Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Wewe ambaye sio tapeli ulishawahi kumnunulia mlemavu hata gongo la kutembelea au ndio unafiki na wivu wa kike umekujaa.

#MaendeleoHayanaChama
Naona umeanza matusi sasa baada ya utapeli wenu kugundulika, nyie ni matapeli uchwara kwani mnashindwa hata kujua mkatapeli wapi eti mnakuja JF, badala mwende hata huko Facebook ambako kuna wajinga wajinga eti mnalenga jf, kweli mko timamu nyie mkadhani mtatoboa? Kuna swali mmeulizwa mbona magonvo yote ni mapya na yanafanana?
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Fact ya kwanza, Magongo yote yanafanana na ni mapya.

Fact ya pili, waliobeba Magongo sio wahusika ni wahudumu. Ndio maana mtu mmoja amebeba Magongo mawili au matati.
Alafu mleta mada anadai eti huo ndiyo ushahidi wa hao viwete wakati ni wahudumu
 
Serikali unatumia magharama wizara ya afya wakati Mwamposa yupo [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Vita ya kiuchumi na nchi ina Mwamposa - Imagine [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Fuatilia maisha ya hao walemavu walioponywa hapo, maisha yao kiasi cha wiki mbili kabla ya kuponywa. Utakuta walikuwa wanatembea vizuri na kulima bila mkongojo. Baada tu ya Tapeli kuingia mjini mara wote walemavu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naona umeanza matusi sasa baada ya utapeli wenu kugundulika, nyie ni matapeli uchwara kwani mnashindwa hata kujua mkatapeli wapi eti mnakuja JF, badala mwende hata huko Facebook ambako kuna wajinga wajinga eti mnalenga jf, kweli mko timamu nyie mkadhani mtatoboa? Kuna swali mmeulizwa mbona magonvo yote ni mapya na yanafanana?
😂😂😂😂😂😂😂😂
Utapeli gani?
 
Kwani anayetakiwa kuaminiwa ni mwamposa, au mimi ndo sielewi ndugu mtoa mada.
 
Watu wengi wanaobisha humu wana sababu uchwara 2, kwanza et kwann asiende hospitali? Sasa yesu aliwah mfata mtu nyumban kwake, ? Yan mgonjwa ndio anapaswa apelekwe kwa nabii. Cha pili et hao wamenunuliwa, hv watanunuliwa wangapi, tatzo watu hamjawah hufhuria alafu mnabisha,inamana umati wote ule waone kama ni maigizo wangefika?
 
Wakristu mna mambo kwa kweli sishangai kuona hata masanja wa feel free chachi na na bii titi wa kanisa la mpekenyuo kule kigamboni nao wanapata wafuasi tena wanamiminika kwelikweli
 
Watanzania wengi bado ni wajinga, yaani mahospitali yamejaa wagonjwa na viwete lakini hakuna nabii hata mmoja aliyewahi kwenda kuwaombea na kuwaponya wakiwa pale hospital.

Ukiwauliza kwa nini wanajibu imani yako ndio itakuponya. Inamaana akienda hospital na kuwaeleza neno la imani na baadae kuwaombea hakutakuwa na wenye kuwa na imani ndani ya hao wagongwa na viwete.

Hebu tushtuke na tuache maigizo ya hao waganga wanaojivika vazi la kristo.
 
Wakristu mna mambo kwa kweli sishangai kuona hata masanja wa feel free chachi na na bii titi wa kanisa la mpekenyuo kule kigamboni nao wanapata wafuasi tena wanamiminika kwelikweli
Kuna waumini wa Hovyo sana ndio maana bado tuna jembe la mkono
 
Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.

Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.

Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
Namshauri aende WHO haraka kuripoti kuwa amepata dawa ya kuzuia ugonjwa wa polio maana virusi vyake vimeanza kurudi na kuathiri watoto.
 
chief achana na kuamini hawa waganga wa jadi waliochangamka umeanza kumuamini nabii badala ya kumuamini Mungu na neno lake. !!!!.
Wewe hata neno lenyewe hulijui Kufanikowa kunatakiwa uamini Mungu na manabii wake sio kuamini Mungu tu

Soma 2 Nyakati 20:20 inasema

"Wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda nje katika jangwa la Tekoa; nao walipokuwa wakitoka, Yehoshafati akasimama, akasema, Nisikieni, enyi Yuda nanyi wenyeji wa Yerusalemu; mwaminini Bwana, Mungu wenu, ndivyo mtakavyothibitika; waaminini manabii wake, ndivyo mtakavyofanikiwa'
 
Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.

Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.

Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.

View attachment 2387081
Hayo yote bado hayatoshi. Kwa taarifa zaidi ni kwamba anao pia uwezo wa kufufua wafu kwa JINA LA YESU. Achana na walokole, sema tu Kanisa lao lilishavamiwa na mamluki wengi wamejibanza humo. MLOKOLE SIYO CHOMBO CHA KAWAIDA HAPA DUNIANI, NI MASHINE NYINGINE YA PEKEE NA YA AJABU MNO!
 
Back
Top Bottom