Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
But you sometimes have to be careful not to confuse mental cases WITH SUPERB miraculous actions performed COMPLETELY under the influence of THE LIVING GODMental cases are real
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But you sometimes have to be careful not to confuse mental cases WITH SUPERB miraculous actions performed COMPLETELY under the influence of THE LIVING GODMental cases are real
Nasoma comment za raia najikuta nacheka na kuona Huruma mtu ambayee hajafatiliaa live kongamano hilo sirahisi kukuelewa ukizingatia ni waimani tofauti na hiyo au ameshajazwa mapokeo potofuKama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
HahahahaWewe ulikuwa kilema umepona?
Mzee linda jina lako hiloNilikua simuamini pia, alikuja Mbeya huku nilishuhudia mama wa demu wangu akipona na kuacha magongo palepale...
Tupe sababu 5 za kusema anafanya utapeli.Naona umeanza matusi sasa baada ya utapeli wenu kugundulika, nyie ni matapeli uchwara kwani mnashindwa hata kujua mkatapeli wapi eti mnakuja JF, badala mwende hata huko Facebook ambako kuna wajinga wajinga eti mnalenga jf, kweli mko timamu nyie mkadhani mtatoboa? Kuna swali mmeulizwa mbona magonvo yote ni mapya na yanafanana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HanaTupe sababu 5 za kusema anafanya utapeli.
#MaendeleoHayanaChama
Mimi nimeona nyoka akimwagiwa maji akafa ila bado siwezi kuwa muhumini wake mileleMimi nilikua simwamini ila sku moja kwa macho yangu nimeona jogoo anapupa na kufa baada ya kumwagiiwa maji ya bombani ambayo aliombea usiku. Alafu haijapita siku mbili nikaona tena kwa jirani kunguru alitua dukani kamwagiwa kafa na nilimtoa mwenyewe. Haya mambo bora tukae kimya tuu.
Sikatai kutenda makuu zaidi kwa imani ila ulishaona sehemu nyingine yesu aliponya watu kwa tope tena zaidi ya huyo mmoja? ushakaa ukajiukiza ni kwa nn miujiza haifanani? kwa sababu Yesu alitaka watu wamwamini kupitia yeye nguvu za mungu zinaponya ila si kwa kukariri watu mnaamini mafuta ya mwamposa zaidi ya kumuamini Mungu. Roho mtakatifu akishuka anaweza tumia chochote kumponya mtu ila haiwez kuwa consistent kwa sabb imani yako itahama utaamini mafuta kuliko kumuamini Mungu.Acha ujinga inamaana hujui hata Kristo alisema mkiamini mnaweza tenda matendo makubwa zaidi..au unawekea mipaka miujiza..chochote kinaweza kutumia kupitishia mujiza..mafuta yalitumika kama upako..pia kirsto alisha mponya kipofu kwa kumpaka tope machoni pake na kumwambia akanawe kisha akaona.
Acheni uhafidhina.
#MaendeleoHayanaChama
pole na ujaliwe akili kufunguka.Hapana,ila niliona watu waliokuja vilema wakirud wazima
ww unayejua kulisoma neno hapo ameanza kuaminiwa Mungu ndio anayestahili utukufu si mwanadamu chief ukisoma hata kitabu cha daniel. daniel anatafsiri ndoto ila anamwambia mfalme nebkadreza Mungu amekufunulia ndoto hii ina maana hii. ndio kanuni ya kiutumishi utukufu lazma apewe Mungu sasa huyo nabii wenu mnamsifia kama ni mungu mtuWewe hata neno lenyewe hulijui Kufanikowa kunatakiwa uamini Mungu na manabii wake sio kuamini Mungu tu
Soma 2 Nyakati 20:20 inasema
"Wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda nje katika jangwa la Tekoa; nao walipokuwa wakitoka, Yehoshafati akasimama, akasema, Nisikieni, enyi Yuda nanyi wenyeji wa Yerusalemu; mwaminini Bwana, Mungu wenu, ndivyo mtakavyothibitika; waaminini manabii wake, ndivyo mtakavyofanikiwa'
chief huo unabii ni ujanja ujanja wa mjini umefanywa sana na wanaijeria hata ww ukitaka kuwa nabii unafahamu tu principle za deliverence na unakwenda nigeria kuchukua annoiting water unakuwa nabii kesho. ila hasara yake sasa unaingia kwny convenant na shetani na unamtumikia shetaniTupe sababu 5 za kusema anafanya utapeli.
#MaendeleoHayanaChama
Acheni figisu na uongo. Ninyi hamna tofauti na matapeli wake na Kalynda, kazi kudanganya watu. Huyo Mwamposa anajiita mtu wa Mungu huku amejaa uongo na utapeli.Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Kifupi neno hujui hutakiwi kumsikiliza Mungu tu unatakiwa kusikiliza na manabii .Una upeo mdogo mno kwenye maandiko tena finyuww unayejua kulisoma neno hapo ameanza kuaminiwa Mungu ndio anayestahili utukufu si mwanadamu chief ukisoma hata kitabu cha daniel. daniel anatafsiri ndoto ila anamwambia mfalme nebkadreza Mungu amekufunulia
yaani acha tu watanzania wajinga sana na hii ni kwasabb hatupendi kusoma. yaani mtu anajitokea3 zake huko mbwinde anakuja na yeye anajiita mchungaji hata degree ya theology hana ndo maana nchi km rwanda huo ujinga wemeuondoa ukitaka kufanya huduma ya makanisa hakikisha una angalau degree moja ya theologiaAcheni figisu na uongo. Ninyi hamna tofauti na matapeli wake na Kalynda, kazi kudanganya watu. Huyo Mwamposa anajiita mtu wa Mungu huku amejaa uongo na utapeli.
Mjinga mwenyeweyaani acha tu watanzania wajinga sana na hii ni kwasabb hatupendi kusoma. yaani mtu anajitokea3 zake huko mbwinde anakuja na yeye anajiita mchungaji hata degree ya theology hana ndo maana nchi km rwanda huo ujinga wemeuondoa ukitaka kufanya huduma ya makanisa hakikisha una angalau degree moja ya theologia
Acha kukufuru, unamlinganisha tapeli Mwamposa na yesu.Mwamposa atapata heshima akijikita kwenye kuhubiri, lakini figisu za kutayarisha watu wazima na kuwapa magongo ili watoe ushuhuda wa uongo ajue ni dhambi. HANA TOFAUTI NA MATAPELI YA KALYNDA. Anajishushia heshima.Hata yesu kuna watu hawakumuamini
hahaha eti mwamposa anayemajibu ya shida dah chief ivi unajisikia kweli unayoyaongea kwelii ndo mnavyokaririsha kwamba nabii anayemajibu yaani Yesu aache kuwa na majibu mwamposa awe na majibu wa matatizoMjinga mwenyewe
Watu wenye pesa zao na wamesoma kuliko hivyo vidigrii na vidiplona vyenu vya theolojia ndani na nje ya nchi wanajazana kwa Mwamposya sababu ana majibu ya shida au matatizo tofauti na nyie mliogeuza makanisa kuwa bible study class lakini solution za shida na matatizo hamna
Mumegeuza makanisa Vyuo vya Biblia ambamo syllabus haiishi!!
Usimwite Tapeli kiongozi wangu MwamposyaAcha kukufuru, unamlinganisha tapeli Mwamposa na yesu.Mwamposa atapata heshima akijikita kwenye kuhubiri, lakini figisu za kutayarisha watu wazima na kuwapa magongo ili watoe ushuhuda wa uongo ajue ni dhambi. HANA TOFAUTI NA MATAPELI YA KALYNDA. Anajishushia heshima.