Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Maeneo mengi ya karibu na Jiji hasa Kikuyu, Maili Mbili, Nkuhungu, Makole bei gani?
Nyumba nzuri,wengi wao wanafanya laki na nusu nakuendelea,inategemeana na specifications za nyumba husika.
Halafu watu wengi wanaotaka kupanga wana-specify kua nataka chumba kama ni master bedroom au la,sebule,jiko n.k.,hivyo kukujibu moja kwa moja,inakua shida,maana bei za pango haziko uniform.
 
Huduma zinaendelea kutolewa,fanya mawasiliano,wewe ambaye unataka kuokoa gharama ya nauli,muda na usumbufu mwinginemwingine,usisite kupiga simu au kutuma ujumbe mfupi uhudumiwe in accordance.
0765920855
 
Ndugu endelea kutuma meseji PM,meseji za kawaida kwenye namba ya simu au piga kwa 0765920855,ili uwekwe kwenye ratiba ya kuhudumiwa,kama bandiko lilivyojitanabaisha.
 
Ewe jamaa,fanya mawasiliano,hii itakufanya uokoe mengi.
Namba ipo mwanzoni kabisa mwa bandiko.
Karibu.
 
Tuendelee kufanya mawasiliano,endapo nilifika ofisi ya umma,nikapresent shida yako,na nikakupa namba ya ofisi,ila kila ukipiga haipokelewi,tafadhari nirudie ili nifike ofisi husika,nimwambie mhusika wa ofisi,upige nikiwa hapohapo ofisini,tumalize jambo husika.
Baadhi ya ofisi za umma wanatoa namba halafu hawapokei,imekua kama desturi.
 
Kazi bado zinapokelewa.Fanya mawasiliano,upate huduma kulingana na hitaji lako.
0765920855 ni namba ambayo unaweza kupiga be au kutuma ujumbe mfupi,tukawasiliana.
 
Gharama za usafiri kutoka huko uliko,malazi,chakula pamoja na upotevu wa muda,wewe unaweza ukaepuka kwa kufanya mawasiliano kwa 0765920855,ukasaidiwa kutatuliwa shida yako,kwa gharama nafuu.
Ofisi za umma na hata binafsi,zinafikika.
Fànya kama wenzio.Asante.
 
Okoa muda,gharama za nauli ya kuja na kurudi,gharama za malazi,chakula n.k. kwa kuwasiliana na 'DODOMA MESSENGERS' kwa 0765920855,uhudumiwe ukiwa mbali na Dodoma,kwa shughuli za kiofisi na zisizo za kiofisi,zisizokulazimu wewe kuja.
 
Wewe mdau,ambaye uko mbali na Dodoma,ikitokea umepata namba ya ofisi flani ya umma,na ukawa unawapigia hawapokei,usisite kufanya mawasiliano kwa 0765920855,nitafika ofisi husika,na ikiwezekana nitakwambia upige namba ya ofisi,nikiwa hapohapo,utatuliwe tatizo lako.Karibu sana.Epuka gharama zinazoweza kuepukika.Fanya mawasiliano,usaidiwe kwa gharama nafuu.
 
Leo nilitoa hapa ushauri Kwa wanaishi dar es salaam.

Fungua ofisi masokoni, anzisha delivery system watu weng wa DSM wanakwenda tu sokoni bila kupenda..


Akipatika a muaminifu kama kampuni. Nyanya, kitunguu, hoho nk watu wangetulia kukusubiria wewe.

Obvious sokoni bidhaa bei chee unauwezo wa kuweka bei pendwa, Kwa kuzingatia ubora na usafi(hygiene) wa bidhaa ulizo point nk.

Usafi ni muhim Sana Tena ukafanya packing nzuri utauza Sana
Hawa jamaa walianza kama mshikaji leo wako mbali sana wanaunganisha wauzaji na wanunuzi hadi
Japan
South Africa
Dubai

Ushauri wangu kwa jamaa yangu, kufanya biashara au kutoa huduma bila kujisajili nikosa kwasheria zetu.

Sheria za nchi yetu zinakataza kwasabu nyingi ikiwepo usalama wake,usalama wa pesa za watu nk.

Bora akasajili huduma yako kwenye mamlaka au unaweza tumia platform kama hizi ambazo zimesajiwa kisheria na kulipa kodi hawa wanalipa kodi badala yako wewe unawalipa wao kwasabu ya mitaji yetu midogo badae mtaji ukikua unasajili huduma zako.

 
Hawa jamaa walianza kama mshikaji leo wako mbali sana wanaunganisha wauzaji na wanunuzi hadi
Japan
South Africa
Dubai

Ushauri wangu kwa jamaa yangu, kufanya biashara au kutoa huduma bila kujisajili nikosa kwasheria zetu.

Sheria za nchi yetu zinakataza kwasabu nyingi ikiwepo usalama wake,usalama wa pesa za watu nk.

Bora akasajili huduma yako kwenye mamlaka au unaweza tumia platform kama hizi ambazo zimesajiwa kisheria na kulipa kodi hawa wanalipa kodi badala yako wewe unawalipa wao kwasabu ya mitaji yetu midogo badae mtaji ukikua unasajili huduma zako.

Asante,lakini hadi sasa,hawa BRELA(Business Registration and Licencing Agency washasajili,kama 'DODOMA MESSENGERS',imelipiwa.
 
Kwa wale wanaoshughulikiwa matatizo yao,mfano wale ambao wameomba kurudishwa kazini na hawajui barua zao za kukubaliwa au kukataliwa kurudishwa kazini zimefikia wapi,tafadhari,muwe mnakaa karibu na simu kuokoa muda,pale inapotokea nomeulizwa mambo ambayo sina ufahamu nayo.
Anyway,wewe ambaye uko mbali na ofisi zilizopo Dodoma,na una shida isiyokulazimu kufika mwenyewe physically,ofisini,tafadhari wasiliana kwa 0765920855 usaidiwe ukiwa hukohuko uliko.
Utaokoa gharama za malazi,chakula na usafiri.
 
Tuendelee kuwasiliana kwa yale mambo yasiyokua na I lazima wa wewe kuja Dodoma,utasaidiwa kwa umahiri na kwa weledi,kama ilivyo kwa wenzako.
0765920855 ni namba inayopatikana muda wote,leta shida yako,upangiwe siku na muda.
Karibu.
 
Okoa muda,gharama za nauli ya kuja na kurudi,gharama za malazi,chakula n.k. kwa kuwasiliana na 'DODOMA MESSENGERS' kwa 0765920855,uhudumiwe ukiwa mbali na Dodoma,kwa shughuli za kiofisi na zisizo za kiofisi,zisizokulazimu wewe kusafiri hadi Dodoma.
 
Kazi zinaendelea kupokelewa,nyaraka zinapokelewa na kupelekwa sehemu husika,mambo yanaenda kuulizwa sehemu husika na kupatiwa majibu yanayowahusu walengwa,foleni zinapangwa sehemu mbalimbali za kutolea huduma,pasipo mhusika kuwepo,na kukamilishwa michakato mbalimbali huku updates zikitolewa,n.k.
Fanya mawasiliano upate huduma stahki,kwasasa hata ukiwa Dodoma,na umetingwa na shughuli,utahudumiwa huku wewe ukiendelea na mambo yako.
Piga:+255765920855
Whatsapp:+255765920855
 
Back
Top Bottom