Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana,tunajitahidi kujenga taifa kwa namna hii pia.Karibu sana.Akili kubwa, hongera sana.
Mkuu hongera sana kwa wazo zuri sana la kibunifu, sema kua na tahaadhari na Matajiri wa Mahoteli na Nyumba za wageni maana wengine wanaweza kutafsiri Kama umewaharibia soko lao la kulaza wageni hapo Dodoma, watataka kuku eliminate!!!Okoa gharama za loji,gharama za usafiri hapa Dodoma,usumbufu wa kusafiri toka huko uliko,usumbufu wa usafiri hapa Dodoma na upotezaji wa muda pia,wakati suala lako halikulazimu wewe kufika hapa Dodoma.
Fanya mawasiliano,utahudumiwa inavyotakiwa kwa uweledi,kama wanavyohudumiwa wengine.Muda huu ujumbe unavyoandikwa, wenzako wanaendelea kuhudumiwa.
Piga/WhatsApp:0765920855
Nashukuru sana,bilashaka watawapata wale ambao watalazimika kufika Dodoma,kwani si shughuli zote nazifanya bali ni kwa wale tu ambao uwepo wao hapa Dodoma,siyo wa lazima.Mkuu hongera sana kwa wazo zuri sana la kibunifu, sema kua na tahaadhari na Matajiri wa Mahoteli na Nyumba za wageni maana wengine wanaweza kutafsiri Kama umewaharibia soko lao la kulaza wageni hapo Dodoma, watataka kuku eliminate!!!
Ndiyo,karibu.Unasaidia pia kupata nyumba?!
Mimi nikutakie kila la heri, unafanya kazi kubwa mungu awe pamoja na weweToa maagizo,kwa 0765920855,jambo lako lishughulikiwe kama wenzako wanavyohudumiwa,kulingana na majukumu yanayoshabihiana na bandiko.Asante.
Nashukuru sana.Asante.Mimi nikutakie kila la heri, unafanya kazi kubwa mungu awe pamoja na wewe