Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Washaigombania umechelewa kidogo ngoja aweke nyingeneyo hio ya TTCL lakini sio TIGOhii mbona ishatumika ? weka ingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washaigombania umechelewa kidogo ngoja aweke nyingeneyo hio ya TTCL lakini sio TIGOhii mbona ishatumika ? weka ingine
Mda wowote vocha naweka apa ujanja kuwahimkuu kwaiyo kwa leo ndio umeshamaliza au uanendelea ?
kuna wazee huko juu wako chap sanaWashaigombania umechelewa kidogo ngoja aweke nyingeneyo hio ya TTCL lakini sio TIGO
nipo nasubirMda wowote vocha naweka apa ujanja kuwahi
Amesema 20,000 hio ametoa 1,000 bado 19,000 zinakuja kwa hio kaa kwa kutulia mkuu,mkuu kwaiyo kwa leo ndio umeshamaliza au uanendelea
😂
Tupo hapa tunazisubiria hizo vocha mkuu, we ikiwezekena usimwage moja moja mwaga zote tu atakaepata na apate, si umesema za 20,000 mwaga zote zitagombaniwa zote hadi ziisheMda wowote vocha naweka apa ujanja kuwahi
mkuu huku tunapoenda kama mtu anatumia smartphone basi huduma ya internet ni kitu cha lazima yani ni kama internet inaenda kuwa moja ya human basic needs, acha huu mpambano uendelee tu hizi buku buku hapa ni muhimu asee.Ccm njooni huku muone jinsi mlivyowatia ufukara Watanzania mpaka vitu basic kama airtime nayo ni issue.
Na wewe uliyeanzisha hii topic hebu bahave, ziko njia nyingi sana za kufanya thanks giving kuliko hii.
PhDCcm njooni huku muone jinsi mlivyowatia ufukara Watanzania mpaka vitu basic kama airtime nayo ni issue.
Na wewe uliyeanzisha hii topic hebu bahave, ziko njia nyingi sana za kufanya thanks giving kuliko hii.
[emoji23]
Linda utu wako kwa gharama yoyote ile, no matter what.mkuu huku tunapoenda kama mtu anatumia smartphone basi huduma ya internet ni kitu cha lazima yani ni kama internet inaenda kuwa moja ya human basic needs, acha huu mpambano uendelee tu hizi buku buku hapa ni muhimu asee.
Haya namimi nakazia uzi hapa, wenye line ya tigo kazi kwao, vocha ya elfu 5 hiyo
774938649638
We ni muhaya kweli?Weka hiyo Vocha
hahahaha
Au na wewe unataka views na likes kama yule Chaliifrancisco !!?Nakumbuka kuna kipindi nilikua natafuta kazi nko jobless mambo hayaendi, nyenzo kubwa ilikua vocha ili niweze ku access Internet lakin kuna mda nilikosa hyo vocha ili niendelee na mapambano.
Namshukuru Mungu alinichagua kwa Walio wengi apa nilipo ni rehema zake.
Nitakua natoa vocha bila kutaja ni mtandao gani atakae pata na apate ili imsaidie.
Wadau wengine karbuni.