uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Yana komando basi ...
Ha ha ha! Dr. Achana na mapenzi sana yatakuja kuku dissapoint, huko tumepita Kaka na hakuna maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yana komando basi ...
Kuna binadamu hataki Sex dunia hii ?
but kuandika huu uzi aimanishi sijawai kuwa na mahusiano yenye sura nyingine tofauti na hii.
Dr tusamehee usituletee tafadhaliNikileta uzi wa mademu wanaotamani wawe wake zangu mtanielewa ? 😃😃🤣
Leta huo uzi,haiwezekani single mama akukatae asee[emoji23][emoji23][emoji23]Nikileta uzi wa mademu wanaotamani wawe wake zangu mtanielewa ? [emoji2][emoji2][emoji1787]
Huo ndio ukweli sema Wachache watakuelewa.Yeye n baba ushauri Kuna Mambo hupaswi kuyaingilia kushauri Kama unataka mahusiano. Wanawake wengi hawapendi uwaambie ukweli unaohusiana na mahusiano yao hasa hao singeli mazas
Ukianza kumhubiria abadilike aache kitu fulan basi jua uwezekano wa yeye kuwa na wewe ni mdogo Sana. Mtu unaemuandaa kuwa mke hatendewi sawa na wa kuhit.Huo ndio ukweli sema Wachache watakuelewa.
Lengo kama ni ngono wanawake wa kujiuza ni wengi sana, wauza bia ndio usiseme, bia 2 tu unachapa usku kucha.
Lakini unapotaka kuwa na mahusiano na Mwanamke anaejielewa ndio kazi ngumu kinoma.
Ukimrekebisha mwanamke tayari unaharibu mahusiano.
Tuendelee kuwadanganya tu mkuu.
😋 UmeonaaaaUkilia lazima nikuchape nao. Navopenda machozi 😅
Ndio yana raha yake, Kuna raha Fulani hivi naipataga KE akianza yeye kutaka mkuyenge😋 Umeonaaaa
Naunga mkono hojaUkikataliwa na
Mnyaturu ,mrangi ,muiraq ,mhaya, mnyantuzu , demu anayeishi Dodoma awe kabila lolote
Pamoja na single mother jitafakari sana
🤣🤣😋 BalaaaNdio yana raha yake, Kuna raha Fulani hivi naipataga KE akianza yeye kutaka mkuyenge
Show yake ni balaa 😎😎🤣🤣😋 Balaaa
Tunaipigiaga magoti mkuu,kuisuckShow yake ni balaa 😎😎
Wanawake msiojivunga mkiitaka mna pepo yenu
[emoji28][emoji28]Ebu ziweke hapa tuzione