Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 735
- 667
- Thread starter
- #561
Jina la yesu aliye hai kupitia mwamposawatu watakemea pepo kwa jina langu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina la yesu aliye hai kupitia mwamposawatu watakemea pepo kwa jina langu
AminaAcheni watu wenye shida waponywe.ww mwenye afya yakijukuta utakuja tuu.alafu kuliko kwenda kwa mganga c bora uende kwa MWAMPOSA.ULAMBE MAFUTA NA maji?kuliko kukalishwa makaburini na kulishwa nyama za wafu.tunachokita ni uponyaji tu.na MUNGU anasema utaweka mikono juu ya wagonjwa nao watapona.acheni kupinga kila kitu.mwamposa anamsaada sana.shida umeng'ang'ania hilo kanisa lako na hakuna msaada wowote.
Halafu magongo yote mapya! Weuweeee. Jiulize -- how come?Wote hao wamelipwa? Magongo zaidi ya 100,
View attachment 2387086
Mkuu mimi huwa sipingi sana mambo ya kiimani ila naomba kuuliza tuKama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Mkuu, usimsahihishe jamaa yuko sahihi! mungu wake ndiye anayemwongoza Mwamposa. Mungu hawezi kuwa na watu wa hivyo!...Kwanza, hakuna mungu, Kuna Mungu...tuanzie Hapo...
HahaMkuu, usimsahihishe jamaa yuko sahihi! mungu wake ndiye anayemwongoza Mwamposa. Mungu hawezi kuwa na watu wa hivyo!
OopsVIPOFU WAMEONA, VIWETE WAMETEMBEA, VIZIWI WAMEONGEA
Wewe hata kama hauna ajira nenda pale Kwa mwamposa na ajenda yako jiunganishe na madhabahu ya inuka uangaze...Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Tema mate chiniMwamposa ni Tapeli aliesoma pamoja na yule Ndugu yake Geordave anayegawa pesa bure kwa wasaniii ni matapeli waliokubuhu. N wajinga t ndo wanaweza Kuwabudu
Mkutano mmoja wa mwamposa ni zaidi ya 1bil akilipa 50000 waty 100 kuna shida ganiWote hao wamelipwa? Magongo zaidi ya 100,
View attachment 2387086
Akikujibu hili alete ushahidi mm nitakuwa wa kwanza kwenda kununua mafuta na maji vinginevyo mwambie aache utoto kashakuwa mtu mzima au akatafute video ya yule pasta wa Kenya na yule dame anaitwa mwende ili ajue watu wanavyo tafuta pesaMkuu mimi huwa sipingi sana mambo ya kiimani ila naomba kuuliza tu
Hao viwete umebahatika kumfahamu hata mmoja wao (yaani mtu ambaye unamfahamu kabisa kwamba huwa ni kiwete au kipofu miaka kadhaa then ameletwa hapo kuombewa akapona )
Au viwete wote walikuwa sura ngeni?
One million dollar questionWewe ulikuwa kilema umepona?