Natongozwa na watoto waliozaliwa mwaka 2000, yani nitwachapa nyie! ohoo!

Natongozwa na watoto waliozaliwa mwaka 2000, yani nitwachapa nyie! ohoo!

aisee,
kama wanaweza tembea na mama zao waendelee kuja
Na wewe unajikuza sana, huachi?

Wanaume wengine ukijikuza ndiyo wanakupapatikia ili wakipate unachokitetea ujue!

Nilisoma documentary flani ikielezea mikasa ya mapenzi huko West Africa, kuna vinyanya retired toka Ulaya, vinakuja vocation Africa kusaka vijana ili vishughulikiwe kwa pesa ndefu za penheni.

Niliuliza maswali kuhusu hicho kisa nikajibiwa kuwa vijana wakivikunja, sisi tunaita kunyanyasa kingono, vyenyewe nd'ovinapata raha.

Sa'tuseme wee ni kikongwe kiasi gani kushindwa kuhimili mapigo ya vijana wabichi?

Na kama bado unavutia nd'okabisaa, tongozeka tu na wala usitukane vijana maana wanakutaka kweli wala hawakutanii.
 
Ni kwamba nimekosea kuwapa namba yangu ya whatsapp au?
mbona watoto wa 2000 mnaanza kunitongoza bibi yenu tena?

sasa mtapita wapi na mimi


"eti, Tsup ma, how ya doin'
baby send me your photo
ma, you love my swaga?
hey babe, lil mama
hey honey money
money penny i got money for ya''


yani huku whatsapp ni balaa, missed calls 300, picha za mb.o.o kama zote!

nyie watoto wa 2000 mimi nawazaa mara 10 mjue

mjukuu wangu wa 3 anamaliza chuo mwaka huu 2024


View: https://www.youtube.com/watch?v=fDxzQJaA228&list=RD-n3sUWR4FV4&index=11

Kwa nn uliwapa namba
 
Ni kwamba nimekosea kuwapa namba yangu ya whatsapp au?
mbona watoto wa 2000 mnaanza kunitongoza bibi yenu tena?

sasa mtapita wapi na mimi


"eti, Tsup ma, how ya doin'
baby send me your photo
ma, you love my swaga?
hey babe, lil mama
hey honey money
money penny i got money for ya''


yani huku whatsapp ni balaa, missed calls 300, picha za mb.o.o kama zote!

nyie watoto wa 2000 mimi nawazaa mara 10 mjue

mjukuu wangu wa 3 anamaliza chuo mwaka huu 2024


View: https://www.youtube.com/watch?v=fDxzQJaA228&list=RD-n3sUWR4FV4&index=11

Wewe ni wa mwaka gani ?
 
Back
Top Bottom