Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema. ,umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga. Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini, .
Acheni usanii wenu, si aende MOI pale watu wanaumwa kweli kweli sio hao wa mchongo
 
Mimi nilikua simwamini ila sku moja kwa macho yangu nimeona jogoo anapupa na kufa baada ya kumwagiiwa maji ya bombani ambayo aliombea usiku. Alafu haijapita siku mbili nikaona tena kwa jirani kunguru alitua dukani kamwagiwa kafa na nilimtoa mwenyewe. Haya mambo bora tukae kimya tuu.
 
ukiangalia vizur hayo magongo yote ni mapya hvi ni bahati gani waje awalemavubzaidi ya 50 na wote magongo ni mapya hamjajuabtu kwamba kinachochezwa hapo ni kamari
Halafu walivyo wapumbavu wanaoona ni kweli
Magongo yote yanafanana [emoji1]
 
Basi ina maana huyu mwamposanhawaoni wale watesekao kwa magonjwa ya sukari cancer ,figo ,athritis au vijana na nguvu za kiume akawaponya? Why wanatafuta aina ya magonjwa yanayoweza kuigizwa?
 
Mimi nipo Songea , pana siri kubwa usiyoijua . Hongera kwa kumwamini na kumtumikia rasmi mnyama atokeaye nchi kavu . Atawapoteza wengi kwa ishara na
Miujiza . Yamkini hata wataule
 
Back
Top Bottom