Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Huyu tapeli naye wamuwahi kumlipua akiwa hai bado.

Asije kutufia hapa, wakamuanika madudu yake, halafu wakaambiwa kwa nini mmesubiri mpaka kafa, kama TB Joshua.
 
Huyu tapeki naye wamuwahi kumlipua akiwa hai bado.

Asije kutufia hapa, wakamuanika madudu yake, halafu wakaambiwa kwa nini mmesubiri mpaka kafa, kama TB Joshua.
Mtu anaponya watu unamuita tapeli??
 
Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.

Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.

Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.

View attachment 2387081
Mbona magongo yote yaliyotupwa ni yanaonekana kuchongwa siku hiyohiyo (mapya), huo uwete ulikuwa unamngoja Mwamposa. Hayo magongo yalichongeshwa na Mwamposa na kugawiwa watu (actors) maalumu ili washiriki kwenye uongo na udanganyifu wa kupona.
 
Mbona magongo yote yaliyotupwa ni yanaonekana kuchongwa siku hiyohiyo (mapya), huo uwete ulikuwa unamngoja Mwamposa. Hayo magongo yalichongeshwa na Mwamposa na kugawiwa watu (actors) maalumu ili washiriki kwenye uongo na udanganyifu wa kupona.
Hauna mtu unaemjua kasaidiwa na mungu kuptia mtume?
 
Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.

Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.

Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.

View attachment 2387081


Viwete wa Mwamposa huwa wana magongo tu, utapeli wa kutupa, jamaa anawashika kweli kweli na ujinga wenu.
 
Back
Top Bottom