Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Vipi kama upya wa magongo umetokana na filters za Camera?
Camera filter haiwezi boresha na kuwa sawa kwa images tofauti tofauti zinazopigwa na mwanga tofauti katika frame moja...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kama upya wa magongo umetokana na filters za Camera?
Wewe ni mlemavu WA ubongo lakini hujaponywa,tangu lini kiwete anatumia magongo,matepeli WA makanisani wanaandaa script na kugawa magongo na kuyakusanya,
Acha kutokuamini,Magongo yote ni aina moja aiseee.hizi cimena nilidhani mwisho bongo movie lakin hadi huku.lakini yote haya yataisha kama yalivyoisha ya askofu kakobe na lusekelo ,wao walikuwa hivi hivi ila sasa hivi wanatumia pension zao.
.
Yana mwisho wake haya ndugu zangu.
Imani yako habaHakuna kitu kama hicho Dunia hii.
roma mkatiliki ana story yake moja nzuri sana kuhus wachungaj ao waponeshajiKama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema. ,umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga. Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini, .
Dizaini hii wakipigwa hata siwaoneagi huruma. Pumbavu hawaWatu kama nyie ndo huwa mnatapeliwa kirahisi Kama wale wa Kalynda
Roma mwenyew anamuamini mwamposaroma mkatiliki ana story yake moja nzuri sana kuhus wachungaj ao waponeshaji
Mapya kvip? Wati tumeshuhudia,hamna magongo mapya.Magongo menyewe mapya .vilema wote wa songea wana tumia magongo ya hivyo[emoji81]
hilo swala la kumuamin au kuto miamin n swala lake binafs yake ... nachongelea me kile alichokiongea kwny ile video na alichoitk kifike kwa watuRoma mwenyew anamuamini mwamposa
Wewe akili huna mbona ni hesabu ndogo tu???na kwanini 200 wasiwe watu 192 au 207 huoni hapo anacheza na hesabu zake?Walipwe watu 200?
Magongo yote yanaaonekana kuchongwa muda mfupi kabla ya kutano.Wote hao wamelipwa? Magongo zaidi ya 100,
Fungua akiliWewe akili huna mbona ni hesabu ndogo tu???
Kama alilipa watu 200 kila mmoja Tsh 5,000/= maana huko bado mna njaa inamaanisha alitumia 1mill sasa ninyi mbuzi mnaokaa kushabikia kuabudu watu kama mlikuwa umati kama ulivyojinadi hapo mkawa 800 alipomaliza kuwapanga mkatembezewa basin mtoe sadaka na kwa sababu mlishajaa muhemko wengine mkatoa tuseme kima cha chini Tsh 10,000/= wote mtakuwa mmemuachia Tsh 8,000,000/=
NB;Nimesema hiyo ni kimo cha chini wapo wanaotoa zaidi ya hiyo huoni kama ameshondoka na faida hapo?
Mkuu nifundishe hayo maujanja nipige hela.Kwa yule ninaemjua ni mlemavu akipona nitajua ni kweli, sio hawa wa kuletwa. Jamaa alikuwa anawapa watu ndevu za ajabu, na kuwapa mafunzo maalumu ili washuhudie walikuwa misukule na wamefufuka. Ni maujanja tu ya kupiga pesa kimazingira.
tena ushuhuda wa hivi nina ushahidi kabisaaaa kuna madogo walikuwa wanachukuliwa ferry bondeni wanaenda kutoa ushuhuda kanisa moja liko maweni kigamboni wakirudi wanapigana kwenye mgao wa hela ila nilikaa na mmoja akanichana wanachukuliwa asubuhi wanaenda wanapewa chai na chakula cha mchana aaf jioni wanapelekwa kanisani wakiwa wameshavalishwa kimaigizo alaf wanatoa ushuhuda wakimaliza wanagaiwa mpunga wao wanaenda kugawana hapo ndo ngumi zinaanza wanapozulumianaKwa yule ninaemjua ni mlemavu akipona nitajua ni kweli, sio hawa wa kuletwa. Jamaa alikuwa anawapa watu ndevu za ajabu, na kuwapa mafunzo maalumu ili washuhudie walikuwa misukule na wamefufuka. Ni maujanja tu ya kupiga pesa kimazingira.