Uchaguzi 2020 Natoa onyo la mwisho kabisa kwa Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Natoa onyo la mwisho kabisa kwa Tundu Lissu

skia izi pombe zingine uku, infact inawezekana hata tungekua maskini zaidi ya hapa tulipo! kua na rasilimali na kua na mtu mwenye maono na izo rasilimali ni kitu kingine, ruzuku ni rasilimali pia, sasa unataka tuishi kama ufipa? tutolee takataka apa
Ruzuku ya chadema inatumika kugharamia kesi kesi kibao za kubambikiwa na CCM pesa nyingi inatumika kujihami dhidi ya hujuma za CCM na pia kuimarisha chama, CCM hakuna mwenye maono wote ni wezi watupu mmetafuta trilion 1.5 mkamtoa kafara CAG, ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge kuna ufisadi kila mradi wa CCM ni ile ukoo wa panya
 
Hapo anakuambia akishinda atanunua ndege tano zingine. Tujiandae kwa miaka migumu mingine 5.Huyu hapati kura yangu. Akishinda hata akiendeleza ma ujenzi yake mimi nitajifariji kwa kusema sikumpigia kura.

Sasa tatizo lipo wap apo kununua ndege? sio watanzania wote ni maskini ujue ilo.
 
Ruzuku ya chadema inatumika kugharamia kesi kesi kibao za kubambikiwa na CCM pesa nyingi inatumika kujihami dhidi ya hujuma za CCM na pia kuimarisha chama, CCM hakuna mwenye maono wote ni wezi watupu mmetafuta trilion 1.5 mkamtoa kafara CAG, ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge kuna ufisadi kila mradi wa CCM ni ile ukoo wa panya

sasa tatizo lipo wap si mradi umetekelezeka, ingekua haujakelezeka apo ingekua kesi ingine!
eti ruzuku mnatumia kugaramikia kesiz a cdm? si mkienda mahakamani mnaweka namba za kuchangia ata hizi kampeni si mmeweka namba za kuchangia ama? wanachama wenu hawatoi ela ama? ruzuku si kila mwezi? 300M+, na Bil 8 juu hazijulikan zpo wap! au unadhan hatujui kinachoendelea,

na kile kibanda chenu pale ufipa, pemben mmeweka mpesa kabisa mtu akichangia hapo hapo anaenda kununua konyagi kubwa
 
Ndugu William, Unaonyesha uu Mtu mwenye Mapenzi na Nia nzuri na Tundu Lissu. Kwani Akupendae na mkweli ndiye anaye Kuonya, Kushauri na kukuonyesha makosa yako, Lakini wanokushangilia na kukusifu hata unapokosea, hao ni maadui na hawana nia nzuri.
Tokea arudi hadi leo, Lissu hajajitangaza kisiasa ila kulalamika na kumponda Magufuli, Yote hayo atapata muda na fursa, lakini huu ni wakati wa kuwavutia wapiga kura , kuwashawishi wajitokeze kwa wingi na wampigie kura, angeweza kuwapata wapiga kura wengi wa chama chake na vyama vinginevyo.

Kwa Mfano jana hapakuwa na sababu ya kutoitangaza ILANI yao Ya Uchaguzi na pia wakazungu,zia uonevu wa wagombea wao kukatwa. Jana Uongozi wa Chadema na Lissu wameudhihirishia UMMA kuwa hawana uwezo wa kufanya au kubeba Ajenda Mbili au zaidi kwa pamoja ( MULTI TASKING). Kuna wengi tunaliona hili la jana , kama mbinu za kumkwamisha TL, au kumtoa kwenye focus.
Hongera kwa kuliona hilo na kueleza upingufu mkubwa kwenye kampeni za CHADEMA.

Toka awali nimetoa tahadhari kuwa Lissu alipaswa kuchukua muda kuzunguka sehemu mbalimbali za jamii kuthobitisha ukweli wa yale aliyokuwa analishwa akiwa kwenye matibabu, kabla hajateuliwa kuwa mgombea Urais.

Nahisi hakutaka kufanya hivyo kwa sababu ya kesi zinazomkabili na uwezekano wa kufunguliwa mashtaka mapya kuhusu yale aliyokuwa akisema uko ugenini. Hakutaka kufanya hivyo kwa kuwa kama mgombea Urais asingeweza kuendelea na mashtaka. Lakini kaahirisha tu, mashtaka yako palepale na mapya yanamsubiri. Atakosa na kutoswa na wafuasi wake wa mitandaoni kama Lowassa na Membe
 
Mkuu wenda unaongea kiushabiki tu wa chama chako ,ila hapo ulipo ukweli moyo wako unashuhudia,iko ivi wengine tunaongea kimwili na kiroho zaidi 2020 Ina sufuri mbili lakini pia mbili mbili ,niishie hapo msijipe matumaini Sana mtakuja kulia na msipokua makini waweza shangaa upo mental clinic, kwa vitu vidogo ,mchezo wowote Kuna kushinda na kushindwa na ukilijua hili amini nakwambia unakua free kuanzia kiakili mpaka moyo, sawa kada
Natambua Vizuri katika mashindano yeyote kuna kushinda na kushindwa.

Lakini tambua baada ya mchezo kuanza na kuendelea point of winning hubadlika na Mshindi hujilikana hata kabla ya mchezo kuisha.

Kwa hili game uwanja umelala kabisa.
Ushindi nje nje.
 
Hongera kwa kuliona hilo na kueleza upingufu mkubwa kwenye kampeni za CHADEMA.

Toka awali nimetoa tahadhari kuwa Lissu alipaswa kuchukua muda kuzunguka sehemu mbalimbali za jamii kuthobitisha ukweli wa yale aliyokuwa analishwa akiwa kwenye matibabu, kabla hajateuliwa kuwa mgombea Urais.

Nahisi hakutaka kufanya hivyo kwa sababu ya kesi zinazomkabili na uwezekano wa kufunguliwa mashtaka mapya kuhusu yale aliyokuwa akisema uko ugenini. Hakutaka kufanya hivyo kwa kuwa kama mgombea Urais asingeweza kuendelea na mashtaka. Lakini kaahirisha tu, mashtaka yako palepale na mapya yanamsubiri. Atakosa na kutoswa na wafuasi wake wa mitandaoni kama Lowassa na Membe
Unachekesha ujue?unaishi sehemu gani ya Tanzania?!hakuna sehemu ambayo watu hawamjui TAL na watamchagua tuu
 
Natambua Vizuri katika mashindano yeyote kuna kushinda na kushindwa.

Lakini tambua baada ya mchezo kuanza na kuendelea point of winning hubadlika na Mshindi hujilikana hata kabla ya mchezo kuisha.

Kwa hili game uwanja umelala kabisa.
Ushindi nje nje.
Mkuu funga nakuomba, lissu na chadema wanachowafanyia ccm sio Cha dunia hii nashukuru umekili,kwamba mshindi hujulikana hata kabla ya mchezo kuisha,, una unajua vizuri kutoka moyoni na nakuona kiroho unajua vizuri ila unajipa matumaini kwa kua ccm ni chama dora,na ndo jia pekee mmebaki nayo kujipa matumaini,iko ivi hii njia pia binafsi kiroho imebaki na asilimia 38.7 kuweni makini Sana ccm ni kazi moja tu au ni mtiani mmoja imebaki kuipandisha japo ipo kazi kwelikweli au ibaki hivyo au ishuke mpaka kufika ziro,mna kazi ngum kweli kweli mwaka huu,mungu ibariki nchi yangu
 
Endelea kujidanganya unazeeka na kufa bila CCM kurejea tena, huu ndiyo mwisho wake ya Malawi Kenya congo Ghana Gambia yanaenda kutokea Tanzania, CCM itakuwa chama cha upinzani kama KANU ya kenya?
We sibirisk
Mkuu mpaka mda huu Kama kada umekisaidia chama chako vipi,? wanachama wa ccm katika uchunguzi wangu wa kawaida mnapenda Sana mteremko, unatakiwa mshindwe ili mjirekebishe,angalia wanachama wa chadema pamoja na mazingira magum ila Wana umoja makini Sana,Sasa nyie badala ya kumchangia hata sh 200 mgombea wenu mwasubili nyie mchangiwe,mmetesa Sana mgombea wenu,mh jpm relax umepambana vya kutosha ila chama chako wengi wanachama chako wapo kimaslai zaidi ,binafsi ukishindwa nitakua wa kwanza kukutetea usibughudhiwe yaliyo pita yamepita lazima kuanza ukurasa mpya iyo nitafanya, kukutetea iache kwanza ccm ife ili isukwe upya may be bahada ya miaka 25 itarudi madarakani hakuna namna ya kuwasaidia wanachama wako wakati wao hawawezi jisaidia
Kitu cha kwanza kabisa ni vizuri tukaelewa kwamba sisi ni wa afrika ambao tuna tabia mmoja common kwa sisi wote ni hiyo ni UBINAFSI. Kila muafrika anachofikiria ni tombo lake hajali nchi yake, wananchi wake wala ndugu zake waliokua vijijini. Na kwa tamaa zao wako radhi wamwage damu, maana wanajua kikinuka wao watakimbilia nchi za ulaya na kujificha huku wakiacha wakina mama, walemavu, watoto, na wazee wakiteseka na dada zetu mama wetu hata wake zetu wakibakwa mbele zetu, ni hapo kwenye vita na mchafuko. Imagine hiyo pair atakayo kupata au ilishampata wenzetu waliokua kwenye michafuko.
Sasa hapa wote ccm au wapunzani asilimia kubwa sana wako kwenye maslaha yao lakini inawezekana akapatikana mtu mmoja akajaribu kulikomboa taifa lakini wafuasi wake wakiwa bado ni wabaya.
Magu amejitahidi sana kufanya mambo mengi kwa mda mfupi lakini bado kuna mpungufu hapa na pale. Kodi zilikua zinakusanywa miaka yote lakini haijawahi kutokea jinsi alivyo bana na kujenga vituo vya afya, barabara n.k.
Hapo still tunahitaji wapinzani ili kufichua yanayo jificha lakini bahati mbaya wapunzani wetu wao ni kupinga kila kitu, ingawa bwana Lisu ameanza kuona umuhimu wa mwendo kasi na si ajabu kesho akaisifia traini ya kasi pia n.k.
Kwahiyo huyu mzee Magu anahitaji wasaidizi waaminifu hata kama ni upinzani. Ebu fikiria sasa hivi asilimia kubwa ya wale wezi na mafisadi wamehamia chadema na nina jamaa wangu wengi waliobanwa wanamlaani Magu kisa tu hakuna ulaji waliozoea
 
Uvccm tulitegemea mda huu muwe mshafika kilimanjaro kukabiliana na moto, Sasa huo uzalendo pori wenu ni wa kuimba mapambio na kumsifu meko tu, linapokuja suala linalohitaji uzalendo mnajificha kama mnadaiwa kodi na faza house mzaramo [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utawala huu ulijiaminisha unapendwa ukazuia mikutano ya siasa kwa miaka mitano wakajua kashfa zao ni siri hakuna anayeweza kuwachana ukweli, sasa Lisu kaamua kuwapa vidonge wanaweweseka vibaya
Lisu ni jemedari amewafungua macho wengi
 
We sibirisk

Kitu cha kwanza kabisa ni vizuri tukaelewa kwamba sisi ni wa afrika ambao tuna tabia mmoja common kwa sisi wote ni hiyo ni UBINAFSI. Kila muafrika anachofikiria ni tombo lake hajali nchi yake, wananchi wake wala ndugu zake waliokua vijijini. Na kwa tamaa zao wako radhi wamwage damu, maana wanajua kikinuka wao watakimbilia nchi za ulaya na kujificha huku wakiacha wakina mama, walemavu, watoto, na wazee wakiteseka na dada zetu mama wetu hata wake zetu wakibakwa mbele zetu, ni hapo kwenye vita na mchafuko. Imagine hiyo pair atakayo kupata au ilishampata wenzetu waliokua kwenye michafuko.
Sasa hapa wote ccm au wapunzani asilimia kubwa sana wako kwenye maslaha yao lakini inawezekana akapatikana mtu mmoja akajaribu kulikomboa taifa lakini wafuasi wake wakiwa bado ni wabaya.
Magu amejitahidi sana kufanya mambo mengi kwa mda mfupi lakini bado kuna mpungufu hapa na pale. Kodi zilikua zinakusanywa miaka yote lakini haijawahi kutokea jinsi alivyo bana na kujenga vituo vya afya, barabara n.k.
Hapo still tunahitaji wapinzani ili kufichua yanayo jificha lakini bahati mbaya wapunzani wetu wao ni kupinga kila kitu, ingawa bwana Lisu ameanza kuona umuhimu wa mwendo kasi na si ajabu kesho akaisifia traini ya kasi pia n.k.
Kwahiyo huyu mzee Magu anahitaji wasaidizi waaminifu hata kama ni upinzani. Ebu fikiria sasa hivi asilimia kubwa ya wale wezi na mafisadi wamehamia chadema na nina jamaa wangu wengi waliobanwa wanamlaani Magu kisa tu hakuna ulaji waliozoea
Kwani huwezi leta maendeleo bila kuuwa, kuumiza watu? kuwasomesha watu namba?
 
We sibirisk

Kitu cha kwanza kabisa ni vizuri tukaelewa kwamba sisi ni wa afrika ambao tuna tabia mmoja common kwa sisi wote ni hiyo ni UBINAFSI. Kila muafrika anachofikiria ni tombo lake hajali nchi yake, wananchi wake wala ndugu zake waliokua vijijini. Na kwa tamaa zao wako radhi wamwage damu, maana wanajua kikinuka wao watakimbilia nchi za ulaya na kujificha huku wakiacha wakina mama, walemavu, watoto, na wazee wakiteseka na dada zetu mama wetu hata wake zetu wakibakwa mbele zetu, ni hapo kwenye vita na mchafuko. Imagine hiyo pair atakayo kupata au ilishampata wenzetu waliokua kwenye michafuko.
Sasa hapa wote ccm au wapunzani asilimia kubwa sana wako kwenye maslaha yao lakini inawezekana akapatikana mtu mmoja akajaribu kulikomboa taifa lakini wafuasi wake wakiwa bado ni wabaya.
Magu amejitahidi sana kufanya mambo mengi kwa mda mfupi lakini bado kuna mpungufu hapa na pale. Kodi zilikua zinakusanywa miaka yote lakini haijawahi kutokea jinsi alivyo bana na kujenga vituo vya afya, barabara n.k.
Hapo still tunahitaji wapinzani ili kufichua yanayo jificha lakini bahati mbaya wapunzani wetu wao ni kupinga kila kitu, ingawa bwana Lisu ameanza kuona umuhimu wa mwendo kasi na si ajabu kesho akaisifia traini ya kasi pia n.k.
Kwahiyo huyu mzee Magu anahitaji wasaidizi waaminifu hata kama ni upinzani. Ebu fikiria sasa hivi asilimia kubwa ya wale wezi na mafisadi wamehamia chadema na nina jamaa wangu wengi waliobanwa wanamlaani Magu kisa tu hakuna ulaji waliozoea
Mkuu Kuna sehem nimekuelewa na Kuna sehem sijakuelewa japo niseme Kama u mwana ccm nikupongeze kidogo,
Nakili yapo yaliyo fanywa na jpm kwa Kodi za wananchi na pia tukili yapo mapungufu,hasa katika Uhuru haki na maendeleo ya watu,watu kiuchumi Hali ni mbaya Sana jpm alipoingia 2015 watu walikua na matumain makubwa nikiwemo mie binafsi na si kweli kwamba wote wanaolia njaa walikua wapiga dili ,na sio rushwa imeisha Wenda amejitahidi ila ukweli wa mungu huku chini watu wanaopiga pesa kwenye nafasi zao,hasa kutokana sheria kandamizi,
Washauri, na wamsifio jpm wamemharibia Sana ,ukweli ccm haikutakiwa kuwa na kampeni ngum ila ndo ivyo Sasa ,mzee mmechosha I wish ningekua mtu wake wa karibu ningemshauri ajitoe kwenye kugombea ili astaafu kwa eshima iliyotukuka
 
Sasa,mmeonaje bado Hana sere Sasa semeni Sera anazo hata spana anazo.
Hahhahhaha raha Sana Sera anazimwaga safi na spana anakupiga za kufa MTU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Meko hoiiiii
 
Watu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.

Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.

Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.

1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.

Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.

Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.

Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.

Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.

Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.

Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria

2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.

Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.

Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.

3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.

NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.

Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.

Mpaka sasa una maoni tofauti na haya?

Je, bado unaweza kusema tena jamaa huyu ni "hopeless!"

Usije jikuta wewe ndiye ukawa baseless & hopeless..!
 
Kwani huwezi leta maendeleo bila kuuwa, kuumiza watu? kuwasomesha watu namba?
Hivi kabisa kabisa mnadhani serikali kuu inaweza ikamuua au kumumiza mtu kienyeji hivyo?? Watu waende tu openly na kumimina risasi? Inamaana hawajajiuliza tu kwamba itaonekanaje kama tukimuua mtu kwa style hii? Kwa tvååriga yako serikali inauwezo mkubwa sana wa ki intelijinsia, ikiamua kumfanyizia mtu itafanya kwa umahiri kwa kupitia watu maalum. We unaona tu mtu anadondoka hapo. Sniper anakutungua umbali wa 2 km. Au unapata ajali ya ajabu.
Hawa wanaofanya hivyo ni hizi level za chini na wengine wanaumizana wenyewe kwa wenyewe. Mbona watu washajitokeza kwenye mitandao wakielzea jinsi walivyo tumwa kuchoma ofisi
 
Back
Top Bottom