Natokea kuwapenda single mother lakini hawanitaki

Mpelekee mtoto wake Zawadi utapiga single mothers wote
Huyu mama ntilie nikitaka kulala nae naweza sema sitaki kumuumiza tena. maana kuna tabia bado hazinifai, nikilala nae najua nitamtelekeza tu.

Sipendi kudanganya kwenye mahusiano niko hivo.
 
leo ndo nimeelewa kwanini ulisemaga ukiomba penzi hupewi😊,,, anyway jaribu kutafuta wasiokua masingo maza
Anakuwa ananuka dawa na vidonda vya wagonjwa ndio maana hapewi utelezi.... 😁😊😄😄
 
😂😂😂😂 shangazi mambo
Hahahahahahaaa! Acha uboya nitakutusi sasa...Basi unajiona kidume kumbe unakula mizoga😂😂😂 tafuta chuma piru wewe achana na second hand fala sana wewe jamaa😂😂😂😂
 
Mmmh, nini yofauti hapa? Si n sawa tu na kupima UTI kupitia mkojo
 
Kwahio umeona hao single mother ndio women with value? Unadharirisha neno "value" na unawaita watu vichwa panzi kwa sababu wamekuonya juu ya single mothers. Hiiiiiii (kwa sauti ya mwendzake)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…