dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
mbona inasema vocha haipo ?Haya namimi nakazia uzi hapa, wenye line ya tigo kazi kwao, vocha ya elfu 5 hiyo
774938649638
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona inasema vocha haipo ?Haya namimi nakazia uzi hapa, wenye line ya tigo kazi kwao, vocha ya elfu 5 hiyo
774938649638
umaskini na utu ni mambo tofauti sana, uwenda ujui na hauna mwingiliano wowote na hali za maisha. mkuu uanishangaa buku wakati huku nilipo watu wanaipasua mia tano kwa mtu tatu.Linda utu wako kwa gharama yoyote ile, no matter what.
Huu unaotetea hapa ni ujinga mtupu, kama shida yako ni bundle kwa nini usitumie VPN uweze kuaccess internet bure?
Mambo?Kila la kheri
Kwanini umeuliza hivyo?We ni muhaya kweli?
Muhaya unapambania vocha ya kurushiwa na pedjeee?Kwanini umeuliza hivyo?
Asante. Nimeipata, vocha ya Safaricom😤385886593482101
PoaMambo?
Aisee wewe una haki ya kukataa ndoa kwakweli, maana SAA hizi demu anataka umuunge unlimited bundle, au atleat GB 5 kumbe mjuba huku upo kwenye sadakalawe ya kupata vocha ya buku.mbona inasema vocha haipo ?
Tulia udakwewee
weequm kwani unajiona Kama Nani?chok wee🖕🖕🖕🖕
mzee tarehe tete hizi,Aisee wewe una haki ya kukataa ndoa kwakweli, maana SAA hizi demu anataka umuunge unlimited bundle, au atleat GB 5 kumbe mjuba huku upo kwenye sadakalawe ya kupata vochabya buku.
Haaa haaa haaa, watu wapo chap hatariWe umbwa utauwa watu[emoji28][emoji28][emoji28]
mzima wewe?
Haaa haaa haaa mkuumbona inasema vocha haipo ?
hahahahahahaHaaa haaa haaa mkuu
KATAA VOCHA ZA BURE
VOCHA ZA BURE NI UTUMWA
VOCHA ZA BURE NI MATESO
sio voda wala airtel wenye mitandao mingine kazi kwenu385886593482101
Yeah sijui wewemzima wewe?