Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.

Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.

Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.

View attachment 2387081
Nasoma comment za raia najikuta nacheka na kuona Huruma mtu ambayee hajafatiliaa live kongamano hilo sirahisi kukuelewa ukizingatia ni waimani tofauti na hiyo au ameshajazwa mapokeo potofu
But all in all Nimeshuhudia Matendo makuu ya Mwenyezi Mungu katika kongamano hilii najua si Mwamposa kaponya ila Mungu kaponya watu wake kupitia mwamposa
 
Naona umeanza matusi sasa baada ya utapeli wenu kugundulika, nyie ni matapeli uchwara kwani mnashindwa hata kujua mkatapeli wapi eti mnakuja JF, badala mwende hata huko Facebook ambako kuna wajinga wajinga eti mnalenga jf, kweli mko timamu nyie mkadhani mtatoboa? Kuna swali mmeulizwa mbona magonvo yote ni mapya na yanafanana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupe sababu 5 za kusema anafanya utapeli.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi nilikua simwamini ila sku moja kwa macho yangu nimeona jogoo anapupa na kufa baada ya kumwagiiwa maji ya bombani ambayo aliombea usiku. Alafu haijapita siku mbili nikaona tena kwa jirani kunguru alitua dukani kamwagiwa kafa na nilimtoa mwenyewe. Haya mambo bora tukae kimya tuu.
Mimi nimeona nyoka akimwagiwa maji akafa ila bado siwezi kuwa muhumini wake milele
 
Acha ujinga inamaana hujui hata Kristo alisema mkiamini mnaweza tenda matendo makubwa zaidi..au unawekea mipaka miujiza..chochote kinaweza kutumia kupitishia mujiza..mafuta yalitumika kama upako..pia kirsto alisha mponya kipofu kwa kumpaka tope machoni pake na kumwambia akanawe kisha akaona.

Acheni uhafidhina.

#MaendeleoHayanaChama
Sikatai kutenda makuu zaidi kwa imani ila ulishaona sehemu nyingine yesu aliponya watu kwa tope tena zaidi ya huyo mmoja? ushakaa ukajiukiza ni kwa nn miujiza haifanani? kwa sababu Yesu alitaka watu wamwamini kupitia yeye nguvu za mungu zinaponya ila si kwa kukariri watu mnaamini mafuta ya mwamposa zaidi ya kumuamini Mungu. Roho mtakatifu akishuka anaweza tumia chochote kumponya mtu ila haiwez kuwa consistent kwa sabb imani yako itahama utaamini mafuta kuliko kumuamini Mungu.

sasa mtu na akili zako unatembea na vichupa vya mafuta alafu tena mafuta yenyew mnauziwa 😂😂😂 nchi hii wajinga ni wengi mno mtu ameenda nigeria hapo kanunua uchawi wa kisasa anakuja kuwafanyia kiini macho na mtapigwa tuuu time will tell huo ni uchawi bro vichupa vya nn unatofauti gn na mtu alienda kwa mganga.
 
Wewe hata neno lenyewe hulijui Kufanikowa kunatakiwa uamini Mungu na manabii wake sio kuamini Mungu tu

Soma 2 Nyakati 20:20 inasema

"Wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda nje katika jangwa la Tekoa; nao walipokuwa wakitoka, Yehoshafati akasimama, akasema, Nisikieni, enyi Yuda nanyi wenyeji wa Yerusalemu; mwaminini Bwana, Mungu wenu, ndivyo mtakavyothibitika; waaminini manabii wake, ndivyo mtakavyofanikiwa'
ww unayejua kulisoma neno hapo ameanza kuaminiwa Mungu ndio anayestahili utukufu si mwanadamu chief ukisoma hata kitabu cha daniel. daniel anatafsiri ndoto ila anamwambia mfalme nebkadreza Mungu amekufunulia ndoto hii ina maana hii. ndio kanuni ya kiutumishi utukufu lazma apewe Mungu sasa huyo nabii wenu mnamsifia kama ni mungu mtu
 
Jamani yule afisa usafi wa mbinga aliyetoa ushuhuda hajatembea miaka miwili nishamjua, ni muongo,mzee anakunywa wanzuki balaa,hana ulemavu wowote[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Alafu serikali ipo kimya tu, kumshirikisha na madaktari bingwa wa mifupa awe mwalimu wao...
 
Tupe sababu 5 za kusema anafanya utapeli.

#MaendeleoHayanaChama
chief huo unabii ni ujanja ujanja wa mjini umefanywa sana na wanaijeria hata ww ukitaka kuwa nabii unafahamu tu principle za deliverence na unakwenda nigeria kuchukua annoiting water unakuwa nabii kesho. ila hasara yake sasa unaingia kwny convenant na shetani na unamtumikia shetani

acha ulimbukeni wakuamini niujiza hivyo ni vitu vidogo sana hata musa alitupa fimbo ikabadilika nyoka na wale waganga wa farau wakafanya vivyo hivyo. so usidanganywe na miujiza ya kimapepo hiyo.
biblia inasema dhahiri kuwa nyakati hizi za mwisho manabii wa uongo watakuwa wengi.
na nabii asiye wa Mungu anatambulika kwa ishara moja kubwa ya kujitualia utukufu..!!
 
Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.

Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.

Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.

View attachment 2387081
Acheni figisu na uongo. Ninyi hamna tofauti na matapeli wake na Kalynda, kazi kudanganya watu. Huyo Mwamposa anajiita mtu wa Mungu huku amejaa uongo na utapeli.
 
ww unayejua kulisoma neno hapo ameanza kuaminiwa Mungu ndio anayestahili utukufu si mwanadamu chief ukisoma hata kitabu cha daniel. daniel anatafsiri ndoto ila anamwambia mfalme nebkadreza Mungu amekufunulia
Kifupi neno hujui hutakiwi kumsikiliza Mungu tu unatakiwa kusikiliza na manabii .Una upeo mdogo mno kwenye maandiko tena finyu

Sisi tunaosali kwa Mwamposya tunajielewa

Mungu mwenyewe aligoma hiyo theory

Soma Yesu alichosema kwa mdomo wake

Luka 16:19-31​

Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa. Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi, naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri; hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake. Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa. Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake. Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu. Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa. Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu. Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume nyumbani kwa baba yangu, kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso. Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao. Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu, watatubu. Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.
 
Acheni figisu na uongo. Ninyi hamna tofauti na matapeli wake na Kalynda, kazi kudanganya watu. Huyo Mwamposa anajiita mtu wa Mungu huku amejaa uongo na utapeli.
yaani acha tu watanzania wajinga sana na hii ni kwasabb hatupendi kusoma. yaani mtu anajitokea3 zake huko mbwinde anakuja na yeye anajiita mchungaji hata degree ya theology hana ndo maana nchi km rwanda huo ujinga wemeuondoa ukitaka kufanya huduma ya makanisa hakikisha una angalau degree moja ya theologia
 
yaani acha tu watanzania wajinga sana na hii ni kwasabb hatupendi kusoma. yaani mtu anajitokea3 zake huko mbwinde anakuja na yeye anajiita mchungaji hata degree ya theology hana ndo maana nchi km rwanda huo ujinga wemeuondoa ukitaka kufanya huduma ya makanisa hakikisha una angalau degree moja ya theologia
Mjinga mwenyewe

Watu wenye pesa zao na wamesoma kuliko hivyo vidigrii na vidiplona vyenu vya theolojia ndani na nje ya nchi wanajazana kwa Mwamposya sababu ana majibu ya shida au matatizo tofauti na nyie mliogeuza makanisa kuwa bible study class lakini solution za shida na matatizo hamna

Mumegeuza makanisa Vyuo vya Biblia ambamo syllabus haiishi!!
 
Hata yesu kuna watu hawakumuamini
Acha kukufuru, unamlinganisha tapeli Mwamposa na yesu.Mwamposa atapata heshima akijikita kwenye kuhubiri, lakini figisu za kutayarisha watu wazima na kuwapa magongo ili watoe ushuhuda wa uongo ajue ni dhambi. HANA TOFAUTI NA MATAPELI YA KALYNDA. Anajishushia heshima.
 
Mjinga mwenyewe

Watu wenye pesa zao na wamesoma kuliko hivyo vidigrii na vidiplona vyenu vya theolojia ndani na nje ya nchi wanajazana kwa Mwamposya sababu ana majibu ya shida au matatizo tofauti na nyie mliogeuza makanisa kuwa bible study class lakini solution za shida na matatizo hamna

Mumegeuza makanisa Vyuo vya Biblia ambamo syllabus haiishi!!
hahaha eti mwamposa anayemajibu ya shida dah chief ivi unajisikia kweli unayoyaongea kwelii ndo mnavyokaririsha kwamba nabii anayemajibu yaani Yesu aache kuwa na majibu mwamposa awe na majibu wa matatizo
 
Acha kukufuru, unamlinganisha tapeli Mwamposa na yesu.Mwamposa atapata heshima akijikita kwenye kuhubiri, lakini figisu za kutayarisha watu wazima na kuwapa magongo ili watoe ushuhuda wa uongo ajue ni dhambi. HANA TOFAUTI NA MATAPELI YA KALYNDA. Anajishushia heshima.
Usimwite Tapeli kiongozi wangu Mwamposya

Watu tunaosali kwake tuna akili zetu
 
Back
Top Bottom