Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Mkuu unakufuru
 
Apo kama sio uigizaji basi atakuwa anatumia nguvu za Giza kuponesha watu. In short mashaka yangu kwa mwamposa yapo kwny kujimwambafay kwann mtumishi wa MUNGU ujiite bulldozer🤔 kwann anajikweza kwamba yeye ni mwamba?
 
... KWAKWELI!
Kama hata members wa JF bado wanaamini haya MAZINGAOMBWE YA NURSERY, acha tu mkoloni mweusi aendelee mpaka hapo tutakapoamka!
😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…