Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo labda paypal na binance hizi nyingine naona kama zitakusumbuaKuna hela kidogo nimezipata mtandaoni Sasa Kuna hizi njia za ku withdraw kama Kuna anayejua inayosupport apa bongo anipe details 👇👇
unatengeneza paypal ya kenya ilimradi uwe na line ya safaricom na details za paypal ziendane na hiyo line au mwombe mwenye nayo akutolee but be careful mtu asijepokea pesa akaingia mitini. but binance itakuwa njia bora zaidi.PayPal inatoa?
binance sawa paypal unampoteza labda kama analine ya safari com ya kenya!hapo labda paypal na binance hizi nyingine naona kama zitakusumbua
nimweleza hapo juu kuhusu hilo la line ya safaricombinance sawa paypal unampoteza labda kama analine ya safari com ya kenya!
Hiyo PayPal asigue labda ahamie Kenyahapo labda paypal na binance hizi nyingine naona kama zitakusumbua
Suluhisho hapo ni hio Binance BTC ndio atazipata Bongonimweleza hapo juu kuhusu hilo la line ya safaricom
naitumia paypal na niko tanzania kwa zaidi ya miaka 9.Hiyo PayPal asigue labda ahamie Kenya
Unatumia line gani kutoa Pesa PayPal? Au mpaka upige Simu Kenya?naitumia paypal na niko tanzania kwa zaidi ya miaka 9.
safaricom na kuna kipindi nilikuwa naituma payoneer then naitolea crdbUnatumia line gani kutoa Pesa PayPal?
Umeitoa Kenya na unaitumia Tanzania, sasa yeye hana hio line unamsaidia vipi?safaricom
Kuna makorokoro lazima ujazena kuna kipindi nilikuwa naituma payoneer then naitolea crdb
Mkuu mimi sina la kumsaidia nimempa kuwa ana options 2, na ukisoma kuna comment nyingine nikamwambia how anavyoweza kutumia paypal kisha nikamalizia kwa kumwambia kuwa njia bora zaidi ni binance. line za safaricom zinauzwa hata mimi nilinunua na kuifungulia hapa hapa na wengi wanazo tu bila kufika kenya. But ni risk kwa sababu inakuwa haina details zako bali za ile line uliyonunua.Umeitoa Kenya na unaitumia Tanzania, sasa yeye hana hio line unamsaidia vipi?
makorokoro gani?Kuna makorokoro lazima ujaze
Wewe ulienda tu ukachomoa Hela zako kutoka Payoneer?makorokoro gani?
Mkuu mimi nimekuwa natumia payoneer toka mwaka 2014. na payoneer uzuri inafanya kazi tz na verification zake wanakuona vitambulisho vya tz. so kuchomoa ela hakuhitaji chochote zaidi ya kuwa ulishwahi kuverify kwa kutumia leseni, au kitambulisho cha nida au passport na address verification. ukishafanya hilo basi ela yako wakati wowote unaichomoa kwa kuihamishia kwenye account, au kuitoa kwenye atm kama una physical card kama huna physical bali una virtual card unaweza hata kuitolea kwenye airtel money app ikaja airtel money au kama una line ya safaricom ukatumia skrill kuituma kwenye line yako ya safaricom kisha ukaituma kwenye line yako ya tz.Wewe ulienda tu ukachomoa Hela zako kutoka Payoneer?