Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

We jamaa ni mjinga sana tena sana. HAo "vilema fake" na magongo yao mapya hata hamsini hawafiki inashindikana vipi kuwalipa ?

sipingi uwezo wa Mungu, Mungu yupo na anayaweza yote katika Kristo. Lakini hapo kwa Mwamposa ni utapeli tu NA WAJINGA KAMA WEWE NDIO MNASHINDWA KUBAINI.
Mkuu unakufuru
 
Apo kama sio uigizaji basi atakuwa anatumia nguvu za Giza kuponesha watu. In short mashaka yangu kwa mwamposa yapo kwny kujimwambafay kwann mtumishi wa MUNGU ujiite bulldozer🤔 kwann anajikweza kwamba yeye ni mwamba?
 
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hayo maigizo yenu.
yaani uwe kilema (mlemavu wa viungo), halafu from nowhere, utembee kwa sababu ya kuombewa na Mwamposa!!

Magongo yenyewe karibia yote yanaonekana kuwa ni mapya! Hakika hii nchi ina wajinga wengi kweli kweli. Wacha tu ccm iendlee kunufaika kupitia huu ujinga wa Watanzania walio wengi.
... KWAKWELI!
Kama hata members wa JF bado wanaamini haya MAZINGAOMBWE YA NURSERY, acha tu mkoloni mweusi aendelee mpaka hapo tutakapoamka!
😅
 
Back
Top Bottom