Ya kasumbe
Member
- Oct 14, 2023
- 24
- 57
Hakika! Amejibu kistarabu sanaHili jibu limeonesha una weledi na kazi yako na huna tamaa kwan unajua mipaka ya kazi yako ,,hongera xnaa man mungu akuzidishie number nimesave mda wowote ntakuchek
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika! Amejibu kistarabu sanaHili jibu limeonesha una weledi na kazi yako na huna tamaa kwan unajua mipaka ya kazi yako ,,hongera xnaa man mungu akuzidishie number nimesave mda wowote ntakuchek
Nahitaji kitambulisho changu cha NIDA kipo hukoOkoa gharama zinazoepukika fanya mawasiliano.
Kitambulisho cha NIDA,wanamhitaji mhusika ndo akakichukue.Hivyo ndivyo nilivyojibiwa na mhudumu wa pale ofisini kwao.Nahitaji kitambulisho changu cha NIDA kipo huko
Okay ahsante.Kitambulisho cha NIDA,wanamhitaji mhusika ndo akakichukue.Hivyo ndivyo nilivyojibiwa na mhudumu wa pale ofisini kwao.
Karibu sana madam wakati mwingine,kwa jambo jingine lisilokulazimu kuwepo eneo la kupatiwa huduma DODOMA.Okay ahsante.
Dodoma messengersNina nyaraka zangu TAKUKURU hawakunirudishia baada ya kumaliza kesi. Je waweza kunifuatilia?
Jaribu kufanya mawasiliano nao,kama inawezekana fanya mawasiliano namimi ili niende nikakuchukulie,kwasababu sins experience ya kitu kama hicho.Nina nyaraka zangu TAKUKURU hawakunirudishia baada ya kumaliza kesi. Je waweza kunifuatilia?
Nimeshamjibu Chief.
Ok, nisaidie ishu moja chief, Kuna changamoto kwenye mfumo wa ajira portal, nimepakia vyeti vyangu vya level ya diploma na degree sasa nahitaji kuondoa vya degree vibaki vya diploma kwenye mfumo hakuna option ya kuondoa nasikia ni mpaka hapo wizara ya ajira kitengo Cha IT ndo wanaweza kuondoa, na Mimi nipo mbali ruvuma-nyasa unaweza nishughulikia Hilo?Mimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wadau hasahasa wale wa mbali na Dodoma na hata waliopo Dodoma,kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku (Dodoma) au sehemu husika kama wapo hapahapa Dodoma.
Kwa kufanya hivyo, huwa wanaokoa gharama za usafiri na malazi na badala yake, huchangia kiasi cha fedha, nikishamaliza kuwashughulikia hayo matatizo na kuridhika na huduma niliyoombwa kuifanya.
Mfano wa huduma ambazo mara kadhaa huambiwa niwashughulikie ni kama kwenda kwenye Wizara mbalimbali kama wizara ya mambo ya ndani, wizara ya mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa,kupeleka barua za kuomba uanzishwaji wa viwanda vya vilipuzi, pia kwenda bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kuomba statements za mikopo yao, kwa wale wanaokuwa na lengo la kumaliza madeni yao (loan liquidation), kufuatilia barua za wale walioachishwa kazi na wameomba kurudishwa kazini, kufuatilia kwa wale waliostaafu mafao yao kwa kupeleka viambatanisho husika kwenye mifuko waliokua wanachangia, kufuatilia hati za viwanja, kuwachukulia leseni za udaktari (practicing licenses) pale Medical Council of Tanganyika (MCT), kuwachukulia transcripts baadhi ya wadau wanaozihitaji pale NACTE VET n.k
Endapo wewe ni mmoja wa wale wanaohitaji huduma zenye kushabihiana na nilizotolea mfano hapo juu na hata kuuliza tu, karibu PM au hapahapa, kama utakuwa na la kuuliza.
Asanteni.
Mawasiliano: 0765920855
Naomba ufatilie Hilo kama inawezekana tufanye kaziOk,nisaidie ishu moja chief,Kuna changamoto kwenye mfumo wa ajira portal,nimepakia vyeti vyangu vya level ya diploma na degree sasa nahitaji kuondoa vya degree vibaki vya diploma kwenye mfumo hakuna option ya kuondoa nasikia ni mpaka hapo wizara ya ajira kitengo Cha IT ndo wanaweza kuondoa ,na Mimi nipo mbali ruvuma-nyasa unaweza nishughulikia Hilo?
Ok, nisaidie ishu moja chief, Kuna changamoto kwenye mfumo wa ajira portal, nimepakia vyeti vyangu vya level ya diploma na degree sasa nahitaji kuondoa vya degree vibaki vya diploma kwenye mfumo hakuna option ya kuondoa nasikia ni mpaka hapo wizara ya ajira kitengo Cha IT ndo wanaweza kuondoa, na Mimi nipo mbali ruvuma-nyasa
Bilashaka wewe ni mmoja ya watu niliowasiliana nao leo,na nikafika PSRS,ambapo nilikupa maelekezo ya namna nilivyojibiwa mimi na baadhi ya wadau kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini.Ok, nisaidie ishu moja chief, Kuna changamoto kwenye mfumo wa ajira portal, nimepakia vyeti vyangu vya level ya diploma na degree sasa nahitaji kuondoa vya degree vibaki vya diploma kwenye mfumo hakuna option ya kuondoa nasikia ni mpaka hapo wizara ya ajira kitengo Cha IT ndo wanaweza kuondoa, na Mimi nipo mbali ruvuma-nyasa unaweza nishughulikia Hilo?
Ukikifata fikia kwanguNahitaji kitambulisho changu cha NIDA kipo huko
SawaUkikifata fikia kwangu
Bilshaka unaweza ukaingia kwenye mfumo ule wa ESS,ambapo kwa uzoefu ni kwamba tafuta mtu ambaye kwanza mnalingana vyeo na mnafundisha masomo yanayofanana,mfuate utaratibu,hivyo ndivyo niliwahi kushuhudia wakijibiwa baadhi ya walimu waliowahikuniagiza niende Mtumba.Naomba ufatilie Hilo kama inawezekana tufanye kazi