nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
Sio ndio hapo??? Yaani huyu kenge 28/ tumtoe damuKwani huwezi leta maendeleo bila kuuwa, kuumiza watu? kuwasomesha watu namba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ndio hapo??? Yaani huyu kenge 28/ tumtoe damuKwani huwezi leta maendeleo bila kuuwa, kuumiza watu? kuwasomesha watu namba?
Tatizo hakuna mbadala, hiyo ndio shidaMkuu Kuna sehem nimekuelewa na Kuna sehem sijakuelewa japo niseme Kama u mwana ccm nikupongeze kidogo,
Nakili yapo yaliyo fanywa na jpm kwa Kodi za wananchi na pia tukili yapo mapungufu,hasa katika Uhuru haki na maendeleo ya watu,watu kiuchumi Hali ni mbaya Sana jpm alipoingia 2015 watu walikua na matumain makubwa nikiwemo mie binafsi na si kweli kwamba wote wanaolia njaa walikua wapiga dili ,na sio rushwa imeisha Wenda amejitahidi ila ukweli wa mungu huku chini watu wanaopiga pesa kwenye nafasi zao,hasa kutokana sheria kandamizi,
Washauri, na wamsifio jpm wamemharibia Sana ,ukweli ccm haikutakiwa kuwa na kampeni ngum ila ndo ivyo Sasa ,mzee mmechosha I wish ningekua mtu wake wa karibu ningemshauri ajitoe kwenye kugombea ili astaafu kwa eshima iliyotukuka
sasa tatizo lipo wap si mradi umetekelezeka, ingekua haujakelezeka apo ingekua kesi ingine!
eti ruzuku mnatumia kugaramikia kesiz a cdm? si mkienda mahakamani mnaweka namba za kuchangia ata hizi kampeni si mmeweka namba za kuchangia ama? wanachama wenu hawatoi ela ama? ruzuku si kila mwezi? 300M+, na Bil 8 juu hazijulikan zpo wap! au unadhan hatujui kinachoendelea,
na kile kibanda chenu pale ufipa, pemben mmeweka mpesa kabisa mtu akichangia hapo hapo anaenda kununua konyagi kubwa
Wakati wa Mungu si wanadamu kwa kupigwa kwake sisi tunakombolewa.Hivi kabisa kabisa mnadhani serikali kuu inaweza ikamuua au kumumiza mtu kienyeji hivyo?? Watu waende tu openly na kumimina risasi? Inamaana hawajajiuliza tu kwamba itaonekanaje kama tukimuua mtu kwa style hii? Kwa tvååriga yako serikali inauwezo mkubwa sana wa ki intelijinsia, ikiamua kumfanyizia mtu itafanya kwa umahiri kwa kupitia watu maalum. We unaona tu mtu anadondoka hapo. Sniper anakutungua umbali wa 2 km. Au unapata ajali ya ajabu.
Hawa wanaofanya hivyo ni hizi level za chini na wengine wanaumizana wenyewe kwa wenyewe. Mbona watu washajitokeza kwenye mitandao wakielzea jinsi walivyo tumwa kuchoma ofisi
Nchi sio chama nchi Ni katiba,thus hakuna nchi imewahi kufa kwa kubadili chama.Tatizo hakuna mbadala, hiyo ndio shida
Nimekaa Sweden na nikabahatika kuongea na mzee mmoja 20 years ägo nikiwa kwenye shughuli zangu, anakuambia mika 100 iliyo pita Sweden ilikua maskini ajabu, hadi baadhi ya wa swedish wakaanza kukimbilia usa. Yeye alikua akiendesha traini na anakwambia hali ilivyokua ngumu na mshahara mdogo alikua hawezi kujinunulia nguo za baridi hassa zile chupi ndefu au suruali za baridi akawa anatumia magazeti na kuchomeka ndani ya nguo ili apate joto. Nyumbani kuna mke na watoto 3, ilikua ananunua soda mmoja au mbili wakigawana family nzima, lakini wao walifanya kazi kwa bidii na wakajenga nchi lengo lao ni kwa ajili ya kizazi kijacho ambao ni watoto na wajukuu, sasa ndio leo tunaiona Sweden nchi ya kitajiri. Kwahiyo walianzia hapo tulipo sisiMkuu Kuna sehem nimekuelewa na Kuna sehem sijakuelewa japo niseme Kama u mwana ccm nikupongeze kidogo,
Nakili yapo yaliyo fanywa na jpm kwa Kodi za wananchi na pia tukili yapo mapungufu,hasa katika Uhuru haki na maendeleo ya watu,watu kiuchumi Hali ni mbaya Sana jpm alipoingia 2015 watu walikua na matumain makubwa nikiwemo mie binafsi na si kweli kwamba wote wanaolia njaa walikua wapiga dili ,na sio rushwa imeisha Wenda amejitahidi ila ukweli wa mungu huku chini watu wanaopiga pesa kwenye nafasi zao,hasa kutokana sheria kandamizi,
Washauri, na wamsifio jpm wamemharibia Sana ,ukweli ccm haikutakiwa kuwa na kampeni ngum ila ndo ivyo Sasa ,mzee mmechosha I wish ningekua mtu wake wa karibu ningemshauri ajitoe kwenye kugombea ili astaafu kwa eshima iliyotukuka
Hilo wala sikatai, serikali lazima iwajibike, lakini na pia wapewe ushirikiano,Wakati wa Mungu si wanadamu kwa kupigwa kwake sisi tunakombolewa.
Kama wasiojulikana Wana nguvu kuliko serikali na wanaingia Hadi sehemu nyeti na kufanya uhalifu bila kukamatwa na serikali ipo means haifai imeshindwa Linda watu wake
Lakini tunahitaji chama imara, ambacho kitaonyesha uhuru, demokrasi na ushirikiano ndani yake kwanzaNchi sio chama nchi Ni katiba,thus hakuna nchi imewahi kufa kwa kubadili chama.
View attachment 1598223
View attachment 1598224
Wanaishi kwa michango wakati pesa za ruzuku anakula mtu moja!
Wengi hapa hawawezi kukuelewa, wapo hapa kufanya kazi moja kutetea ukoo wa Mlevi wa konyagi.Nimekaa Sweden na nikabahatika kuongea na mzee mmoja 20 years ägo nikiwa kwenye shughuli zangu, anakuambia mika 100 iliyo pita Sweden ilikua maskini ajabu, hadi baadhi ya wa swedish wakaanza kukimbilia usa. Yeye alikua akiendesha traini na anakwambia hali ilivyokua ngumu na mshahara mdogo alikua hawezi kujinunulia nguo za baridi hassa zile chupi ndefu au suruali za baridi akawa anatumia magazeti na kuchomeka ndani ya nguo ili apate joto. Nyumbani kuna mke na watoto 3, ilikua ananunua soda mmoja au mbili wakigawana family nzima, lakini wao walifanya kazi kwa bidii na wakajenga nchi lengo lao ni kwa ajili ya kizazi kijacho ambao ni watoto na wajukuu, sasa ndio leo tunaiona Sweden nchi ya kitajiri. Kwahiyo walianzia hapo tulipo sisi
80s-90s hata viatu walikua hawavai,wanauza mayai Slussen na gamla stan,X wangu alikua kwenye mkumbo wa kutafuta life UK then Israel✊Nimekaa Sweden na nikabahatika kuongea na mzee mmoja 20 years ägo nikiwa kwenye shughuli zangu, anakuambia mika 100 iliyo pita Sweden ilikua maskini ajabu, hadi baadhi ya wa swedish wakaanza kukimbilia usa. Yeye alikua akiendesha traini na anakwambia hali ilivyokua ngumu na mshahara mdogo alikua hawezi kujinunulia nguo za baridi hassa zile chupi ndefu au suruali za baridi akawa anatumia magazeti na kuchomeka ndani ya nguo ili apate joto. Nyumbani kuna mke na watoto 3, ilikua ananunua soda mmoja au mbili wakigawana family nzima, lakini wao walifanya kazi kwa bidii na wakajenga nchi lengo lao ni kwa ajili ya kizazi kijacho ambao ni watoto na wajukuu, sasa ndio leo tunaiona Sweden nchi ya kitajiri. Kwahiyo walianzia hapo tulipo sisi
Watanzania wengi wanataka kua na maisha mazuri lakini hawajui maisha mazuri yanapatikanaje, wanadhani kila kitu kinajileta tu, hata gharama ya kuendesha afya hawa jui inapatikana vipi, wandhani kodi inayokusanywa ndio italipia kila kitu. Hawajui utalii unahitaji kitugani ili tuweze kuwavutia watalii, wandhani mtalii atajileta tu maana hamna nchi zingine zinazowavutia watalii.80s-90s hata viatu walikua hawavai,wanauza mayai Slussen na gamla stan,X wangu alikua kwenye mkumbo wa kutafuta life UK then Israel✊
Mushumbusi bwana badala ya kumlea babu wa mihogo anakuja na bra bra zake.Eti natoa onyo, wewe nani? Au kwakuwa wewe ni shemeji yake Slaa basi unaona umefika mwisho wa reli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Thus katiba bora ya taifa ndo msingi ambayo kila chama lzm iifuateLakini tunahitaji chama imara, ambacho kitaonyesha uhuru, demokrasi na ushirikiano ndani yake kwanza
Huyu mama ni nooma sana,yaani anakachuna kazee ka karatu bila hurumaMushumbusi bwana badala ya kumlea babu wa mihogo anakuja na bra bra zake.
Watu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.
Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.
Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.
1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.
Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.
Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.
Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.
Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.
Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.
Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria
2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.
Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.
Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.
3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.
NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.
Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Tumekusoma. NapitaWatu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.
Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.
Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.
1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.
Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.
Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.
Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.
Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.
Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.
Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria
2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.
Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.
Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.
3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.
NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.
Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Funga bakuli lako..wewe ni nina utoe onyo kwa Tundu LissuWatu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.
Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.
Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.
1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.
Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.
Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.
Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.
Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.
Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.
Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria
2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.
Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.
Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.
3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.
NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.
Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Chato mmemchomea mgombea ubunge nyumba yake, Lissu mlimpiga risasi, leo anawachezesha singeli, arusha mlichoma ofisi ya chadema, mbeya, tunduma, singida mkaua kiongozi wa chadema, mmemteka ben saa nane, azory gwanda mkamuua, alphonce mawazo mkamfanya nyama buchani, mbowe mkamvamia mkampiga usiku wa manane, nawaambieni nyie kizazi cha ibili ipo siku yenu mtalia na kusaga meno! Nyongo yangu juu yenu tutawafundisha adabu tunasubiri muda ufike mgome kukabidhi nchi tutawala nyamaHizo risasi mnazo imba kila siku si muende mkatoe ushahidi wenu huko mahkamani, mnaboa sana, inawezekana hizo risasi mnapigana wenyewe kwa wenyewe
vip maendeleo kule jamana printersWatu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.
Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.
Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.
1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.
Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.
Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.
Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.
Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.
Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.
Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria
2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.
Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.
Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.
3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.
NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.
Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Kwahiyo umeshajitayarisha kabisa kuendelea kumwaga damu??? Hawa wanasiass wenu wananichezea akili kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe tena bahati nzuri au mbaya wenu hao wachedema wamejitokeza na kutoa ushahidi kwamba wamechoma wenyewe ofisi..Chato mmemchomea mgombea ubunge nyumba yake, Lissu mlimpiga risasi, leo anawachezesha singeli, arusha mlichoma ofisi ya chadema, mbeya, tunduma, singida mkaua kiongozi wa chadema, mmemteka ben saa nane, azory gwanda mkamuua, alphonce mawazo mkamfanya nyama buchani, mbowe mkamvamia mkampiga usiku wa manane, nawaambieni nyie kizazi cha ibili ipo siku yenu mtalia na kusaga meno! Nyongo yangu juu yenu tutawafundisha adabu tunasubiri muda ufike mgome kukabidhi nchi tutawala nyama