Natokea kuwapenda single mother lakini hawanitaki

Ukikataliwa na
Mnyaturu ,mrangi ,muiraq ,mhaya, mnyantuzu , demu anayeishi Dodoma awe kabila lolote

Pamoja na single mother jitafakari sana
Sio kwamba wamenikataa, ni kwamba wameogopa kutelekezwa tena. 🀣🀣🀣
Kuna sheria zangu ziliwashinda tu
 
Habari, ni kweli wanaume huwa wanawatelekeza ila kama watawahi kujirudi na kutaka kujenga familia ni bora mkubali kurudiana kwa maslahi mengi yakiwemo ya mtoto, asikudanganye mtu usijidai nime move on, hakuna mwanaume wa kulea mtoto wa mtu wote ni wanafiki ukiona mwanaume anamlea mwanao ujue hakai naye we kwako ye kwake ishi nae ndio utajua hujui, dada yangu alikuktaa alikufanyaje siku akirudi kubali tu usijitese wanaume sisi ni wanafiki upendo kwa mtoto wa kambo ni ukiwa uishi nae
 
🀣🀣🀣🀣🀣 Dah soko la single maza naona linazidi kushuka tuu.....hawa sasa naona watafute wanaume wakuwagegeda tuu kupunguza nyege zao lakini sio kuolewa 🀣🀣🀣🀣
To yeye soma hiyoooo
 
NIMEKUELEWA SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…