Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,166
- 3,077
Naona umekubali kuwa Mwamposa anatumiwa na Mungu kwa watu wakeAu pengine nimuongezee swali la nyongeza...ndugu Zingzingzing
Kuna ndugu yake, rafiki, jirani au anaemfahamu aliyeponywa?
Kwa ufupi, kanuni ya uponyaji ni imani ya mtu kwa nguvu ya uponyaji (Mungu) sio Mwamposa. Huyu anachofanya ni kuamsha imani.