Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
πππππ Mna kitu mtafika mbaliTunaipigiaga magoti mkuu,kuisuck
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππ Mna kitu mtafika mbaliTunaipigiaga magoti mkuu,kuisuck
Sex is life ila isiwe too muchπππππ Mna kitu mtafika mbali
Ikizidi inakufanya uwe mtumwa, binafsi napenda nikifanya nifanye kweli kweli πSex is life ila isiwe too much
π€π€£π€£πIkizidi inakufanya uwe mtumwa, binafsi napenda nikifanya nifanye kweli kweli π
Sio kwamba wamenikataa, ni kwamba wameogopa kutelekezwa tena. π€£π€£π€£Ukikataliwa na
Mnyaturu ,mrangi ,muiraq ,mhaya, mnyantuzu , demu anayeishi Dodoma awe kabila lolote
Pamoja na single mother jitafakari sana
π€£π€£π€£π€£π€£ Dah soko la single maza naona linazidi kushuka tuu.....hawa sasa naona watafute wanaume wakuwagegeda tuu kupunguza nyege zao lakini sio kuolewa π€£π€£π€£π€£Habari, ni kweli wanaume huwa wanawatelekeza ila kama watawahi kujirudi na kutaka kujenga familia ni bora mkubali kurudiana kwa maslahi mengi yakiwemo ya mtoto, asikudanganye mtu usijidai nime move on,hakuna mwanaume wa kulea mtoto wa mtu wote ni wanafki ukiona mwanaume anamlea mwanao ujue akai nae we kwako ye kwake ishi nae ndio utajua hujui, dada anagu alikuktaa alikufanyaje siku akirudi kubali tu usijitese wanaume sisi ni wanafki upendo kwa mtoto wa kambo ni ukiwa uishi nae
Hili ndio tatizo kubwa hata zaidi ya hilo la kutowapenda watoto wa kambo...Hahahah, kwanza mwanaume unakubalije mtoto wako alelewe na mwanaume mwingine, akimfanyia ukatili je?
NIMEKUELEWA SANAKuna type ya kina mimi pia ambao watoto wetu ni marafuku kuhusishwa na mahusiano yetu
Haitakaa isikike kuwa naomba pesa ya hospital mtoto wangu anaumwa, naomba niongezee ada ya mtoto wala naomba birthday cake ya dogo wala kusikia nakuambia dogo anakusalimia
Wewe kama una upendo na huruma na mimi na watoto wangu niwezeshe mimi ,watoto wangu watanufaika kupitia wewe baada ya wewe kuniwezesha mimi na si kuhusiana na madogo wangu direct