Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Acheni watu wenye shida waponywe.ww mwenye afya yakijukuta utakuja tuu.alafu kuliko kwenda kwa mganga c bora uende kwa MWAMPOSA.ULAMBE MAFUTA NA maji?kuliko kukalishwa makaburini na kulishwa nyama za wafu.tunachokita ni uponyaji tu.na MUNGU anasema utaweka mikono juu ya wagonjwa nao watapona.acheni kupinga kila kitu.mwamposa anamsaada sana.shida umeng'ang'ania hilo kanisa lako na hakuna msaada wowote.
 
Acheni watu wenye shida waponywe.ww mwenye afya yakijukuta utakuja tuu.alafu kuliko kwenda kwa mganga c bora uende kwa MWAMPOSA.ULAMBE MAFUTA NA maji?kuliko kukalishwa makaburini na kulishwa nyama za wafu.tunachokita ni uponyaji tu.na MUNGU anasema utaweka mikono juu ya wagonjwa nao watapona.acheni kupinga kila kitu.mwamposa anamsaada sana.shida umeng'ang'ania hilo kanisa lako na hakuna msaada wowote.
Amina
 
Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.

Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.

Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.

View attachment 2387081
Mkuu mimi huwa sipingi sana mambo ya kiimani ila naomba kuuliza tu
Hao viwete umebahatika kumfahamu hata mmoja wao (yaani mtu ambaye unamfahamu kabisa kwamba huwa ni kiwete au kipofu miaka kadhaa then ameletwa hapo kuombewa akapona )
Au viwete wote walikuwa sura ngeni?
 
Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.

Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.

Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.

View attachment 2387081
Wewe hata kama hauna ajira nenda pale Kwa mwamposa na ajenda yako jiunganishe na madhabahu ya inuka uangaze...
 
Mtindo huu ndio unao zidi kuchochea kasi ya matapeli mitaani na kwenye mitandao. tunatengeneza wimbi la matapeli na wasanii walio bobea. Hatari sana.
 
Mkuu mimi huwa sipingi sana mambo ya kiimani ila naomba kuuliza tu
Hao viwete umebahatika kumfahamu hata mmoja wao (yaani mtu ambaye unamfahamu kabisa kwamba huwa ni kiwete au kipofu miaka kadhaa then ameletwa hapo kuombewa akapona )
Au viwete wote walikuwa sura ngeni?
Akikujibu hili alete ushahidi mm nitakuwa wa kwanza kwenda kununua mafuta na maji vinginevyo mwambie aache utoto kashakuwa mtu mzima au akatafute video ya yule pasta wa Kenya na yule dame anaitwa mwende ili ajue watu wanavyo tafuta pesa
 
Mwendelezo wa utapeli dini zote ni utapeli tu ila walio kwenye mfumo rasmi wakutapeliwa kiimani na kipesa watakucheka.
 
Back
Top Bottom