Katika hao 100 unaowafahamu ni wangapi ?Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema. ,umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga. Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini, .
Haya na wewe kachonge gongo lako la ulemavu kama walivyofanya wenzako, halafu ushangilie kuponywa na huyo Mwamposa.Pumbavu kabisa wewe. Sijawahi kusali kanisani kwake na still ninaamini ni mtumishi wa kweli wa Mungu.
Napenda namna anavyokaa kimya na asimjibu yeyote. Pengine amepata darasa kutoka kwa mwalimu Mwakasege.
Katika hao 100 unaowafahamu ni wangapi ?
Mpaka sasa Songea walemavu wamekwisha au bado wapo mitaani
Wote hawa wamelipwa?
Haya na wewe kachonge gongo lako la ulemavu kama walivyofanya wenzako, halafu ushangilie kuponywa na huyo Mwamposa.
Mie sio kwamba Sina Imani na nguvu za Mungu, la hasha ila weka hata video basi tuone mtu anaombewa Hadi anatembea? Iwe rahisi hata kufuatilia habari za huyo kama kweli awali alikua kiwete.
Au unataka kuleta mambo ya ufufuo at kanisa la misukule, nikauliza huyo jamaa si aende Mochwari apige single touch double manifestation maiti zisimame?
Ukichunguza kwa umakini, utagundua hayo magongo yote ni mapya, na yanafanaa! Kwa muktadha huo, unapata majibu sahihi Mwamposa ni tapeli tu kama walivyo akina Masanja Mkandamizaji.Una uhakika ni viwete halisi?
We jamaa tumia akili, magongo mapya hayo?Ukichunguza kwa umakini, utagundua hayo magongo yote ni mapya, na yanafanaa! Kwa muktadha huo, unapata majibu sahihi Mwamposa ni tapeli tu kama walivyo akina Masanja Mkandamizaji.
Yani utapeli kivipi,toa factNchi hii wajinga na wapumbav ni asilimia 90 ,unafikiri Una nchi hapo au misukule ? , yaani hivyo vichwa vilivyopo hapo na michango wanayotoa inajenga kiwanda kabisa ,yaani makanisa ya kipumbav na kitapeli yanaingiza pesa kuliko viwanda
Namuamini mungu,ila mwamposa ni nabii wa mungu
Namuamini mungu,ila mwamposa ni nabii wa mungu
nani amekuambia ni nabii wa Mungu?!. hizi ni sababu chache ambazo nina dhibitisha bila dhahiri yeye si nabii wa munguNamuamini mungu,ila mwamposa ni nabii wa mungu
Ameleta neema yeye kama nani?Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema. ,umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga. Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini, .
Acha wivu kijana. Hapa unaongea kama vile ulikuwepo uwanjani ukathibitisha.Haya na wewe kachonge gongo lako la ulemavu kama walivyofanya wenzako, halafu ushangilie kuponywa na huyo Mwamposa.
Angalia hata YouTube watu wanavyofunguliwa vifungo vyao na matatizo yanayowasumbua...
Sawa niambie katika hao 100 ni wangapi unaowafahamu ?Kwenda kupata uponyaji Ni hiari na Imani ya mtu sio Jambo la lazima wote wawe na Imani...
Hyo sabbu namba 2 nakujibu hvi, kama zinatumika nguvu za mungu sasa kwann unampinga mwamposa wakati anatumia biblia ambalo ni neno la mungu?nani amekuambia ni nabii wa Mungu?!. hizi ni sababu chache ambazo nina dhibitisha bila dhahiri yeye si nabii wa mungu
1.nionyeshe sehemu ya biblia ambayo mafuta yanatumika kuponya badala ya nguvu za Roho mtakatifu?
2. anajipa yeye utukufu badala kumrudishia Mungu utukufu anapoponya hakuna binadamu yeyote mwny uwezo wa kuponya bali nguvu za Mungu utumika kumponya mtu
3. ukitaka ujionee kama anatumika na Mungu au lah fwatilia kwny matangazo yake na mikutano n.k hakuna sehemu anapopewa utukufu yesu kupitia nguvu za Roho mtakatifu la zaidi utaona mtu anajisifu mpk kujiita buldoza wakt buldoza pekee ni Yesu. binadamu hana uwezo wa kumponya yeyote bali mtumishi hutumika kama chombo tu
ijue kweli nayo itakuweka huru
Achana nae atakupotezea muda mjinga wa imani hawezi kukuelewa.Hao wamelipwa kuigiza ndugu, ukitaka kujua ni kweli mchukue mlemavu unaemfahamu uone kama atapona