Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Orodha inapangwa,wapi shughuli ianzie leo na iishie,fanya mawasiliano either PM,au kwa namba iliyowekwa mwanzoni kabisa mwa bandiko,okoa muda,ondoa usumbufu,okoa gharama.
 
Piga kawaida au tuma meseji WhatsApp kwa namba 0765920855,utapata huduma stahki.Hata PM unaweza ukatuma meseji kama wenzako.
 
Fanya mawasiliano,tumalizie masaa ya ijumaa yaliyobaki kwa kushughulikia suala lako kama bandiko linavyojieleza.
Rahisishiwa safari,okoa gharama za muda na raslimali pesa,utashughulikiwa beyond your expectations.
 
Fanya mawasiliano,kazi kama ufuatiliaji wa jambo flani hapa Dodoma,iwe kwenye ofisi ya serikali au binafsi, bahasha inatakiwa kupelekwa ofisi flani,mzigo unatakiwa kupokelewa au utumwe kwenda sehemu fulani, vyote hivyo hivyo fanya mawasiliano kwa 0765920855 au njoo PM,utafanyiwa kwa weledi kama baadhi ya wenzako wanaofanya mawasiliano.

Huna haja ya wewe kuja kuanza kuuliza mara ofisi ya Tume ya Walimu iko wapi,mara ofisi za Tamisemi ziko wapi,mara eti nimekuja kupeleka barua sijui ofisi za wizara flani,wakati ungeagiza kwa BUS,ikapokelewa na kufikishwa wizara husika tena kwa wakati.

Vitu ni vingi sana unarahisishiwa,na wenzako wengi wanazidi kurahisishiwa.Karibu.
 
Fanya mawasiliano uhudumiwe kama vile upo wewe huku.Hutaangushwa,na majibu utakayoyapata ni ya kutoka sehemu husika uliyotaka kuja kupata huduma tarajali.

Your shoes are worn in accordance,kwa tafsiri isiyo rasmi,viatu vyako vinavaliwa katika utatuzi wa tatizo unalotaka kuja kulishughulikia.
 
Hongera sana, hiyo kazi ukishaizoea unakuwa na connection na ofisi nyingi kiasi kwamba shughuli ambayo ingefanywa na mwingine kwa saa 2 wewe unaipiga kwa dakika 30 tu.

Nasema hivi kwa sababu kuna mzee yupo chuo fulani hapa Dar, yeye ukienda kuchukua cheti unampoza. Siku hiyo hiyo unaondoka nacho.

Ana connection kila ofisi muhimu. Yaani akimkosa mhusika fulani, anajua kwa kumpata au mbadala wake wakati kwa mazingira hayo ukienda mwingine utaambiwa njoo kesho.
 
Tuwasiliane,uwekwe kwenye ratiba,yawezekana sehemu nitakayoanzia kesho,nawewe una shida sehemu hiyohiyo, utashughulikiwa pamoja na baadhi ya wenzako waliokwishanipa kazi sehemu hiyo.

Namba ni hiyohiyo iliyoko kwenye bandiko.Asante.
 
Ndugu,mambo yamebadilika sana,unaweza kufanya mawasiliano kwa shughuli isiyohitaji uwepo wako hapa Dodoma, kama kuulizia bei ya ulichonacho na uhitaji wake kwa huku,mfano mazazao kama ya uvuvi, mchele n.k, utapata majibu ukiwa hukohuko na ikabaki ni utekelezaji tu, kuliko eti hadi ufike Dodoma kufanya utafiti.

Fanya mawasiliano kwa namba tajwa kwenye bandiko hili.

Nimengi watu wanahudumiwa,kuorodhesha hapa itachukua maandishi mengi.Tambua huduma inatolewa kwa wale wasiokua na ulazima wa kuja Dodoma.Asante.
 
Wewe ambaye una shida hapa TSC(Teachers Commission) na uko mbali na Dodoma na labda haujapata majibu mazuri huko uliko, tafadhari fanya mawasiliano kabla sijatoka hapa,upewe majibu stahki.Asante.
 
Piga,tuma meseji au nenda PM acha ujumbe tuwasiliane uhudumiwe in accordance
Namba ni 0765920855.
Unarahisishiwa mambo mengi.
 
Leo nilitoa hapa ushauri Kwa wanaishi dar es salaam.

Fungua ofisi masokoni, anzisha delivery system watu weng wa DSM wanakwenda tu sokoni bila kupenda..


Akipatika a muaminifu kama kampuni. Nyanya, kitunguu, hoho nk watu wangetulia kukusubiria wewe.

Obvious sokoni bidhaa bei chee unauwezo wa kuweka bei pendwa, Kwa kuzingatia ubora na usafi(hygiene) wa bidhaa ulizo point nk.

Usafi ni muhim Sana Tena ukafanya packing nzuri utauza Sana
 
Usisite kufanya mawasiliano, yawezekana anachoshughulikiwa mwenzio,ndiyo hichohicho unachokitaka,hivyo shughuli zenu zikafanyiwa kazi kwa pamoja.Okoa gharama za muda na mambo mengine.
0765930855 ndiyo namba husika.Tuendelee kuwekana bize.
 
Fanya mawasiliano,urahisishiwe wewe,ndugu au rafiki yako anayetaka kuja Dodoma kwa shughuli isiyomlazimu yeye kufika Dodoma.Wewe au yeye aendelee kufanya shughuli zake,atahudumiwa na kuletewa mrejesho stahki.
0765920855 WhatsApp/Call ya kawaida au ingia PM kama wenzako wanavyofanya.
 
Back
Top Bottom