! Hongera sana mkuu kwa Supreme Idea π«‘
Asante sana,karibu tena wakati mwingine,ndugu yangu.Hongera sana,, hakika unafanya kazi nzuri binafsi umenisaidia mno
πππ hilo jambo linakulazimu wewe mwenyewe mkuu.Nataka nije Dodoma na ile train ya umeme siku itakayozinduliwa, je naweza nikapata lishangazi lililochangamka la kula nalo raha?
Mademu je?Connection ya kazi je hutoiπ€
Hili jibu limeonesha una weledi na kazi yako na huna tamaa kwan unajua mipaka ya kazi yako ,,hongera xnaa man mungu akuzidishie number nimesave mda wowote ntakuchekπππ hilo jambo linakulazimu wewe mwenyewe mkuu.
Karibu kwa jambo lisilokulazimu wewe kuwepo eneo la kupatiwa huduma.
πππHili jibu limeonesha una weledi na kazi yako na huna tamaa kwan unajua mipaka ya kazi yako ,,hongera xnaa man mungu akuzidishie number nimesave mda wowote ntakuchek