Natumia njia Gani kati ya hizi kupokea hela?

Natumia njia Gani kati ya hizi kupokea hela?

Sehemu gani umeipata? Sidhani Kama Kuna sehem sahihi ambapo hamna njia zinazotumika
Kama
Skrill
Wire
PayPal
Payoneer
Webmoney
 
unatengeneza paypal ya kenya ilimradi uwe na line ya safaricom na details za paypal ziendane na hiyo line au mwombe mwenye nayo akutolee but be careful mtu asijepokea pesa akaingia mitini. but binance itakuwa njia bora zaidi.
Hv kwanini bongo hawaruhusu paypal!? Fisiemu kweli wapo bize kutudabwika umasikini
 
Back
Top Bottom