Drc congo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 636
- 2,896
Nasubiri jibuMkuu kuna kitu nimetafakari sijapata jibu, hivi kwani kuna tofauti gani kwenye kutumia simu na kutumia computer kufungua hii page, ilihali Facebook ni ile ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasubiri jibuMkuu kuna kitu nimetafakari sijapata jibu, hivi kwani kuna tofauti gani kwenye kutumia simu na kutumia computer kufungua hii page, ilihali Facebook ni ile ile
Mtaji utampa? Acha Ubwege.Fungua stationary.
Huu ndiyo Ushauri wa Dhahabu Kwake. Kazi Kwake sasa Kuufanyia Kazi tena haraka sana.Jishushe anza kuchapa barua ktk karatasi za A4 kwa wateja wanaohitaji kuandikiwa barua-rasmi , ku design kadi za mialiko n.k kisha ndiyo uanze kujiingiza ktk mambo ya video editing n.k nina uhakika ktk mji huo mdogo taratibu utaibuka tena.
Boss naomba unifundshe na mimi aseee hii ishuNjoo nikufundishe kuflash simu huo ujuzi utautumia kufanya kazi popote
duuuuuuh mwanang hii idea mbna kma nzuri sana aseeeeMimi ninatumia Mkuu kwenye inshu zangu na naona matokeo.Sisi wabongo Tunajua kununua bando tu.Lakini bando liturudishie ela yetu hatujui.Wajasiliamali hii ni njia ya kutangaza na kuuza bidhaa ukiwa umelela kitandani mchawi bando.
NB:Hii unaiunga na Insta, WhatsApp,na Facebook page yako.Unapaste Facebook inajibu kote huko maana ni watoto wa Meta.
mpe ushauri wewe.Mtaji utampa? Acha Ubwege.
Ajiunge na Freemasons tu hakuna namna.mpe ushauri wewe.
[emoji28][emoji28]Ajiunge na Freemasons tu hakuna namna.
Nashukuru sana mkuu [emoji120][emoji120]Kuingiza nyimbo kwenye simu na kuingiza movies kwenye flash za wateja/series.
Kak nimejaribu kupitia account kama tatu tu zinazo piga izo issues nimeona ni motooooooo, nimewaza mengi kuwa kumbe kuna fursa zenye hela nzuri ila tumezikalia bila kujuaduuuuuuh mwanang hii idea mbna kma nzuri sana aseeee
namna ya kujiunga nimeshajua imebaki namna uya kupiga kazi sasa naomba maelekezo ndguKak nimejaribu kupitia account kama tatu tu zinazo piga izo issues nimeona ni motooooooo, nimewaza mengi kuwa kumbe kuna fursa zenye hela nzuri ila tumezikalia bila kujua
Kuingiza nyimbo inabidi computer yake iwe na storage ya uhakika otherwise ni changamotoKuingiza nyimbo kwenye simu na kuingiza movies kwenye flash za wateja/series.
Atafute external HDKuingiza nyimbo inabidi computer yake iwe na storage ya uhakika otherwise ni changamoto
Point!Tafuta meza
Jitahidi utafute sabufa
Tafuta eneo kama stend au eneo lenye mkusanyiko mkubwa
Anza kurusha nyimbo
Unganisha Whatsapp
Nk! Huwezi kukosa 10k per Day
Wapelekee hiyo link ukoo wako wapate hizo hela za bure!Fanya kazi online Kwa mtaji wa muda wako, ushawishi na bandle lako
Jaribu hii 👇🏿👇🏿 aihitaji kuwekeza mtaji zaidi ya kushawishi watu kujiunga na kusambaza link
Utaingiza pesa Kila siku na % Kwa Kila atakayejiunga kupitia link hii
Pesa yako itaingia moja Kwa moja kwenye simu Kwa kulingana na namba yako utakayotaka ipokee pesa
Fata link hii kujiunga