Dodoma messengers
JF-Expert Member
- Aug 28, 2019
- 565
- 902
- Thread starter
- #41
Thanks much.You are warmly welcome.nice one. All the best
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks much.You are warmly welcome.nice one. All the best
Ndiyo inawezekana kabisa.Tuwasiliane.Nna shida na maua ya choya, naskia huko yanapatikana kwa wingi.. hili pia unaweza kulishughulikia?
Hongera sana mzee, cha msingi uaminifu na kutunza siri za wateja wakoMimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wafanyakazi hasahasa wa Serikali pia na wa sekta binafsi kwa uchache, kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku (Dodoma)...
Skia, 2019 nilipokuwa UDOM nilifanya usajili kupata kitambulisho cha nida/taifa ila mpaka naondoka mpaka leo hii sijapata kitambulisho mana niko mbali na Dodoma na siwezi kuja kwa ajili ya kuchukua kitambulisho tuu.Bado napokea KAZI,ili kesho usiku ratiba ipangwe,wewe ambaye una mpango wa kwenda sijui LOAN BOARD,TAMISEMI au kokote,kama huna ulazima wa kuja Dodoma,usisite kuwasiliana nami kwa namba tajwa kwenye bandiko.Karibuni.
Usijali,nipigie,baadae niende Iyumbu ofisini nikakuchukulie,maana vimelundikwa mle ofisini ila ntaanza kukuangalizia kwanza pale ofisi ya kata ya Nghonghona,nikikikosa ndo ntaenda Iyumbu.Kwanini Iyumbu,kwasababu chuo kipo ya kata ya Iyumbu,hivyo possibility ya baadhi ya vitambulisho kuwepo kule,ni mkubwa.Nipigie.Skia, 2019 nilipokuwa UDOM nilifanya usajili kupata kitambulisho cha nida/taifa ila mpaka naondoka mpaka leo hii sijapata kitambulisho mana niko mbali na Dodoma na siwezi kuja kwa ajili ya kuchukua kitambulisho tuu.
Nataka ufatilie hy ishu nikipate kitambulisho changu
Nashukuru sana,ndugu. Ntaendelea kuwa mwaminifu siku zote.Naomba kutoa ushuhuda kuhusu mtoa mada.
Sema ukweli, jamaa ni mwaminifu sana, nilikuwa na shida ya kitambulisho changu kilichokuwa Dodoma na niliongea na kuelewana nae...
Siwezi kukupa jibu la moja kwa moja,mkuu.Eti, Dodoma kimaisha ni pagumu? Naomba experience yako. Natamani kuhamia Dodoma
Unataka watu wakuamini weka details zako zote including pictureMimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wafanyakazi hasahasa wa Serikali pia na wa sekta binafsi kwa uchache, kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku (Dodoma)...
Ok nta-upload picture usijali.Unataka watu wakuamini weka details zako zote including
Ndugu,Ok nta-upload picture usijali.
Kwa wanaonitumia hakuna hata mmoja,niliyemvunjia uaminifu.Niko kwenye process za kujisajili pia,Brela.Asante.
Nimeshaona,nikitoka Mtumba,naunganisha kwenye suala lako.Asante.kuna meseji PM,jitahidi ufanyie kazi leo.