Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 735
- 667
- Thread starter
- #661
Mkuu unakufuruWe jamaa ni mjinga sana tena sana. HAo "vilema fake" na magongo yao mapya hata hamsini hawafiki inashindikana vipi kuwalipa ?
sipingi uwezo wa Mungu, Mungu yupo na anayaweza yote katika Kristo. Lakini hapo kwa Mwamposa ni utapeli tu NA WAJINGA KAMA WEWE NDIO MNASHINDWA KUBAINI.