Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli anasogelewa vizuri tu.Money Penny najua Leo upo free umeamua kuchangamsha kdg, Mimi najua money penny ni lidada ama limshangazi Fulani hivi hata hao wa wa elfu mbili wanakuogopa kukusogelea, haya uwe na usiku mwema
Na wewe unajikuza sana, huachi?aisee,
kama wanaweza tembea na mama zao waendelee kuja
Ni kwamba nimekosea kuwapa namba yangu ya whatsapp au?
mbona watoto wa 2000 mnaanza kunitongoza bibi yenu tena?
sasa mtapita wapi na mimi
"eti, Tsup ma, how ya doin'
baby send me your photo
ma, you love my swaga?
hey babe, lil mama
hey honey money
money penny i got money for ya''
yani huku whatsapp ni balaa, missed calls 300, picha za mb.o.o kama zote!
nyie watoto wa 2000 mimi nawazaa mara 10 mjue
mjukuu wangu wa 3 anamaliza chuo mwaka huu 2024
View: https://www.youtube.com/watch?v=fDxzQJaA228&list=RD-n3sUWR4FV4&index=11
Ni kwamba nimekosea kuwapa namba yangu ya whatsapp au?
mbona watoto wa 2000 mnaanza kunitongoza bibi yenu tena?
sasa mtapita wapi na mimi
"eti, Tsup ma, how ya doin'
baby send me your photo
ma, you love my swaga?
hey babe, lil mama
hey honey money
money penny i got money for ya''
yani huku whatsapp ni balaa, missed calls 300, picha za mb.o.o kama zote!
nyie watoto wa 2000 mimi nawazaa mara 10 mjue
mjukuu wangu wa 3 anamaliza chuo mwaka huu 2024
View: https://www.youtube.com/watch?v=fDxzQJaA228&list=RD-n3sUWR4FV4&index=11
Hapana sio hayamapapai ya milioni 22 kwa mwezi kumbe ndio hayo
AiseeMke wako
Laana ya kuzimu siwezi bebawakubal tu maana cc wababa unatukaa eti kimoja chali , haya sasa pambana na nguvu ya energy na panado
Ushindwe na ulegeeHapo hakuna shida, anakuwa anawatengenezea njia
KiboooNyie ndo watamu🤤
Mungu anakuooooonaSasa hivi ushakongoroka mkuu😁😁😁 kumbuka ng'ombe hazeeki maini
We mbona skuoni whatsapp?Tell Dem Biebe.
KiboooBora wazee kuliko umzidi umri mwanaume 😀
Uje na buku whatsappTsup ma,how ya doin?Let’s link up sometime....
Kuja kununua hadithi za mapapaiKwa nn uliwapa namba